Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hahaha Dubai ya zenji or? Mi simtanii TATIANA Leo hapa hotel almanusura yule msanii amkane bwana ake kwa ajili yangu hiyo cologne tu naona Dada alidata


Uwiiii....come this way dear huyo msanii asikuwahi....twende zetu Paris
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hahaaaa Kumbe huyo msanii alitaka ?

Muulize TATIANA, mwenzako kesho nna Gem Na star wa Bongo Movie !

Afu Dubai kuleeeee sio hapo Zanzibar ulipoishia wewe !
Hapa Pesa Uchafu !

Na zinapendwa pesa Huo Mwili Kawe security !

Tatizo lako wewe unanipangisha Sana foleni ndio maana naona nibanane na lusungo tu
 
Last edited by a moderator:
Sikupangishi folen bwana !

Safari yetu

Tufanye J.Mos basi afu J tatu tutakuwa hapa !
lusungo na Dinazarde watakuja kutupokea pale Mwalimu Nyerere
!

Unampandisha daraja gani? Pale airport unampitisha mlango gani? Kwangu TATIANA nampandisha ndege business class na pale airport tunapitia VIP upo hapo?
 
Last edited by a moderator:
Yap , kesho usicheze mbali na warumi ukiikosa hii huwez kuipat kwenye magazet ya shigongo wala kweny viblog vyao , ombea mungu tu ma mods wasiutoe Uzi mapema

Ole wako usituite... tunakususa binamu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom