Utajiri wa maaskofu Tanzania: Gwajima tajiri no.1

Last edited by a moderator:

si vizuri kumnenea mabaya nabii wa bwana ikiwemo gwajima na wengineo.
Luka 18:7 Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao ? 8 Nawaambia, atawapatia haki upesi; walakini, atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani?

Gwajima ameahidi kuhakikisha waislamu wengi wanaritadi.
kahtaan jiandae kumpokea yesu mwenye nguvu, mfalme wa wafalme na bwana wa mabwana.
kumbuka wakristo wakweli wameshika chenye "nguvu".
 

Teh teh teh teh!

We unamuita mdanganyifu NABII??

Ama kweli hio imani yenu inaingia kwenye shimo baya mno!

WALE Wauza unga wa sembe woote wakishawapa misaada kidogo tu mnaanza.kuwatungia nyimbo za kuwasifu!

Wewe sio kwamba huna macho!
Lkn ni wale wenye macho LKN HAWAONI!

Mtaongozwa na mashetani mpaka mwisho!
We weka vi mstari vyako vya andiko kutetea uhalifu.
Iko siku utakuja kujuta tu.
 

hivi hujui hata kule afghanistan wanauza miadarati lakini huku bongo hawaachi kuwaiga jinsi wanavyovaa vipedo.

mkuu mkuu hapana shirika kati ya mungu na shetani. penye nuru giza uondoka. atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi(1yohana 3:7).
najua kahtaan hili unalijua fika na dhamiri yako ikikushuhudia ya kuwa yesu ndiye mwenye nguvu na mamlaka lakini umenuwiwa kukaza shingo yako ili usibadilike.
 

Sasa umeshaskia sheikh wa afghanistan ana mali kama huyo jamaa yako!
Acha kukumbatia uhalifu.
Hebu piga hesabu ya kipato cha huyo jamaa na mali alionayo. Uone kama zinakubaliana!

Nyie msio na elimu mnaweza kuuzwa kwa bei rahisi sana.
 
Sasa umeshaskia sheikh wa afghanistan ana mali kama huyo jamaa yako!
Acha kukumbatia uhalifu.
Hebu piga hesabu ya kipato cha huyo jamaa na mali alionayo. Uone kama zinakubaliana!

Nyie msio na elimu mnaweza kuuzwa kwa bei rahisi sana.
hata ulaya huduma ya counseling haitolewi bure. huyu jamaa yupo kwenye profession yake ya kuwafanyia counseling walimwengu katika mambo ya kiroho zaidi, na wao ndio wanamlipa bila shuruti...kiroho safi.
kwa taarifa yako kwa umati wote watu wenye elimu ya juu humu huwakosi.
 

Dream on mate!
Iko siku utamuona front page na vifurushi vyake!
Hapo ndipo utakapo ficha uso wako kwenye gunia.
Time is tickling!
 
Dream on mate!
Iko siku utamuona front page na vifurushi vyake!
Hapo ndipo utakapo ficha uso wako kwenye gunia.
Time is tickling!
shida iliyopo ni wivu wa pesa anazopata thats it. haishangazi hata hivyo ni kweli pia wapo hata wachungaji wengine watakuwa wanamwonea wivu kwa utajiri wake. lakini ni ngumu kwao kuwa na ushahidi wa mabaya afanyayo.

kama ni dhambi basi wanasiasa ndio watakao kuhukumiwa kwa ahadi hewa na kuzungumza uongo kwa ujanja mbele za wananchi wakiwapa matumaini feki, huku wao wakitajirika kwa jasho la wananchi na kuwaacha wananchi wakiwa choka mbaya na matumaini hewa.


na wanasiasa kama marais, wabunge, watunzi wa vitabu, wanamuziki, wanatengeneza fedha nyingi sana kwa kukusanya watu wengi na kuuza maneno kwa watu tena mengine yasiyo na mantiki wala maadili yoyote kwa jamii, na wengi wamejikuta wakiwa mamilionea kwa usanii wao, japo jamii inawaona kama wanaofaa na wakuigwa, je si bora huyu anayekusanya watu na kuwafundisha watu kuacha wizi, shirki, na kuwaasa watu kumcha mungu huku anatengeneza pesa ndefu kupitia kazi yake?

Believe me, umaskini wa nchi hii chanzo chake ni wanasiasa wasiojali maslahi ya taifa na kujali maslahi yao binafsi, na ndiyo wenye ushawishi mkubwa sana kwa jamii.
 

Mwana siasa anatumia maneno ya kawaida kukuibia wewe na yuke mwananchi aliye maskini!

Hawa wahubiri wanatumia MANENO YA MUNGU! KUWAIBIA WAUMINI Ambao wanaamini kuwa hawa ni watumishi wa Mungu!
Nadhani hapa napoteza wakati wangu kujaribu kukuelekeza vitu ambavyo hata mtoto wa darasa la saba angeviona wazi.

Adios pal!
 
