Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

mwenzenu anaendelea kumake money nyie mnaendelea kupiga domo tu
 
Unahakika gani sina cha kumpa? Hapa anapata vyotee PESA Nyumba penzi na hata ajira akitaka TATIANA haitaji masharobalo kwa sasa

Nimezidi kukupenda maaa unajua ninavyopenda......
Umepatia Sana kulist ninavyovitaka kwa mtiririko MWANANA...
PESA
NYUMBA
penzi.......
Nakupenda lusungo nishammwaga huyo sharobaro snipa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom