Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Manuela alidai kuwa kile kitendo cha kushiriki mapenzi ya jinsia moja na Catarina Alikua anajaribu kutumia weakness ya Catarina ili kufikia malengo ya mpango kazi wake.

Kilichokua kinatafutwa hapo na serikali ya Iran ni ushahidi wa kuhusika kwa Javier kwenye ule mlipuko wa mwaka 2008. Bwana Javier alishitumiwa kama ndiye alikua mastermind wa mchongo mzima.

Ile story ya Manuela kuwa hajawahi kabisa kukutana na mwanaume ilinifanya nikate tamaa ya kuona kwamba nitapata chochote.

Niliwaza kama alijizuia miaka yote hiyo bila kumpa yoyote haiwezi kuichia kirahisi kwa mtu waliekutana ndani ya week tu.


Manuela alisisitiza tuanze safari kwani muda ulikua umeenda sana, mpaka muda huu hakua ameniambia kabisa yeye ni nani na hata jina lake halisi kwani niliamini kila kitu hapo kilikua ni feki kwa upande wake.

Ila nilianza kuhisi anaweza kua agent wa kutokea Iran kwa kile kitendo cha kumfuatilia Javier ambaye alishutumiwa kwa mlipuko huo uliotokea Iran mwaka 2008.

Mlipuko huo uliua watu 14 na kujeruhi wengine zaidi ya 200, lakini pia alihisiwa kwa mashambulizi mengine mengi zaidi ndani ya nchi hiyo.

Tulianza tena safari yetu lakini wakati huu tulikua na energy ya kutosha kutokana na mapumziko yale mafupi pamoja na matunda yale ya Camu Camu.


Suruali yangu ilinikosesha Amani kabisa kwa jinsi ilivyokua, na Manuela alilijua hilo muda wote tukiwa safarini ila alinipa moyo nisijali kwani hakuna idadi kubwa ya watu tunaokutana nao.

Manuela alionekana kuwa na aibu kwani hapo mwanzo alikua na ujasiri wa kuniangalia lakini taratibu tulivyozidi kuwa karibu alishindwa ata kunitazama usoni.

Jambo lingine lililonishangaza ni kwamba Manuela alikua anamuhofia sana Javier, apa niliwaza mengi kuhusu Javier kwani nilitamani kujua Javier ana nguvu gani.

Baada ya mwendo wa masaa kadhaa tuliukaribia mji mdogo ambao at least ulionekana kuchangamka kwa kua na idadi kubwa ya watu.


Japo Manuela hakuweza kuniambia jina la mji huo lakini kwa jinsi alivyokua anaongoza njia niliamini hakua mgeni kabisa maeneo hayo.

Kabla hatujaingia ndani ya mji huo tulivuka mto mdogo, kiukweli ukanda huu wote ulikua na mito mingi sana.

Ilikuwepo mito mikubwa na mingine midogo midogo ambayo kwa asilimia kubwa ilitiririsha maji mwaka mzima kwa mujibu wa Manuela.

Baada ya kuvuka mto niliona mazingira ya kufanana na mgodi mdogo ila sikuweza kutambua walikua wakichimba nini maeneo yale.

Manuela aliniomba nisimame maeneo yale ya pembeni na ule mgodi huku akinisisitza nisitoke hapo mpaka atakapo rudi yeye.

Hivyo basi Manuela aliondoka na kuniacha eneo hilo nikiwa peke yangu, baada ya kukaa peke yangu kwa muda nikiwa natizama huku na kule niliona mzigo mkubwa wa mawe aina ya pyrite.

Kwa wasio ijua pyrite jina jingine huitwa gold fool, wengi hutapeliwa kwa kutumia pyrite wakidhania dhahabu kwa wale wasiojua dhahabu.

Kwa mgeni wa dhahabu ni rahisi sana kutapeliwa kwa kutumia pyrite kwani kuna namna hufanana na dhahabu.

Tofauti ya pyrite na dhahabu ni kwamba tu pyrite ina iron nyingi nadhani na copper pia ndani yake. Hivyo basi hii hupelekea pyrite kuwa na uzito mkubwa kuliko dhahabu.

