Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe

[emoji110][emoji109][emoji106] well said
 
Huwezi kutumia lugha nzuri mpaka umuite mpumbavu?

Kasema ana miaka 64 kwanini huna heshima[emoji848]
Kwani mpumbavu Ni lugha mbaya ? Upumbavu Ni level ya chini kabisa ukipita ujinga. Nimemkumbusha atoke huko kwenye upumbavu aje kwenye ujinga halafu awe mwerevu.

Hapa tunatumia anonymous account hatujuani umri, by the way unajuaje na Mimi Nina miaka zaidi ya 60 ?
 
Matjiri wala hawaongei sana kam wewe.
Vilevile sio kweli kuwa matajiri hawana marafiki wengi,akina Ginimbi si uliwaona wewe!
'Matjiri wala hawaongei sana kam wewe.'

Hahah kweli kabisa mkuu, hata muda hua haupo wa kutoa ushauri kwa watu kama jamaa alivyofanya.
 
Kabisa kabisa ndio maana mimi baadhi ya mambo huwa sisemi lakini ninayo mfano watu wengi wanaonifahamu wanajua nina watoto 2 tu wanaowajua lakini kiukweli nina utajiri wa watoto 5 sasa na watu Hawajui mimi kimya watakuja nakushangaa tu hapo baadae mimi nakula matunda ya kuzaa...Yes ndio watoto nao ni utajiri asiyetaka alale mbere kwanza maendeleo hayana vyama...
 
Huruma unamuonea mtu yuko na vita vya kiafya,kiakili au tuseme ana personal issues zinam face ambazo zinaweza kumpelekea akawa weak au aka demise kabisa.Lakini kwenye every aspect ambazo zina involve competition kama business,kazi hapo kuna creativity kazini,promotion na vitu kama hizo zinahusu chapaa,rizki,ngawila huwa ni siri ndio maana matajiri hawatoi siri.
 
Umetoa tena siri aisee Sisi watu weusi tuna matatizo sana
 
Mkuu kuna siri ambazo Mungu baba anajua lakini Yesu hajui.mfano siku ya kiama ,Yesu hajui ni lini
 
Motivational Speakers inategemea ni yupi,,mfano marehemu mzee Mengi,Mzee Bakhresa hao wakiku motivate wasikilize because they mean it fully
Hao nitawasikiliza mzee baba,ila shida nao wale hata muda wa kutoa ushauri walikua hawana.
 
Basi si na wewe uache upumbavu na ujinga wako wa kudhania dhania na watu huwajui.Habithi mmoja.
 
Daah pole sna mkuu....ndugu noma sana hata me nataka niwe bandidu yahn mwakan hapo niwakatae kabisa!
 
Nawewe mtoa mada umekiuka kutuambia kuwa utajiri ni siri, maana umeitoa siri wakati ilitakiwa iwe siri yako, vivo hivyo huwezi kuwa tajiri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…