Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
jifunze unakosea wapi rekebishaShida Kila Kitu Kinapita Pembeni Sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jifunze unakosea wapi rekebishaShida Kila Kitu Kinapita Pembeni Sasa?
Wewe Tayari Kwani Umekiuza?Once one philosopher said "the problem we human we like pleasure more than pain"
Nenda kwa wazungu pale zanzibar wape mstari wa equator Yan chapu kwaa. UnatusuaShida Kila Kitu Kinapita Pembeni Sasa?
Nafasi ndio nini? Au wewe unayo nafasi unauza?Naomba Kuulizia Kwa Hapa Bongo ni Kweli Kuna Watu Wanauza Nafasi zao Ili Kupata UTAJIRI na Je Wanamwuzia Nani Au Wote Wameishia Kutapeliwa na Wajanja wa Mjini??
Tupeane Uzoefu Enheeee!Hakuna utajiri wa halali. Jidanganye
I Mean NasfsiNafasi ndio nini? Au wewe unayo nafasi unauza?
Shortcut zipo .ila zinabeba risky kubwa.Hakuna shortcut Ogopa Matapeli .
Ebwanaa Wee Wengi Wameumizwa Sana Je Tufanyaje Kujitafuta!!?Hakuna shortcut Ogopa Matapeli .
Leta namba nikupe ramaniI Mean Nasfsi
Hahahaha Nasikia Wakenya Wanatumwa Kwa MPesa Watume Pesa Ili Kupata UTAJIRIHakuna kitu kama hicho ,kama kingekuwepo ni uhakika hakuna vijana wa Gen Z asingeenda.
😎😎 hiyo MbayaNenda kwa wazungu pale zanzibar wape mstari wa equator Yan chapu kwaa. Unatusua
Pima upepo Fanya research chagua biashara moja komaa nayo wakati Sahihi ukifika Mafanikio yatakuja yenyewe kikubwa uvumilivu .Ebwanaa Wee Wengi Wameumizwa Sana Je Tufanyaje Kujitafuta!!?
Una miaka mingapi kwanza dogo?😎😎 hiyo Mbaya
Aaah Tushare Uzoefu Sasakuna mapepo yanatoa utajiri kama mammon na valak
sema kuyaita ni kazi
unatafuta utajiri na huna uchu wa kujua mambo
kuna vitabu vya uchawi(grimoires) na fani ya mapepo kabisa(demonology) kwa nini usisome?
watafute satanists
mimi ambaye siamini haya mambo nakushinda kwa kuyajua!
Aaah Ni Wapi Hapo...Nikupekeke?
Bado sijaielewa. Lakini basi usipate shida kwa sababu mimi sio mteja asanteI Mean Nasfsi
mimi mwenyewe najua kidogo ila nimekupa mwanga, fuatilia!Aaah Tushare Uzoefu Sasa