Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwa hiyo kwasababu we ni mtumishi wa umma una uwezo kukopa hizo milioni kumi unazoziona nyingi unatuona sisi tusioweza kukopa wajinga
Mimi sio mtumishi wa umma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kwasababu we ni mtumishi wa umma una uwezo kukopa hizo milioni kumi unazoziona nyingi unatuona sisi tusioweza kukopa wajinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sio mtumishi wa umma.
Hamna mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Unazingua
Nakubaliana nawe.Siri kubwa ya utajiri ni kuheshimu pesa, nunua mahitaji ya muhimu tu. Huwezi kuweka heshima bar wakati wa utafutaji na ukawa tajiri.
Unapangisha nyumba Masaki kodi milioni 2 kwa mwezi na wewe unataka kuwa tajiri.
Unakwenda shopping Dubai, unanunua designer handbags na viatu, na wewe unataka uwe tajiri.
Sijakuelewa.....unamaanisha kuwa hakuna utajiri unaotokana na mbarikiwe na MUNGU au?!Mungu ndiye mmiliki wa vyote duniani, lakini hatoi utajiri kwa watu ambapo anajua utajiri ule utaipoteza roho yako.
Mkuu umeshashindwa maisha kabla ya kuyaanza.Ukiona mtu katajiri jambo la kwanza utajiuliza mbona mimi nimeshindwa kuwa kama yeye.
Napo sema utajiri ni rahisi kuupata kwa sababu njia zake ni rahisi pale utakapo gundua unapatikanaje kama fursa,soko,bei na n.k
Matajiri wengi tunao waona na wengine wakubwa wamekuwa wakitupa njia za kutajirika hata kutuandikia vitabu vya mbinu na wengine kuwa wana hamasa mitandaoni huku wakituonesha ufahali na bata kibao.
Ila katika urahisi ambao hupo kwenye utajiri ni mgumu sana katika masharti yake.
Masharti yake ya kufanikiwa
* Kuwa mdhulumati
Ukiona watu wengi waliofanikiwa sehemu kubwa ni wazulumati kwenye biashara za watu kama malipo duni,mgao mdogo,ubinafsi wa kumiliki bila kuangalia wengine,utapeli,kulithi mali zisizo zake n.k
* Kuwa tapeli
Hii ya utapeli aina tofauti na uzulumati maana matajiri wengi utapeli watu na kupata pesa ya haraka mifano mingi tunayo na wengine walikuwa hapa JF,hata dada yetu mmoja alitamba insta kwa maisha mazuri.
* Biashara haramu
Hili suala watu wengi wametumia kama sehemu kubwa ya kupata utajiri kwa kasi kama kukwepa kodi,biashara za magendo,wizi,madawa,unyang'nyi ,kuhuza mwili na n.k
* Imani za kishirikina
Wasio amini uchawi hupo basi tambua hupo kwa sababu watu wanaingia kutoa maisha ya wapendwa wao,mazezeta,damu za watu na n.k ili kulinda na kuongeza mali zikuwe kwa njia wanazo jua wao.
* Roho mbaya
Ili kupata utajiri itakubidi kuwa na roho mbaya ili kufanikiwa hata ikibidi shetani kuwa karibu yako.
Ndio maana ule msemo :
Ni heli Ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri labda kwa uhuruma ya mungu.
Na wa Barrick ninao kunywa nao hawapo kishirikina kama unaokunywa nao!ungekuwa unafahamu wafanya biashara za madini wapo vipi.basi tulia ukiwaona unakunywa bia zao
Watu wanatafuta sababu rahisi rahisi za kujihalalishia kushindwa maisha.kuna ukweli kiduchu sana kwenye haya mawazo yako
Ukisha kata tamaa ww usipende kukatisha na wengneAkina Ibrahim Ayubu na Suleman, hakuna aliyejua asili ya utajiri wao, labda walitubu mwisho na kumrudia Mungu. Hata mtu wa misukule akitubu anasamehewa. Mtoa hoja nakuunga mkono, hakuna utajiri halali. Ni maujanga ya ajabu, mengine ni aibu sema tu ni Siri ya mhusika.
Sent using Jamii Forums mobile app
maisha ni kama mtihani wa darasani unatakuwa mtu afaulu kuna sababu nyingi za mtu kufeli au kufaulu.... na kila mtu anaweza kufaula, kwa mfano watoto walipo shule za kulipia hawana tofauti za kibiologia na wa st. kayumba lakini utakuta wa st. junior wanafaulu mtihani darasa zima, kuwa tajir inawezekana kwa kila mtu.Watu wanatafuta sababu rahisi rahisi za kujihalalishia kushindwa maisha.
Hakuna maskini anaepangisha nyumba kodi mil 2 na apate chenji ya kwenda shopping 🛍 DUBAI... labda maskini JEURISiri kubwa ya utajiri ni kuheshimu pesa, nunua mahitaji ya muhimu tu. Huwezi kuweka heshima bar wakati wa utafutaji na ukawa tajiri.
Unapangisha nyumba Masaki kodi milioni 2 kwa mwezi na wewe unataka kuwa tajiri.
Unakwenda shopping Dubai, unanunua designer handbags na viatu, na wewe unataka uwe tajiri.