Utajiri wa kidonda

Ifike muda tuwe tunafikiri kwa kina kama fulani utajiri wake ni wa kutumia akili alizozaliwa nazo au ni utajiri wa kishetani. Wote hapa tuna akili timamu na tunafanya maarifa ya kila aina kupata utajiri. Kwa nini wengine watuzidi utajiri wakati akili zao ni za kawaida tu? Zipo namna za nguvu za giza kuwapa watu utajiri
 
Ndo kama hizo sasa zina mateso makubwa
 
Unakuta jitu halijasoma na halina ujuzi wowote lina utajiri wa kutisha, linaajiri wasomi na wenye ujuzi kwa kuwalipa mshahara linaotaka. Cha kutilia mashaka utajiri wake kwenye miradi yake kunakuwa na mambo ya ushirikina na masharti fulanifulani ya giza kumbe ni utajiri wa kishetani
 
Utajiri ni haki ya waana wa Mungu, usikubali Shetani akupe masharti ya kumiliki. Ukitaka kumiliki mali, hiyo ni haki yako kutoka kwa Mungu Mwenyezi. Tumia njia za Ki-mungu na sio za kishetani.


Sasa hapo inakua hamna raha ya pesa yaan una hela lakn hauna tofauti na maskini tena maskin ana furaha kukupita mwenye hela s bora nishike bunduki niingie benki tu

Hatarias hatarias acha aendelee kufurahia Maisha wapo wengi Mara nyingi kidonda kinakuwa mguu sehemu ya pembeni ya ugoko , na hawapendi kuhojiwa Wala maswali mingi

Inachelewa kuload

Ndo hivo ila expenses zake ni laki 5 kwenda juu per day na ni mcheza kamari wa kutupwa. Na kila day analiwa

Ushai kutana nao?

Shetani ame advance uovu, upo utajiri wa kulawitiwa badala ya kutoa mtu kafara

Wengine wanalawitiwa kama masharti ya kushamirisha utajiri

Sasa si anunue marashi kuzui harufu,ama kaka shetani haruhusu kuzui harufu

Sasa ndo nn



Wapenda kitonga ndo hayo mambo yanawaharibu , tafuta pesa , pata pesa , mambo ya kuroga ni ujinga na uoga ...mtaani pesa halali ipo sana tuu
 
Yupo rafiki yangu mmoja alikuwa na kidonda (Sio kikubwa sana), hicho kidonda ni Cha miaka nenda rudi hakiponagi tu, tulikuwa hatujajua shida nini! Lakini baada Kuna uvumi ulienda jaama anapoga pesa na hicho kidonda chake

Mpaka leo yupo anapeta tu na kidonda chake.
 
Ndio maana hayo mateso yanahamishiwa kwa mtu mwingine na tajiri anabaki na raha zake. Kuna jamaa alimpa mtoto mateso ya "funza" mwili mzima. Yaaani acha tu!! Yeye anapeta tu kwenye viti virefu baa.
 
Niweke sawa hapo kidogo... wengine wana vidonda ila vimefichwa.

Wanavaa vizuri tu na huwezi kugundua wala kujua kama wana vidonda vya kishetani na inasenekana hawasikiagi maumivu wala hakuna harufu... inakuwa siri ili watu wasigundue.
 
Utajiri wa madonda hasa kwa wale wapikaji masupu wanaohusika na mifugo au biashara yake!, (sharti moja wapo yale maji ya kuoshea kidonda lazima yamwagiwe kwenye chakula au kudekia kwenye biashara yake) Upumbavu mtupu huu, pia walaji manjiani tunakula mengi sana mungu atunusuru.
 
Mmmmh mpaka nimeogopa Yani. Kwa kweli Mungu atusadie.
 
Naomba Kama Kuna mtu anaweza nisaidia ni wapi ntampata huyo mganga anisaidie jamani,0747658718
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…