Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe

Hata mimi nikiwaga na vipesa nakuaga na tabia za kitajiri tajiri.

Sema zikipongoronyoka hapo utataka tu koneksheni uishi mjini la sivyo utadanja chumbani na siri zako za kitajiri😁😁


🀣🀣🀣🀣🀣

Koneksheni yenyewe kuipata ni kimbembe
 
Kabisa[emoji106]
 
🀣🀣🀣🀣🀣

Koneksheni yenyewe kuipata ni kimbembe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kabisa mkuu, na mm katika pita pita zangu sijaonaga tajiri muongeaji.

Bro usiombe ukutane na maskini muongeaji, utasanda, utaboreka mnoo.
Madalali wengi sio matajiri ndio maana maneno kwao huwa hayaishi.
 
Daaahh noma Sanaa hili darasa....ila hiyo paragraph ya nne unless uwe umemaanisha Mungu, lakini Kama umemaanisha Kuna binadamu wanajua mpaka kesho yetu Basi naomba ufafanue vizuri tena kwa umakini mkubwa mnoo
hio ya kujua kesho hutoboi ipo na mtu wa hvyo nilkshawahi kuishi nae kabisa bahat mbaya ni marehem kwa sasa alikuwa akiletewa mteja ambae atakufa hamshughulikii kabisa atampa tarehe tu but hamwambii
 
Bandiko zuri sana.. katika pita pita zangu kwa jamaa hao matajiri niliowahi kuwa karibu nao nilikutana na kanuni moja au sheria katika misingi yao


Foster meaningful relationships .. kwamba.. anzisha mahusiano/urafiki wenye maana.. yaani kwa kumaanisha kama uhusiano hauna maana uwe wa urafiki, biashara au wa kimapenzi usiangaike nao..

Safi sana hawa watu hawachoshi..
 
Siri zipi sasa?. Nyeupe au Nyeusi?
 
Dah aisee hiyo car wash ipo wapi Moshi, Arusha au Dar
 
Day huyo mdogo ana wivu mkali sana
 
Weka makala hizi kwenye kijitabu ROBERT HERIEL .
 
Nikupa like kwanza kabla sijasoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…