Lakini pia pyrite hung'aa sana tofauti na dhahabu niliwahi kukutana na pyrite mara kadhaa, na mimi ni moja ya watu tuliodhani kuwa pyrite ni dhahabu kipindi hicho sijaijua dhahabu.


Nikiwa bize kushangaa mawe yale ya pyrite niliguswa mgongoni na bwana mmoja mzungu aliyekua amevaa overoll zilizo chafuka sana.

MZUNGU: Of course you are Ludovic
( Bilashaka wewe ndio Ludovic)

MIMI: Yes it's me
( Ndio ni Mimi)

MZUNGU: come this way
( Njoo huku)

Nilimwambia siwezi kutoka pale kwani kuna mtu namsubiri, aliishia kuniangalia tu nakuondoka na baada ya muda alikuja manuela kunifuata tukaongozana ndani ya fensi ya mgodi huo.

Tuliingia ndani ya ofisi ambayo ilikua ndani ya mgodi huo mdogo na nikamkuta tena yule mzungu. Kwenye meza aliyokua yule mzungu kulikua na passport mbili.

Manuela alichukua passport zile zote mbili na kisha akaziweka kwenye begi dogo la mgongoni. Mzungu yule alisimama akaenda kwenye kabati lililokua ndani ya ofisi ile kisha akatoa akatoa overoll ya kijani akanipatia.

Apa Manuela aliniambia natakiwa kubadilika kwani ile suruali yangu haikua na muonekano mzuri baada ya kuchanwa sana na wale wapuuzi.

Nilitakiwa kubadilisha palepale mbele ya Manuela na yule mzungu, na nilipobadili tu niliambiwa niitupe ile suruali iliyochanika kwenye trashbin iliyokuwepo ofisini pale.

Baada ya kuwa nimebadilika tulitoka nje lakini kabla hatuja toka kabisa nilikumbuka kitu hivyo nikarudi chap kwenye ile trashbin kuchukua tena suruali yangu.

Wote waligeuka kujua nimesahau nini kwenye suruali ile, kikubwa nilichosahau zilikua hereni za Merry ambazo bado nilikua nazo mpaka muda huo.

Baada ya kuzitoa kwenye mifuko ya ile suruali Manuela aliomba aone ni kitu gani kilichokuwepo kwenye mifuko ile. Nilivyomuonyesha aliziangali tu na hakuhoji Chochote na tukaendelea na safari.

Wafanyakazi wengi wa mgodi ule walikua ni weusi, na walionekana kumjua Manuela vizuri tu na licha ya kumjua walionyesha dalili za kumuogopa. na wengi walidhani labda mi ni mfanyakazi mpya nimeletwa hapo kuungana na wengine.

Tulielekea hadi kwenye karakana ndogo ya mgodi huo ambapo tulikuta gari ambayo kwa haraka ipo kama ford ranger.

Yule mzungu ndiye alikua dereva alietuendesha na safari yetu tulikua tukielekea sehemu moja inaitwa Cerro de Pasco.

Tulitumia kama masaa mawili na dakika 40 kutokea pale mgodini hadi kufika ndani ya mji ulioitwa Cerro de Pasco. Mji huu ulikua mkubwa kiukweli, hatukufanikiwa kuona chochote tukiwa njiani kwani tulikua kwenye usingizi mzito.

Manuela alionekana kumuamini sana yule bwana mzungu kwani alikua huru mpaka kumuachia ile bahasha aliyoitoa kwa Javier.



Tuliingia ndani ya mji huo majira ya saa tatu usiku na mji huu ulionekana kuchangamka zaidi kwa idadi ya watu ambao tuliwaona usiku huo.

Gari ilienda mpaka nje ya geti moja lililokua na fensi fupi kiasi kwamba mtu akiwa nje anaweza kuona shughuli zote zinaendelea mdani ya fensi hiyo.

Tulishuka mimi na Manuela pekee ila yule mzungu aligeuka na kutuaga akidai ye anarudi tena kule kule mgodini.

Tulishuka na lile begi na iliyekuja kutufungulia alikua ni mama wa makamo na apa nikamsikia manuela akitaja jina ambalo alishalitaja hapo awali tukiwa porini.

Sikuweza kuielewa lugha waliyotumia kusalimiana lakini kikubwa nilisikia jina la aparecida hapo nikajua huyu ndio yule mama aliyemfundisha ile dawa.

