Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa shosti bahati ndio hii unachomoa.. mume hat a Dubai utampata
Sasa shosti bahati ndio hii unachomoa.. mume hat a Dubai utampata
Muache ajifanye anaipenda ndoa huyo , ngoja yamkute kama ya wastara ndo achangamke maana na yey alikuwag iv iv , sasa iv naona akil imemkaa sawa
Umenichekesha! Hivi unadhani msukuma atamuachia hivi hivi?.......atamgeuza kuku wa mayai.
Weee thubutuuuuuu
Umenichekesha! Hivi unadhani msukuma atamuachia hivi hivi?.......atamgeuza kuku wa mayai.
Hehehee...umbea unakuwasha
Kwani hukupata toka kwa snipa shost?
Utakuwa umeshapata, ni ule ubuyu wa mh first class..
nimeupata mwe mwee ila yule mtoto wa Ngombare namjua siku nyingi
na ni rafiki sana wa yule waziri wa mambo ya ndani aliyesimamishwa
Kumbe ni hakaa kanapenda kuvaa kikee ona na tuviatu twakee hahhhahhha sijui wazaze wake wanajisikiajee
Na ule mwingine je?