H
Hakuna kitu kama icho umepotea kabisa hakuzaa ,wala hakuzaliwa hizo ni sifa kuu za binadamu yeye hana na hana mshirika wowote kwa sura moja nimekupa fact ndo maana we ni wale waliopotea hana mshirika means hamna miungu anayo compete nayo yuko pekeeUnafikiri Mungu yupo pekeake?
Unadhani hakunà miungu wengine?
Ulinganifu unakuja Kwa sababu Mwanadamu ni mfano wa MUNGU.
Ukishasema mwanadamu ujue automatically umemtaja Mungu, unalijua hilo?
miungu ipo mingi Sana, Ila Mungu Tajiri namba moja, je naye ni Tapeli au dhulmat?