Alitukaribisha mpaka Ndani, yule mama hakua mzuri sana kwenye kingereza lakini at least kwenye Salam tuliweza kuelewana.

Yule mama anakula fegi balaa, yani nilichokiona mezani kwake na ata maeneo ya kuzunguka nyumba vilikua ni vipande na packit za sigara. Hakua akikaa na mtu mwengine yoyote zaidi ya yeye peke ake.

Wakati nazungusha zungusha shingo ndani na nje ya nyumba ile niliona vifaa vingi vya mgodini. Lakini sio tu ndani ya nyumba ile ata nje ya mazingira yale kulionekana na shughuli nyingi za uchimbaji.

Tukiwa pale tulifanya mpango wa kuoga na kisha tukala msosi mzito, Nadhani Manuela hakueleza mahusiano yangu mimi na yeye kwa yule mama kwani tulipewa chumba kimoja cha kulala.


Tukiwa chumbani nilimuulizia Manuela kuhusu ni wapi tunaelekea maana mpaka muda huo sikua naelewa chochote. Nilimuuliza hivyo kwa kua nilishaona tayari amekabidhiwa ile passport yangu ambayo ilikua na jina la mustapha.

Lakini pia passport ya pili ilikua na jina la Fatemeh, hivyo moja kwa moja nilijua hilo ndio litakua jina lake la kweli.

MIMI: are you fatemeh?
( Wewe ni fatemeh)

Mwisho kabisa niliuliza ilikuwaje passport zetu zikawa mikononi kwa yule mzungu.

Manuela alirudisha swali kwangu, akidai kwenye maswali yote yale nichague swali moja la msingi ili yeye alijibu.
Kuuliza kwangu maswali mengi ilionekana wazi nina mambo mengi nataka kuyajua kuhusu Manuela.

Hapo niliona kabisa swali la msingi ni lile la kwanza kwani jambo la msingi ilikua ni kujua wapi tunaelekea.

Alisema usiku ule tutalala pale alafu kesho tutaelekea lima, tukiwa lima ndio atafanya utaratibu wa mimi kurudi bongo alafu yeye anaelekea Iran.

Nilimuuliza tena kama yeye ni raia wa iran hakujibu chochote zaidi ya kujifunika vizuri kwenye shuka moja zito sana alilopewa na aparecida.

Manuela alichagua kulala chini ambako kulikua na mablanket makubwa mawili ameyatanguliza chini ili kumfanya apate usingizi mzuri.

Safari hii sasa ndio nililala usingizi wa maana kama ule usingizi ambao nilikua naupiga kwa mzee massawe.

Nilikuja kustuka asubuhi kumepambazuka lakini sikumuona Manuela pale chini alipokua amelala, zaidi nilikuta massege juu ya blanket aliyoandikwa

LET'S MEET IN LIMA by fatemeh

THE NEXT MOVE

Fatemeh ni nani? Ilikuaje fatemeh akawa Manuela,
Je ni kweli fatemeh ni raia wa Iran?

Kwa wanaosubiri rapta, sasa tunaenda Iran alafu tunarudi bongo kwa ajili ya kazi moja tu kuhakikisha mzigo wa mali uliofukiwa rapta unapatikana.





Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kuamka asubuhi ile nakusoma ile message niliwaza nafikaje Lima, ila kwakua nilikua Ndani ya nyumba ile ya aparecida niliamini kuna utaratibu utakuwa umeandaliwa kwa ajili yangu.

Baada ya kujifanyia usafi wa asubuhi niliona nguo mpya zimewekwa pembeni ya kabati lililokua ndani ya chumba hicho. Niliamini zile nguo zilikua pale kwa ajili yangu, Hivyo nilizivaa zilezile nikaachana na overoll niliyopewa kule mgodini.

Nilikua nimebadilika kiukweli baada ya kuvaa zile nguo mpya nilizozikuta asubuhi ile ndani ya chumba hicho. Ilikua ni jeans classic sana moja ya rangi ya blue iliyopauka na t-shirt nyeupe,

nilikua Smart sana kimuonekano kwa siku hiyo, hivyo nilikua na faraja sana baada ya kujiangalia kwenye kioo kilichokua ndani ya chumba kile.
Nikiwa chumbani namalizia malizia kujiandaa kuna sauti za watu wawili niliziskia nje ya nyumba ile. Bila Shaka ilikua ni sauti ya aparecida na kijana wa kiume ambae sikumjua kabisa.

