Utajiri ni rahisi kuupata ila masharti yake ni magumu

Utajiri ni rahisi kuupata ila masharti yake ni magumu

Umenena mawazo potofu kama vile kuna njia moja tu ya kufanikiwa, pili umetaja tabia hizi wote wanazo tegemeana na mapokeo.
Wapo masikini wazulumati, matapeli, washirikina na wenye roho mbaya. Ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano unatumika vibaya kwa upotoshu huu mstari wa kumfariji masikini azidi kuwa masikini.
 
Ibrahim alikuwa Tapeli na dhulumat?

Ayubu alikuwa Tapeli na dhulumati?

Suleiman alikuwa Dhulumat na Tapeli?

Ku-generalize kuwa Utajiri ni utapeli, udhulumati, Uchawi na biashara haramu ni Dalili ya akili za kimasikini.

Ni heri ungesema wengi wa matajiri wapo hivyo na utaje na Nchi kabisa.

Lakini kutoa excuse Kama zako ni moja ya sifa za Masikini.

Mwishowe useme Mungu naye ni Tapeli na dhulamat Kwa sababu yeye ndiye Tajiri namba moja.

Sifa ulizozitaja masikini wengi ndio tunazo.

Mungu sio masikini
Na Mungu ndiye anayetoa Utajiri Kwa sababu yeye ni Tajiri.

Umasikini wako na wenzako unasababishwa na sababu ulizozitaja, uzembe, uvivu na ujinga

Na ukimjua Mungu huwezi kuwa masikini.
 
Ujaelewa izo ni mambo baadhi zinakuwa nyuma ya pazia na ambazo hutoambiwa katika vitabu vya hao matajiri wanavyoandika ila 90% ndo utajiri wao unavyotokana na sio wanavyaondika kwenye vitabu
Hizo ni sifa za watu masikini
 
Back
Top Bottom