Utajiri ni rahisi kuupata ila masharti yake ni magumu

Nakubaliana nawe.
 
Mungu ndiye mmiliki wa vyote duniani, lakini hatoi utajiri kwa watu ambapo anajua utajiri ule utaipoteza roho yako.
Sijakuelewa.....unamaanisha kuwa hakuna utajiri unaotokana na mbarikiwe na MUNGU au?!
 
Kichwa cha habari ..kimebebs ujumbe mzito
Mada uozo mtupu

Mtoa mada kapimwe akili
 
Mkuu umeshashindwa maisha kabla ya kuyaanza.
 
Na wa Barrick ninao kunywa nao hawapo kishirikina kama unaokunywa nao!

huna unacho kijua na ujui unacho kifanya.na inaonyesha ni muajiliwa tu.biashara uzijui kaa kimya
 
Ukisha kata tamaa ww usipende kukatisha na wengne
 
Inaonekana jamaa ana mtazamo mfupi. Ukiangalia maelezo ya hoja yake, ameangalia kundi dogo sana la watu (a very narrow segment). Nadhani mtazamo wake ulikuwa juu ya matajiri wa nchini kwetu, hakuangalia nchi/mabara mengine.

Angeangalia na matajiri wa nchi nyingine za Ulaya au Marekani, nadhani asingekuja na conclusion hiyo.

Kwa utafiti wangu mdogo/mfupi, nimeona kuwa matajiri wengi ni professionals wa fani fulani, ambapo huzigeuza fani zao na kuzifanya ujasiriamali. Matajiri kama akina Bezos, Bil Gate, Ellon Musk, Mark Zukeberg, na wengine wengi; ni either wahandisi au programmers. Ila kibongobongo, ukimwambia mtu hivyo, hakuelewi, badala yake anakuambia lazima ushirikina uhusike.
 
Watu wanatafuta sababu rahisi rahisi za kujihalalishia kushindwa maisha.
maisha ni kama mtihani wa darasani unatakuwa mtu afaulu kuna sababu nyingi za mtu kufeli au kufaulu.... na kila mtu anaweza kufaula, kwa mfano watoto walipo shule za kulipia hawana tofauti za kibiologia na wa st. kayumba lakini utakuta wa st. junior wanafaulu mtihani darasa zima, kuwa tajir inawezekana kwa kila mtu.
 
Hakuna maskini anaepangisha nyumba kodi mil 2 na apate chenji ya kwenda shopping 🛍 DUBAI... labda maskini JEURI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…