Utajiri wa Magofu ya Rapta

Majani yake yanataka kufanana na majani ya mstafeli lakini pia magome yake ni kama magome ya mdalasini.
 
NIMEANZA KUISOMA LEO KUANZIA NAMBA MOJA HADI ILIPOFIKIA..

SHUSHA VITU MKUU ONGEZA SPEED HAKUNA TRAFFIC HIGH WAY[emoji28][emoji28]
 
Hili sasa Tatizo .!!
Unajua kitu ukikisubiria sana mwisho mzuka unakata [emoji35][emoji35]
 
Nilikaa masaa machache tu na Manuela lakini nilijikuta nimepata mengi sana, alisisitiza kua msitu huo unahatari nyingi ndio maana anajaribu kunionyesha kila mmea tiba ili ikitokea yeye amepatwa na tatizo basi iwe rahisi kumpa huduma.

Sikutaka kusikia zile habari za ikitokea mmoja wetu kaumia nilimwambia asiendelee kuongelea habari za mmoja wetu kupatwa na changamoto yoyote.

Nilijua kabisa ikitokea yeye ndie kapatwa na changamoto mimi nisingeweza kufanya lolote kwa Wakati huo.

Wakati mzee baba napiga yale majani nilianza kuhisi tofauti kwenye mwili yaani kila kitu kilikua active mpaka masikio yalianza kuzibuka.



Kilichotokea kwenye ule mchanganyo wa majani ya Huacapurana na matunda yale ya Camu Camu ni kama nilikunywa kinywaji kimoja maarufu nchi jilani ya Burundi.

Huko Burundi kuna kinywaji kinaitwa akayabagu ni mchanganyiko wa tangawizi, maji na turmeric. Nilikunywa kinywaji hicho mwaka juzi nilipotembelea maeneo flani flani hivi nchini humo.

Kwa wanaokijua kinywaji hiki watoe ushahidi apa, yaani ukinywa na kama ulikua na ahadi na binti usiku huo. Basi mambo yatakua lit....... saaaana yaani ni last longer.

Feeling nilizozipata baada ya kutafuna majani yale ya Huacapurana na matunda ya Camu Camu ilikua ni balaa. Hapo niligundua Manuela alijua alichokua anakifanya na ndio maana alitabasamu akati naanza kula majani yale.


Baada ya sekunde chache za kumaliza kutafuna majani yale mashine ilikua harder and strong enough. Ilisimamam bila matarajio ya kwamba itanywea muda wowote hivyo nilihisi mateso kwakweli.

Ni kama Manuela alishajua hilo kwani alikua mbali kabisa na eneo lile nililiokuwepo mimi. Mbaya zaidi eneo alipokuwepo yeye alikua amekaa kwenye maji anaoga huku akitizama bahasha ile ya nailon ambayo aliitoa kwa Javier.

Alikua bize na makini sana kukagua vilivyomo kwenye bahasha ile wala hakuonyesha kama anafikiria mimi namuona pale alipo.

Sikuweza kuona vitu hivyo kwani alikua amenipa mgongo na nilichokiona ilikua ni ile bahasha ikiwa juu ya jiwe kubwa pembeni yake.

Kwa kuuona mgongo uliofichwa na nywele ndefu za mrembo huyo akiwa kwenye maji yale akili iliruka kabisa. Kama angekua ni yule Manuela teja wa kule mashambani ningejilipua ata kwa kutumia nguvu.

Lakini kwa jinsi nilivyomuona tukiwa safarini niliamini nisingeweza kufua dafu hivyo nilikua mpole mpaka yeye atakapo amua kunitunuku.

Baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya nilijisogeza pembeni kidogo ya kichaka ili kuangalia ni namna gani naweza kupotezea zile feelings. Niliamini kwa kuendelea kumuangalia Manuela anavyooga mambo yangezidi magumu zaidi.

Niliona ni bora nitumie fursa hiyo hiyo na kulala pia kwani kwa jinsi nilivyomuona Manuela na lile pozi lake niliamini tutakaa sana hapo.


Nilikata majani machache nikayatandika chini ili tu nisichafuke zaidi japo wakati huo suruali yangu ilikua haitaminiki jinsi ilivyochanika. Mfano angetokea mtu ghafla eneo lile moja kwa moja angedhani mi ni kichaa.

Nilijilaza uku mashine ikiwa imesimama vyema kwa uimara ambao ata mi mwenyewe Mwenye mashine yangu sikuwahi kuushuhudia mzigo ukiwa umesimama namna ile.

Wale wazee wa kujiboost na mkongo au putuluu fanyeni mpango mjichange muagize huu mti mtanishukuru sana.

Hauna mambo mengi lakini pia ni tiba ya maradhi mengine mengi especially yale maradhi maarufu kama above fifty disease


Nikiwa nimejilaza najaribu kuutafuta usingizi lakini wakati huo najaribu kupotezea mawazo ya kizinzi yaliyonitawala.

Niliskia mtu anacheka sana nyuma yangu Kugeuka alikua Manuela, alivyoona namuangalia akaangalia pembeni kwa namna kama alikua anaona aibu hivi.

Akiwa na muonekano wa urembo zaidi aliongea kwa aibu na hisia sana,

MANUELA: I'm very sorry Ludovic for treating you like lab-rat, I was trying to confirm what miss aparecida taught me.

( Samahan sana Ludovic kwa kukugeuza mfano wa panya wa maabara. nilikua nathibitisha kile nilichofundishwa na miss aparecida)



Apa inaonekana wakati ye na Miss aparecida ( tutamuona baadae) wanafundishana miti shamba waliambiana pia kazi ya Huacapurana kwa wanaume hivyo Manuela akaja kujaribu kwangu na kweli aliona impacts.

Niliona nitumie fursa hiyo hiyo kumwambia naumia sana hivyo anipe ili nisiendelee kupata maumivu yale. nilipewa jibu ambalo liliongeza maswali zaidi, Manuela alidai kwenye maisha yake hakuwahi kuutana na mwanaume hivyo sio kazi rahisi kunipa mbususu.

Hahaha hahahahahaha hahahah Eti Manuela bikra

Kimbilia Whatsapp kwa uhitaji wa kusoma kwa haraka 0623329512

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Niliitafuta hii kwenye research zangu za field wakati nipo UDSM
 
duuuh sasa mkuu hichi ni kionjo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…