Nilipotoka ndani ya chumba kile nilimkuta aparecida akiwa amekaa kwenye sebule na kijana ambaye mpaka wakati huo sikuweza kumfahamu.

APARECIDA: good morning mustapha
( Habari za asubuhi mustapha)

Aparecida alinisalimia kwa bashasha sana ni kama alikua ananisubiri niamke kwa hamu sana. Wakati anaongea na mimi alikua na sura ya furaha sana kama kuna habari nzuri alitarajia kuiskia kwenye midomo yangu.


Huku akiwa na sigara mdomoni kwa kutumia kingereza cha hovyo sana na kisichoeleweka alijaribu kunitambulisha kwa kijana yule niliyemkuta sebuleni.

Dhumuni lake nilishalijua hivyo na mimi nilijitambulisha kwa kijana yule ambae kwa bahati nzuri alikua anaongea kingereza.

MIMI: hi..!!! This is mustapha, nice to meet you broh.

( Habari, mimi ni mustapha nafurahi kukutana na wewe)

I'm Damião, nice to meet you too

( Mi naitwa Damião nimefurahi sana kukuona)

Jamaa alikua anaitwa Damião, alikua ana mwili Fulani hivi wa uzembe uzembe japo hakua mnene sana lakini naweza sema kuna maisha Fulani hivi amekulia yale ya msosi wa draft.
Kiufupi alionekana kama kijani mmoja hivi ambae hajui shida kabisa mpaka kufikia umri huo.

Kwa pamoja tulikaa mezani kwa ajili ya breakfast, huku aparecida alikua bize kuandaa mapochopocho ya kufungua kinywa asubuhi hiyo.

APARECIDA: Damião, meet fatemeh's boyfriend. He seems to be very lucky man.

( Damião kutana na boyfriend wa fatemeh, jamaa anaonekana kua mwenye bahati sana)

Damião aliniangalia kwa kunitamani sana kwani alionekana kutokuamini kama ni kweli nilikua boyfriend wa fatemeh.

Ile taarifa ya aparecida kuhusu mimi na fatemeh sikutaka kuipinga haraka haraka kwani sikujua alikua na nia gani au alikua na ushahidi gani.

Aparecida alisema ata yeye amefurahi kuniona kwani hakutarajia kwa siku za hivi karibuni kumuona msichana huyo akiwa na boyfriend.

Alidai amekaa na fatemeh miaka 2 eneo hilo, lakini miaka hiyo yote miwili msichana yule hakuonyesha dalili yoyote ya kuwa na mahusiano.

Fatemeh hapo awali wakati ndio anafika kwenye mji huo hakupenda kabisa kuchanganyika na wanaume wala hakutaka kabisa mazoea na wanaume.

Tabia hii ilisababishwa na mazingira yale ya kiislamu aliyolelewa kwenye kituo kilichoitwa nursery imam Ali Huko mjini Tehran.

Ilionekana wazi kabisa kitendo cha Manuela au fatemeh jina jingine, kukubali kulala chumba kimoja na mimi ilikua ni sababu iliyomuanisha aparecida kua tulikua wapenzi.

Hivyo aparecida aliendelea kusema kwamba mimi nitakua na kitu cha pekee sana kilichomvutia binti huyo. Nilitamani kuwauliza background ya fatemeh (Manuela) ilikuaje akafika hapo na nini alikua akifanya akiwa hapo.

Ila niliamua kukaa kimya kwani niliamini kwenye stories zinazoendelea hapo ningeweza kupata lolote lililohusu background ya fatemeh (Manuela).

DAMIÃO: Did you meet in the mine?
( Mulikutana mgodini?)

Damião aliuliza kama mimi na fatemeh tulikutana mgodini, hapo nilijiongeza kwakua nilikua nimefika hapo jana yake nikiwa na overoll za mgodi nikasema ni kweli tulikutana mgodini.


