DOKEZO Utajiri wa Koplo Adronis Mushi wa Kituo cha Polisi Kabuku uchunguzwe

DOKEZO Utajiri wa Koplo Adronis Mushi wa Kituo cha Polisi Kabuku uchunguzwe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Rais kasema jana kawaambia polisi waweke camera barabarani ila kwa polisi walivyo watakua wanachukulia porini
 
Angekua marwa au masumbuko na wengineo wengi ningesema achunguzwe sasa mtu ni chagga gang ww unataka achunguzwe nn. Kuna pot namjua anafuga nguruwe mpaka naogopa anamkwanja sio kitoto sasa mtu kama huyo utaanza kusema hela anaiba hizi buku buku tunazowapa njiani haziwezi nunua prado. Alafu ni ngumu kumtenga mchagga na prado asee we wa wapi au chuki zinakusumbua
 
Rushwa ni Hela ya bar na guest huwezi nunua Prado kwa hizi.
Kafuge nguruwe utajirike uache majungu
 
Atakuwa kakuchukulia demu si bure si kwa chuki hizo. Yeye anapambania maisha ya familia yake na yeye siyo chanzo cha umaskini wako. Tafuta hela nchi hii ina fursa nyingi acha makasiriko hakuna aliyetoboa kwa chuki. Uvivu wako majungu yako roho mbaya yako chuki zako ndiyo umaskini wako. Ongea na watu vizuri huenda hali yako ngumu ya maisha utatuzi wake ni mdogo sana
Akafuge nguruwe mjini Prado sawa na baiskel tu
 
1. Tume ya Maadili ni Kwa ajili ya Viongozi wa Umma tu (sheria imeainisha).
2. Fanya kazi Kwa bidii, acha shobo Kwa Mali za watu.
3. Mushi akakae kijijini Kabuku halafu aone fursa azembee?
  • usijibu kwa hasira, tumia lugha za staha
  • mleta mada ana hoja nzuri tu, ila tatizo ni kuthibitisha
  • Sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa kuna kifungu kinasema kwamba ,mtu yoyote anayemiliki Mali zilizozidi kipato chake au anaishi hadhi ya maisha iliyozidi kipato chake ni kosa la jinai, hadi atakapo weza kuthibitisha kuwa amewezaje kumiliki Mali hizo zilizozidi kipato chake kihalali
 
Huyo jamaa ni mchaga. Wachaga ni watafutaji! Acha uboya , piga kazi dogo!!!
Acha ukabila, kwani nani siku hizi sio mtafutaji?
- mleta mada ana hoja nzuri tu ila tatizo ni kuthibitisha Hilo, ukiisoma Sheria yetu ya kupambana na kudhibiti rushwa kuna kosa linaitwa Unexplained property - Hilo kosa ni kwamba kumiliki Mali zilizozidi kipato chako ni kosa la jinai au kuishi hadhi ya maisha iliyozidi kipato chako ni kosa Lina jinai, hadi utakapoweza kuthibitisha umeweza vipi kumiliki Mali zilizozidi kipato kihalali.
 
1. Tume ya Maadili ni Kwa ajili ya Viongozi wa Umma tu (sheria imeainisha).
2. Fanya kazi Kwa bidii, acha shobo Kwa Mali za watu.
3. Mushi akakae kijijini Kabuku halafu aone fursa azembee?
Kuna sheria inawaruhusu Takukuru kuchunguza mtu yoyote atakayekuwa na mali nyingi kuliko kipato chache
 
Acha ukabila, kwani nani siku hizi sio mtafutaji?
- mleta mada ana hoja nzuri tu ila tatizo ni kuthibitisha Hilo, ukiisoma Sheria yetu ya kupambana na kudhibiti rushwa kuna kosa linaitwa Unexplained property - Hilo kosa ni kwamba kumiliki Mali zilizozidi kipato chako ni kosa la jinai au kuishi hadhi ya maisha iliyozidi kipato chako ni kosa Lina jinai, hadi utakapoweza kuthibitisha umeweza vipi kumiliki Mali zilizozidi kipato kihalali.
Ni kosa kwenye sheria za ujamaa na Sio kwa sheria za Sasa.
Mbona watumishi wengi Wana mali zama zimebadilika wengi wamejiongeza mikopo
 
Ni kosa kwenye sheria za ujamaa na Sio kwa sheria za Sasa.
Mbona watumishi wengi Wana mali zama zimebadilika wengi wamejiongeza mikopo
- sheria yetu ya kuzuia na kupambana na rushwa, (the prevention and combating of corruption act) ya 2007, imesema kumiliki Mali zilizozidi kipato chako ni kosa hadi uweze kutoa uthibitisho wa kumiliki hizo Mali, zingatia neno 'uthibitisho'
-sawa kuna mikopo, Swali linakuja una Mali za bilioni 1 na salary scale ya 1M Inaingia akilini? , Ila ukiweza kuthibitisha kuwa ukiweza vipi kumiliki Mali za bilioni 1 kwa salary ya 1m haina shida, uthibitisho unaweza ukawa mfano ulipata mikopo, ulipewa zawadi somewhere,kurithi nk
 
Naunga mkono hoja, achunguzwe na aeleze mali kazitowa wapi, watu kama huyo ndiyo wanafanya maisha ya watu kuwa magumu na ndiyo wanaofanya uhalifu na magendo vishamiri.
Assalamualaikum Bi.Faiza
Sheria yetu ya kuzuia na kupambana na rushwa ya 2007 Ina kosa linaitwa Unexplained property ' Yani ukimiliki Mali zilizozidi kipato chako ni kosa au ukiwa unaishi hadhi ya maisha iliyozidi kipato chako ni kosa la jinai, hadi utakapoweza kuthibitisha umeweza vipi kumiliki Mali zilizozidi kipato chako au kuishi hadhi ya maisha iliyozidi kipato chako.
 
- sheria yetu ya kuzuia na kupambana na rushwa, (the prevention and combating of corruption act) ya 2007, imesema kumiliki Mali zilizozidi kipato chako ni kosa hadi uweze kutoa uthibitisho wa kumiliki hizo Mali, zingatia neno 'uthibitisho'
-sawa kuna mikopo, Swali linakuja una Mali za bilioni 1 na salary scale ya 1M Inaingia akilini? , Ila ukiweza kuthibitisha kuwa ukiweza vipi kumiliki Mali za bilioni 1 kwa salary ya 1m haina shida, uthibitisho unaweza ukawa mfano ulipata mikopo, ulipewa zawadi somewhere,kurithi nk
Ni sheria ya kipumbavu yenye kulenga Nini.
Bilioni moja nayo hela
 
Back
Top Bottom