Ahh sasa mbona unanishambulia bila kosa?
Kwani mimi kukuita uone hoja za watu wengine imekuwa kosa?
We toa hoja mi sijasema lolote litakalofanya dini yako ionekana mbaya ni hizi mbege zako tu zinakutia wasiwasi!
Teh teh teh

Nani kakuambia kuwa nawatetea waovu?Unayo shida ya fikra sana hembu rudia halafu ujitendee haki hapa.Narudia hakuna dini au dhehebu halijawahi pata shida ya kuwa na watu walipotoka kimaadili toka ktk kundi la walioheshimika sana.MAra nyingi hadi waumini kushindwa amini.
 

Sasa hawa wachungwaji wanaofanya biashara za haramu mbona bado WANAENDELEA KUWACHUNGA WANAKONDOO??
 
Sasa hawa wachungwaji wanaofanya biashara za haramu mbona bado WANAENDELEA KUWACHUNGA WANAKONDOO??

Ni umbea tuu huu..kwa taarifa yako CCM wangetumia kodi vizuri na kuongeza ukusanyaji wa kodi ,Tanzania ingekuwa mbalia sana.

Sadaka za waumini ni nyingi sana..Catolic Long time walishashtuliwa na wenzao wa ualaya kuwa sadaka za ndani zinatosha kabisa endesha makanisa,kuliko kutegemea misaada.

HAya makanisa madogo yanategemea mabaraza yao ya wazee yapo imara kiasi gani ili mchungaji asichanganye kapu lake na la kanisa km ana tabia za utovu wa nidhamu.

Ila pia wengine wanapewa hela binafsi na waumini wenye masiafa na utajiri km zawadi ,majitambo au mitego ya rushwa.....mchungaji husika anaweza pima
 

Wee msukule.
Hapa tunaongelea UTAJIRI WA MAASKOFU!
Na sio MAKANISA.
Nani kawapa ruhusa hawa maaskofu kutumia michango ya watu kujinufaisha wao??

Wacha kutetea.uhalifu. au na wewe ni ktk wale wizi wa sadaka?
 
Wee msukule.
Hapa tunaongelea UTAJIRI WA MAASKOFU!
Na sio MAKANISA.
Nani kawapa ruhusa hawa maaskofu kutumia michango ya watu kujinufaisha wao??

Wacha kutetea.uhalifu. au na wewe ni ktk wale wizi wa sadaka?

kwanini mimi naongelea nini?Askofu ni mchungaji tuu wewe kilaza....sadaka itaibwaje km ipo mikoni mwake?huko ni kufuja.....si kuiba.Nilishakupa majibu ,ila kwa vile unapenda sana kashifu wengine ukidhani ndipo utakuwa msafi.Kaoge wewewe acha upuuzi.

MBONA JOHN MOSMA NYOTA AKA YOHANA MSOMA RAMLI ALIKUWA NA UTAJIRI WA KUTISHA PAMOJA NA KUWA NA SURA ILIYOCHAKAA VILE...ULIJIULIZA ANAIBIA MISIKITI KIASI GANI NA MINISTRY YAKE YA UGANGA (KTK IBADA YA SHETANI) alikuwa akitendea washarika wake haki?
 
huyu mchungaji kaanzisha huduma na watu wameikubali na ina-make ile mbaya. huwezi kuendesha dini bila pesa, pesa ni kila kitu katika uendeshaji wa dini yoyote. kama huduma ni nzuri bila shaka wateja/waumini watakuwa wengi na watachangia zaidi ili huduma iendelee kudumu na kukua zaidi, na wao waendelee kunufaika nayo, hakuna tatizo kwa wateja/waumini kurudisha fadhila kwa wachungaji wao baada ya kuridhika na huduma ya kiroho wanayopatiwa. na pengine ndio chanzo cha gwajima kutajirika.
 

Teh teh teh teh!
Kwa hio huyo hajaiba! Bali KAFUJA TU!
We kweli mbulula!
Yaani unadhani mwizi ukimwita mfujaji mahakama itamuachia!?

Halafu eti kaoge! Uache kuoga wewe ambae unapiga mbege mpaka asubuhi.? Ukiamka unakuta suruali imeshachafuka!
Mikojo chapachapa.

Teh teh teh
 
Wee msukule.
Hapa tunaongelea UTAJIRI WA MAASKOFU!
Na sio MAKANISA.
Nani kawapa ruhusa hawa maaskofu kutumia michango ya watu kujinufaisha wao??

Wacha kutetea.uhalifu. au na wewe ni ktk wale wizi wa sadaka?

Wee pepo kwani kuna sheria ya kuwakataza wasinufaike na michango hiyo?
 
Sasa hawa wachungwaji wanaofanya biashara za haramu mbona bado WANAENDELEA KUWACHUNGA WANAKONDOO??

Na mashehe wanaozini na kufanya ushirikina na uchawi mbona wanaendelea kuswalisha misikitini?
 

Aisee kama na huko ni kubaya hivo si bora tuungane kwenye dini ya wanaume wavaa magauni na sahani za matonge ya ugali kichwani! wapi pepo kahtaan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…