Kwa maelezo yaliyokua yanaendelea pale niligundua fatemeh ( Manuela) alifika hapo mara ya kwanza akiwa kama mtaalam ambae anaenda kuhudumu kwenye ule mgodi. Japo sikujua alienda kwenye mgodi huo kwa taaluma ipi iliyompeleka mgodini hapo.

DAMIÃO: so broh!! You are as Strong as fatemeh
( Kwaiyo ndugu yangu na wewe unanguvu kama fatemeh alivyo)

MIMI: what you mean
( Una maanisha Nini?)

Hapa Damião alinichanganya kidogo kwani aliuliza kama na mimi nina nguvu kama fatemeh ( Manuela) ila nilishindwa nimjibu nini.


DAMIÃO: usiniambie kama hujui una date na mtu ambaye alipitia mafunzo ya ninjutsu.

Damião aliendelea kunichanganya zaidi baada ya kuniletea msamiati mpya wa ninjutsu ambao sikuwahi kuusikia hapo kabla.

Damião alidai kwamba aligundua fatemeh alikua na uwezo binafsi kwenye self defense pale ambapo wakiwa bado wageni kabisa mgodini. Apa aliniambia walianza wote kazi pale mgodini lakini yeye aliwahi kuondoka kwa ajili ya masomo na mda huo alikua akisoma.

Fatemeh Akiwa bado mgeni mgodini aliwahi kushikwa tako na gringo mmoja hivi ambae baada ya hapo alijutia maamuzi yake.



Kwa maelezo ya Damião ni kwamba huyo gringo hadi leo shingo yake haijanyooka kutokana na pigo la ajabu alilolipata kutoka kwa fatemeh (Manuela).

Hapo niliamua kumwambia Damião kuwa sikua na habari yoyote ya kuhusu uwezo wa kimapigano wa fatemeh.

Damião alicheka sana huku akinisisitza nimepotea njia yaani sitakiwi kumtibua ata kidogo binti huyo kwani hakuwa mtu wa kawaida kabisa.

Aliendelea kusema kwa jinsi anavyoniona nilivyo mtoto wa mama basi sio swala kubwa kabisa kwa fatemeh kunivunja shingo kwani sitompa challenge yoyote endapo ata aamua kunishughulikia.



Nilianza kuhisi kama kuna uhalisia wa maneno yale niliyoyasikia kutoka kwa Damião. Nilikumbuka siku ya kwanza ambapo Manuela (fatemeh) alinipa ahadi tukutane pale kwenye ngazi za magogo chini ya maabara.

Ile siku kuna namna alinivuta sikuelewa nimefikaje pembeni ya barabara kwenye kichaka, lakini pia aliweza kunifikia karibu na kunigusa bila mimi kuhisi kama kuna mtu nyuma yangu.

Jambo lingine lilikua ni uwezo wake mkubwa wa kutembea umbali mrefu bila kuchoka na jinsi alivyokua anajiamini akiwa porini.

Kwa hayo mazingira niliamini ni kweli Manuela (fatemeh) anaweza kuwa na kitu cha zaida kwenye maisha yake especially mambo yanayohusu jeshi au mapigano yoyote.

Damião aliendelea kunipa stories kidogo anazozijua kuhusu fatemeh, japo alidai haijui ata nusu ya story ya maisha ya fatemeh ila kuna namna anaweza kuelezea ni nini anakijua kuhusu binti huyo.

Alidai fatemeh aliwahi kupitia mafunzo maalum yaliyoitwa ninjutsu, Ninjutsu (mara nyingi huitwa Ninpō) hii ilikua mbinu ya upiganaji iliyotumika kwenye martial arts za wajapani.

Hivyo basi hapa alidai fatemeh alikua ni ninja wa kike yaani KUNOICHI. ilionekana kama dogo (Damião) alikua ananitisha kwamba kama ni kweli nilikua nakula yule mchumba basi niache haraka sana.

Apa ilibidi nimuulize Damião ina maana fatemeh alisafiri mpaka Japan kwa ajili ya mafunzo hayo ya kunoichi.

Kwa mujibu wa Damião ni kwamba mafunzo hayo aliyapatia hukohuko Iran nje kidogo ya jiji la Tehran kuliitwa jughin.

