Fursa za kubambikia watu mirungi?1. Tume ya Maadili ni Kwa ajili ya Viongozi wa Umma tu (sheria imeainisha).
2. Fanya kazi Kwa bidii, acha shobo Kwa Mali za watu.
3. Mushi akakae kijijini Kabuku halafu aone fursa azembee?
7. (a) maintains a standard of living above that which is properlycommensurate with his present or past lawful ilcome: (h) owns property disproportionate to his present or past lawful I income, unless lie gives a satisfactory explanation to the court as to how he was able to maintain such a standard of living or how such property came under his ownership.Ni sheria ya kipumbavu yenye kulenga Nini.
Bilioni moja nayo hela
- bilioni 1 unayo?Ni sheria ya kipumbavu yenye kulenga Nini.
Bilioni moja nayo hela
Urefu wa kamba🤣🤣🤣🤣Nawe piga ela kwenye sector yako mkuu.kila mtu ale anapokuluga
Bora mchaga mwizi,kuliko mpare bahili anakula ugali kwa picha ya samaki kweli🤣🤣🤣🤣🤣Sio watafutaji bali ni wezi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣- sheria yetu ya kuzuia na kupambana na rushwa, (the prevention and combating of corruption act) ya 2007, imesema kumiliki Mali zilizozidi kipato chako ni kosa hadi uweze kutoa uthibitisho wa kumiliki hizo Mali, zingatia neno 'uthibitisho'
-sawa kuna mikopo, Swali linakuja una Mali za bilioni 1 na salary scale ya 1M Inaingia akilini? , Ila ukiweza kuthibitisha kuwa ukiweza vipi kumiliki Mali za bilioni 1 kwa salary ya 1m haina shida, uthibitisho unaweza ukawa mfano ulipata mikopo, ulipewa zawadi somewhere,kurithi nk
W chenge umewahi kuwasanua tume ya maadili wachunguze mali zake?Ndg Wana jamvi,
Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.
Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.
Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.
Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Prado na nyumba sio utajiri wewe ni mahitaji muhimu🤣🤣🤣🤣Ndg Wana jamvi,
Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.
Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.
Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.
Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Kwa ninavyojua sisi waTanzania tulivyo, utakuta wewe ni askari mwenzio ila hauko kwenye mirija, unamchomea utambi, sema kama vipi kweli achunguzwe tuNdg Wana jamvi,
Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.
Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.
Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.
Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Mkuu kiukweli Sijakuelewa hapa.COPLO ADRONIS MUSHI
Ushasikia Mushi inakupeleka wapi Songea?
Acha wivu, wewe nenda kakimbie marathon 🏃. Mimi nilifikiri ni millionaire in usd. Kumbe Prado na forester. Ukitaka kuwa kama yeye mfuate jenga ukaribu atakuabia au utaona njia anazo tumia kuwa na unafuu wa maisha. Kama ingekuwa ni rushwa basi wote police wa hapo wangekuwa kama yeye na mada yako ingekuwa utajiri wa kutisha wa police wa eneo hilo.Ndg Wana jamvi,
Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.
Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.
Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.
Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Mchaga ni mtafutaji wa Pesa haijalishi yupo wapi kila alipo hua anakumbatia fursa akiona kuna kamwanya ka kuingiza Pesa anakatumia vulivyo ili Pesa ziingieMkuu kiukweli Sijakuelewa hapa.
Ndg Wana jamvi,
Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.
Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.
Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.
Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Hivi polisi siyo mtumishi wa umma?kama kuna shida,afuatiliwe.1. Tume ya Maadili ni Kwa ajili ya Viongozi wa Umma tu (sheria imeainisha).
2. Fanya kazi Kwa bidii, acha shobo Kwa Mali za watu.
3. Mushi akakae kijijini Kabuku halafu aone fursa azembee?
Ndg Wana jamvi,
Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.
Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.
Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.
Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
Kwa utawala huu uliopo usitegemee hatua yoyote hata ya kuhamishwa tu hawa taichukua.Ndg Wana jamvi,
Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.
Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.
Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.
Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .