Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe

Mm ninaomba mnisaidie tajiri hasa ni nani? Maana kila level utakayo ifikia bado utaitaji uongeze ili uingie nafas nyingine na kwa mwanadamu hawez limit matamanio yake hiyo ni nature, sasa masikini ni nani na tajiri ni nani?
 
Kweli kabisa Mana kutuficha hakutusaidii kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushaambiwa ni siri tena kubwa mno sio rahisi kuambiwa na kuna mambo watu wanayasema pale tu wanapokaribia kufa wanaojua husema huyu kabakiza muda mchache Hapa duniani.

Mfano kuna watu wanaacha kazi na anapata kazi ingine muda huo huo inafika pahali mtu anaweza kuiamrisha Dunia impe anachotaka na Dunia inamtii. Mtu anakuja ofisini kwenu kuomba kazi anaambiwa nafasi hakuna haipiti muda mtu anaachishwa ama anaacha kazi kwa kuamua alafu yeye anaitwa kazini.
Katika siri kuna siri KUU. Kitu ambacho unaweza kuwa hufahamu kujua siri haina manufaa kwako Kama huna uwezo wakuitumia ikakusaidia unakuwa huna tofauti na asiyefahamu. Siri ni uwezo,hali, kitu, Taarifa na Inawezekana mwenye siri akawa hajui Kama inapaswa kuwa siri ila inatokea tu haisemi na siku akitaka kuisema kadri anavozidi kuisema akili inamfunguka na kumpa mtetemo tofauti na kuacha kuisema inavotakikana Hapa namaanisha asili/Nature pia Inaweza kumzuia mtu asiseme siri fulani.

Because of time confusion let's me stop here
 
Mbona vingi mkuu,ulisema vitu vitatu ?
 
Motivational Speakers inategemea ni yupi,,mfano marehemu mzee Mengi,Mzee Bakhresa hao wakiku motivate wasikilize because they mean it fully

Hata wao hawawez kukwambia kila kitu how they got where they are , watakwambia tu vitu basic ambavyo tumewah kuvisikia
 
Umeongea ukwel mtu, sasa mm naingia kweny izo sifa za utajir ila bdo kapuku. "Apo kwenyvkuongea na mtu mpk anaondoka sijui kavaa nguo ya rangi gani uyo ni mm mtupu aise" mpka nikahisigi nina kauzembe cha ku focuse au naweza onana na mtu ata mara mbili ila nisimkariri sura. Au mtu anaweza niuliza iv umeongea na mtu flan leo nikamjibu hpna baada ya muda namjibu ee nimeongea nae kumbe nishapoteza, nikiulizwa amesema dah apo sasa ndio mtihan km tulivyozungumza havikuwa na mantiki nitakumbuka viwili tu dah
 
Daaahh noma Sanaa hili darasa....ila hiyo paragraph ya nne unless uwe umemaanisha Mungu, lakini Kama umemaanisha Kuna binadamu wanajua mpaka kesho yetu Basi naomba ufafanue vizuri tena kwa umakini mkubwa mnoo
Yuko sahihi. Hela za utajiri mkubwa zina mikataba ambayo baadhi ya masharti yake ni kifo baada ya muda fulani au kuua kila baada ya muda fulani.
Kuna jamaa yangu alijaribu utajiri huo kwa kutaka kumwua nduguye. Kwa bahati mbaya siri ilivuja kwa kusemwa na mgonjwa baada ya kufanyiwa maombi. Hadi leo amebaki vilevile kama siyo kushuka kiuchumi. Dunia ina Siri nyingi.
 
Naweza kumuunga mkono mweny hoja sababu mm nishawahi kufanya kaz kampuni flan iv ya boss wa kihindi baada ya kuondoka ndio nilikuja kufaham fununu za yule boss, kwamba ukija kabla ya kukuajir lazma akuangalie ung'aaji wa nyota yako kwa sangoma wake. Nilivyoambiwaa na mtu wake wa karb kuwa mm nilivyoenda pale nilionekana ni angavu sana tena akaambiwa awe makini na mm nikifanya mda mrefu pale kaz nitapendwa kupitwa ata yeye na naweza kuwa mkubwa kupita yeye kwahyo ikofikia iko kipindi asiniruhusu niondoke pale..kwahyo nikapigwa pini niwe mtu wa yes tuu nitumiwe. Popote nilipokuwaa naomba kaz sipati kuna sehm nilienda nikafaulu kila kitu mpka kesho natakiwa niitwe kazn waajiri wakasahau mpaka position yng ikapata mtu mwingne. Kwahyo hiv vitu kuwa mtu anajua kesho yako ni kwel aise dunia ina mambo mengi sana
 
Mleta mada yupo sahihi kabisa, sina shaka na alichokisema , Matajiri sio watu wa kuzungumza zungumza ovyo, pia hufanya mambo yao kwa usiri sana . Hilo nimelishuhudia mwenyewe na nimelifanyia kazi pia.
 
Nashkuru kwa kunithibitishia mambo flan yalokua yananipa shida na kunikwamisha maana toka nianze kuwa msiri kwenye mikakati yangu basi naona Mungu anafungua njia.

Kwakwel 35% ya uloongea yana ukwel na yamenihusu.

Mengine sio halis sana au pengine hayajanihusu wala sijayakubali.

Ubarikiwe sana kwa nondo hii nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…