Damião alifuatilia taarifa hizo kwani na yeye alitamani kujua mapigano hayo ya ninjutsu kwani muonekano wake ulimfanya kudhaulika sana.

hivyo akaelekezwa kwa master aliyeitwa faraji kwani ndiye alimpika fatemeh mpaka kufikia hapo alipo.

Katika kujifunza mbinu hizi za ninjutsu mavazi yake hu favor wanawake tena hasa wale wanafata shari'a rules. Kwani mwanafunzi hufunika sehemu kubwa ya mwili wake hii ndio ilifanya wanawake wengi wa Iran kujifunza sanaa hii ya ninjutsu.

PICHA YA MFANO WA WANAWAKE WAKIWA KWENYE MAFUNZO HAYO YA NINJUTSU

(PDF)


Baada ya story chache zilizomuhusu fatemeh na vitisho vya hapa na pale. Damião alinihasa nichangamke kwenye msosi kwani tunasafari ndefu ya kuelekea Lima.

Alidai girlfriend wangu alitangulia huko mapema kwa ajili ya kufanya utaratibu wa safari yetu. Hivyo basi alimu assign Damião anifikishe huko lima ili ikiwezekana kesho yake tuanze safari.

Kiukweli sikuona logic ya kuniacha usiku ule na yeye kuelekea mwenyewe huko lima. Hivyo basi bila kupoteza muda nilichangamkia ile breakfast sikutaka kupoteza muda tena.

Hapo at least nilianza kuona matumaini ya kurudi tena bongo kuendelea na struggle nyingine za maisha. Sikuwaza mikwala ya mzee massawe zaidi niliwaza kumueleza nini kimenikuta na kumuomba msamaha anirudishe shule.

Kwa wakati huo nilianza kukusanya taarifa taratibu zilizo muhusu fatemeh.

0623329512 Whatsapp ni AF TATU kupata muendelezo wa pdf

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kuamka asubuhi ile nakusoma ile message niliwaza nafikaje Lima, ila kwakua nilikua Ndani ya nyumba ile ya aparecida niliamini kuna utaratibu utakuwa umeandaliwa kwa ajili yangu.

Baada ya kujifanyia usafi wa asubuhi niliona nguo mpya zimewekwa pembeni ya kabati lililokua ndani ya chumba hicho. Niliamini zile nguo zilikua pale kwa ajili yangu, Hivyo nilizivaa zilezile nikaachana na overoll niliyopewa kule mgodini.

Nilikua nimebadilika kiukweli baada ya kuvaa zile nguo mpya nilizozikuta asubuhi ile ndani ya chumba hicho. Ilikua ni jeans classic sana moja ya rangi ya blue iliyopauka na t-shirt nyeupe,

nilikua Smart sana kimuonekano kwa siku hiyo, hivyo nilikua na faraja sana baada ya kujiangalia kwenye kioo kilichokua ndani ya chumba kile.
Nikiwa chumbani namalizia malizia kujiandaa kuna sauti za watu wawili niliziskia nje ya nyumba ile. Bila Shaka ilikua ni sauti ya aparecida na kijana wa kiume ambae sikumjua kabisa.

Nilipotoka ndani ya chumba kile nilimkuta aparecida akiwa amekaa kwenye sebule na kijana ambaye mpaka wakati huo sikuweza kumfahamu.

APARECIDA: good morning mustapha
( Habari za asubuhi mustapha)

Aparecida alinisalimia kwa bashasha sana ni kama alikua ananisubiri niamke kwa hamu sana. Wakati anaongea na mimi alikua na sura ya furaha sana kama kuna habari nzuri alitarajia kuiskia kwenye midomo yangu.


Huku akiwa na sigara mdomoni kwa kutumia kingereza cha hovyo sana na kisichoeleweka alijaribu kunitambulisha kwa kijana yule niliyemkuta sebuleni.

Dhumuni lake nilishalijua hivyo na mimi nilijitambulisha kwa kijana yule ambae kwa bahati nzuri alikua anaongea kingereza.

MIMI: hi..!!! This is mustapha, nice to meet you broh.

