Utajiri ni rahisi kuupata ila masharti yake ni magumu

Umenena mawazo potofu kama vile kuna njia moja tu ya kufanikiwa, pili umetaja tabia hizi wote wanazo tegemeana na mapokeo.
Wapo masikini wazulumati, matapeli, washirikina na wenye roho mbaya. Ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano unatumika vibaya kwa upotoshu huu mstari wa kumfariji masikini azidi kuwa masikini.
 

Na ukimjua Mungu huwezi kuwa masikini.
 
Ujaelewa izo ni mambo baadhi zinakuwa nyuma ya pazia na ambazo hutoambiwa katika vitabu vya hao matajiri wanavyoandika ila 90% ndo utajiri wao unavyotokana na sio wanavyaondika kwenye vitabu
Hizo ni sifa za watu masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…