Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mambo ya Mungu yanatokea wapi kwenye mada ya binadamu?..Mtoa mada kaeleweka ila wewe ndo unataka kupindisha hoja yake kwakuingiza mambo yasiyohusika.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🙂🤣Hamna kitu kama icho mi hata umlete alikukaririsha nampa mifano haI tu anakimbia hayo maandiko yako sio ya mungu yaani umepotea we na wanaenda kwa mganga hamna tofauti sema hujajitambua tu
😂😂😂We unajibiwa kwa akili tu allah ni mungu na cheo cha pekee hakuna kiumbe kngine tofauti ukisema ni cheo ambacho hamna kiumbe kinafitKama Allah maana yake ni mungu ambaye ni God Kwa kingereza nimekuambia
Neno "mungu"sio jina isipokuwa ni Cheo, Kama allah(Mungu) ni cheo naomba jina la mungu wa kiarabu
Jina la Mungu wa Waisrael hapo chini
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
Ungekuwa unatoa na Reference ili kuzipa hoja zako nguvu.
Kutoka 6:6
Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;
Mambo ya Mungu yanatokea wapi kwenye mada ya binadamu?..Mtoa mada kaeleweka ila wewe ndo unataka kupindisha hoja yake kwakuingiza mambo yasiyohusika.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
We mwenyewe unatunga mambo hayaingii akilini man atakuamini na umekariri hujui kuchuja uongo kama ulivyozoea kuweka story za kutunga hapa jamvini😂😂Mifano bila reference??
VinLabda Kama Elimu yako inakuongoza hivyo
😂😂😂We unajibiwa kwa akili tu allah ni mungu na cheo cha pekee hakuna kiumbe kngine tofauti ukisema ni cheo ambacho hamna kiumbe kinafit
Tofauti na nyie mna yesu mara mungu huyo huyo jina yesu halafu cheo ni Mungu
Sasa sisi muumba wetu hana jina kama binadamu ni allah tu basi
We mwenyewe unatunga mambo hayaingii akilini man atakuamini na umekariri hujui kuchuja uongo kama ulivyozoea kuweka story za kutunga hapa jamvini😂😂
Ibrahim alichukua vitu vitani aliposhinda vita. Huo ni udhulumati aka wiziIbrahim alikuwa Tapeli na dhulumat?
Ayubu alikuwa Tapeli na dhulumati?
Suleiman alikuwa Dhulumat na Tapeli?
Ku-generalize kuwa Utajiri ni utapeli, udhulumati, Uchawi na biashara haramu ni Dalili ya akili za kimasikini.
Ni heri ungesema wengi wa matajiri wapo hivyo na utaje na Nchi kabisa.
Lakini kutoa excuse Kama zako ni moja ya sifa za Masikini.
Mwishowe useme Mungu naye ni Tapeli na dhulamat Kwa sababu yeye ndiye Tajiri namba moja.
Sifa ulizozitaja masikini wengi ndio tunazo.
Mungu sio masikini
Na Mungu ndiye anayetoa Utajiri Kwa sababu yeye ni Tajiri.
Umasikini wako na wenzako unasababishwa na sababu ulizozitaja, uzembe, uvivu na ujinga
Achana na stori za wana wa israelIbrahim alikuwa Tapeli na dhulumat?
Ayubu alikuwa Tapeli na dhulumati?
Suleiman alikuwa Dhulumat na Tapeli?
Ku-generalize kuwa Utajiri ni utapeli, udhulumati, Uchawi na biashara haramu ni Dalili ya akili za kimasikini.
Ni heri ungesema wengi wa matajiri wapo hivyo na utaje na Nchi kabisa.
Lakini kutoa excuse Kama zako ni moja ya sifa za Masikini.
Mwishowe useme Mungu naye ni Tapeli na dhulamat Kwa sababu yeye ndiye Tajiri namba moja.
Sifa ulizozitaja masikini wengi ndio tunazo.
Mungu sio masikini
Na Mungu ndiye anayetoa Utajiri Kwa sababu yeye ni Tajiri.
Umasikini wako na wenzako unasababishwa na sababu ulizozitaja, uzembe, uvivu na ujinga
Ibrahim alichukua vitu vitani aliposhinda vita. Huo ni udhulumati aka wizi
Ibrahim alichukua vitu vitani aliposhinda vita. Huo ni udhulumati aka wizi
Taja maana ya jina moja nijue akili yako na zile ni sifa mfano anasamehe,, ana rehemu 😂😂😂😀😀
Naomba nikuache tuu
Unasema Allah Hana majina wakati dini yako inatambua majina 99 ya Allah😀😀
Hata hivyo nimejadili na wewe nilijua huna elimu yoyote kuhusiana na dini ilikuwafunza wengine, so wewe ni Kama daraja tuu ili wengine wajifunze.
Kama ungekuwa unajua lolote kuhusiana na uyasemayo basi usingeshindwa kunukuu hata Aya moja kuyapa nguvu maelezo yako
Ukweli utajiri wa dunia ni huo alioandika mtoae mada hata useme sijui hard work ni uongoNitumie Stori gani Mkuu?
Taja maana ya jina moja nijue akili yako na zile ni sifa mfano anasamehe,, ana rehemu 😂😂😂
We mshirikina ndo maana ngumu kuelewa
🤣🤣🤣🤣Huwezi kuelewa hata kidogo anasahem, yeye ndio mjuzi, mtoa riziki, anayeabudiwa ,wa kuombwa msamaha hayo ni yale 99Majina pia hubeba sifa za kitabia na kimaumbile.
Hili ulikuwa hulijui?
H
🤣🤣🤣🤣Huwezi kuelewa hata kidogo anasahem, yeye ndio mjuzi, mtoa riziki, anayeabudiwa ,wa kuombwa msamaha hayo ni yale 99
Kwa hyo ni watu 99 tofauti 😂😂kijana ni nimesoma seminary najua kila kitu hope nimezaliwa mkoa ambao ni wajuzi hatuna shida ya elimu japo nilikuwa mtoto ila nyie mambo zenu zilinishinda kusema kuna Mungu baba ,Mungu mwana na roho mtakatifu
Kwa hiyo kwasababu we ni mtumishi wa umma una uwezo kukopa hizo milioni kumi unazoziona nyingi unatuona sisi tusioweza kukopa wajingaHizo sifa ulizotaja ni zawatuu masikini Kama wewe.
Watu wanaofikiri kila kitu kinakuja Kwa bahati.
Nimekupa mifano ya manabii wenye heshima ambao walikuwa matajiri.
Nimekuambia MUNGU mwenyewe ni Tajiri tena namba Moja.
Utasema naye ni Tapeli, dhulamat?
Au bado hujaona Logic ya nilichouliza?
Ukiwa na mawazo mgando Kama yako sio ajabu ukafikisha mpaka miaka 40 hujawahi kushika milioni 10 yako mwenyewe