( Habari, mimi ni mustapha nafurahi kukutana na wewe)

I'm Damião, nice to meet you too

( Mi naitwa Damião nimefurahi sana kukuona)

Jamaa alikua anaitwa Damião, alikua ana mwili Fulani hivi wa uzembe uzembe japo hakua mnene sana lakini naweza sema kuna maisha Fulani hivi amekulia yale ya msosi wa draft.
Kiufupi alionekana kama kijani mmoja hivi ambae hajui shida kabisa mpaka kufikia umri huo.

Kwa pamoja tulikaa mezani kwa ajili ya breakfast, huku aparecida alikua bize kuandaa mapochopocho ya kufungua kinywa asubuhi hiyo.

APARECIDA: Damião, meet fatemeh's boyfriend. He seems to be very lucky man.

( Damião kutana na boyfriend wa fatemeh, jamaa anaonekana kua mwenye bahati sana)

Damião aliniangalia kwa kunitamani sana kwani alionekana kutokuamini kama ni kweli nilikua boyfriend wa fatemeh.

Ile taarifa ya aparecida kuhusu mimi na fatemeh sikutaka kuipinga haraka haraka kwani sikujua alikua na nia gani au alikua na ushahidi gani.

Aparecida alisema ata yeye amefurahi kuniona kwani hakutarajia kwa siku za hivi karibuni kumuona msichana huyo akiwa na boyfriend.

Alidai amekaa na fatemeh miaka 2 eneo hilo, lakini miaka hiyo yote miwili msichana yule hakuonyesha dalili yoyote ya kuwa na mahusiano.

Fatemeh hapo awali wakati ndio anafika kwenye mji huo hakupenda kabisa kuchanganyika na wanaume wala hakutaka kabisa mazoea na wanaume.

Tabia hii ilisababishwa na mazingira yale ya kiislamu aliyolelewa kwenye kituo kilichoitwa nursery imam Ali Huko mjini Tehran.

Ilionekana wazi kabisa kitendo cha Manuela au fatemeh jina jingine, kukubali kulala chumba kimoja na mimi ilikua ni sababu iliyomuanisha aparecida kua tulikua wapenzi.

Hivyo aparecida aliendelea kusema kwamba mimi nitakua na kitu cha pekee sana kilichomvutia binti huyo. Nilitamani kuwauliza background ya fatemeh (Manuela) ilikuaje akafika hapo na nini alikua akifanya akiwa hapo.

Ila niliamua kukaa kimya kwani niliamini kwenye stories zinazoendelea hapo ningeweza kupata lolote lililohusu background ya fatemeh (Manuela).

DAMIÃO: Did you meet in the mine?
( Mulikutana mgodini?)

Damião aliuliza kama mimi na fatemeh tulikutana mgodini, hapo nilijiongeza kwakua nilikua nimefika hapo jana yake nikiwa na overoll za mgodi nikasema ni kweli tulikutana mgodini.


Kwa maelezo yaliyokua yanaendelea pale niligundua fatemeh ( Manuela) alifika hapo mara ya kwanza akiwa kama mtaalam ambae anaenda kuhudumu kwenye ule mgodi. Japo sikujua alienda kwenye mgodi huo kwa taaluma ipi iliyompeleka mgodini hapo.

DAMIÃO: so broh!! You are as Strong as fatemeh
( Kwaiyo ndugu yangu na wewe unanguvu kama fatemeh alivyo)

MIMI: what you mean
( Una maanisha Nini?)

Hapa Damião alinichanganya kidogo kwani aliuliza kama na mimi nina nguvu kama fatemeh ( Manuela) ila nilishindwa nimjibu nini.


DAMIÃO: usiniambie kama hujui una date na mtu ambaye alipitia mafunzo ya ninjutsu.

Damião aliendelea kunichanganya zaidi baada ya kuniletea msamiati mpya wa ninjutsu ambao sikuwahi kuusikia hapo kabla.

Damião alidai kwamba aligundua fatemeh alikua na uwezo binafsi kwenye self defense pale ambapo wakiwa bado wageni kabisa mgodini. Apa aliniambia walianza wote kazi pale mgodini lakini yeye aliwahi kuondoka kwa ajili ya masomo na mda huo alikua akisoma.

Fatemeh Akiwa bado mgeni mgodini aliwahi kushikwa tako na gringo mmoja hivi ambae baada ya hapo alijutia maamuzi yake.



Kwa maelezo ya Damião ni kwamba huyo gringo hadi leo shingo yake haijanyooka kutokana na pigo la ajabu alilolipata kutoka kwa fatemeh (Manuela).

Hapo niliamua kumwambia Damião kuwa sikua na habari yoyote ya kuhusu uwezo wa kimapigano wa fatemeh.

Damião alicheka sana huku akinisisitza nimepotea njia yaani sitakiwi kumtibua ata kidogo binti huyo kwani hakuwa mtu wa kawaida kabisa.

Aliendelea kusema kwa jinsi anavyoniona nilivyo mtoto wa mama basi sio swala kubwa kabisa kwa fatemeh kunivunja shingo kwani sitompa challenge yoyote endapo ata aamua kunishughulikia.



Nilianza kuhisi kama kuna uhalisia wa maneno yale niliyoyasikia kutoka kwa Damião. Nilikumbuka siku ya kwanza ambapo Manuela (fatemeh) alinipa ahadi tukutane pale kwenye ngazi za magogo chini ya maabara.

Ile siku kuna namna alinivuta sikuelewa nimefikaje pembeni ya barabara kwenye kichaka, lakini pia aliweza kunifikia karibu na kunigusa bila mimi kuhisi kama kuna mtu nyuma yangu.

Jambo lingine lilikua ni uwezo wake mkubwa wa kutembea umbali mrefu bila kuchoka na jinsi alivyokua anajiamini akiwa porini.

Kwa hayo mazingira niliamini ni kweli Manuela (fatemeh) anaweza kuwa na kitu cha zaida kwenye maisha yake especially mambo yanayohusu jeshi au mapigano yoyote.

Damião aliendelea kunipa stories kidogo anazozijua kuhusu fatemeh, japo alidai haijui ata nusu ya story ya maisha ya fatemeh ila kuna namna anaweza kuelezea ni nini anakijua kuhusu binti huyo.

Alidai fatemeh aliwahi kupitia mafunzo maalum yaliyoitwa ninjutsu, Ninjutsu (mara nyingi huitwa Ninpō) hii ilikua mbinu ya upiganaji iliyotumika kwenye martial arts za wajapani.

Hivyo basi hapa alidai fatemeh alikua ni ninja wa kike yaani KUNOICHI. ilionekana kama dogo (Damião) alikua ananitisha kwamba kama ni kweli nilikua nakula yule mchumba basi niache haraka sana.

Apa ilibidi nimuulize Damião ina maana fatemeh alisafiri mpaka Japan kwa ajili ya mafunzo hayo ya kunoichi.

Kwa mujibu wa Damião ni kwamba mafunzo hayo aliyapatia hukohuko Iran nje kidogo ya jiji la Tehran kuliitwa jughin.

Damião alifuatilia taarifa hizo kwani na yeye alitamani kujua mapigano hayo ya ninjutsu kwani muonekano wake ulimfanya kudhaulika sana.

hivyo akaelekezwa kwa master aliyeitwa faraji kwani ndiye alimpika fatemeh mpaka kufikia hapo alipo.

Katika kujifunza mbinu hizi za ninjutsu mavazi yake hu favor wanawake tena hasa wale wanafata shari'a rules. Kwani mwanafunzi hufunika sehemu kubwa ya mwili wake hii ndio ilifanya wanawake wengi wa Iran kujifunza sanaa hii ya ninjutsu.

PICHA YA MFANO WA WANAWAKE WAKIWA KWENYE MAFUNZO HAYO YA NINJUTSU

(PDF)


Baada ya story chache zilizomuhusu fatemeh na vitisho vya hapa na pale. Damião alinihasa nichangamke kwenye msosi kwani tunasafari ndefu ya kuelekea Lima.

Alidai girlfriend wangu alitangulia huko mapema kwa ajili ya kufanya utaratibu wa safari yetu. Hivyo basi alimu assign Damião anifikishe huko lima ili ikiwezekana kesho yake tuanze safari.

Kiukweli sikuona logic ya kuniacha usiku ule na yeye kuelekea mwenyewe huko lima. Hivyo basi bila kupoteza muda nilichangamkia ile breakfast sikutaka kupoteza muda tena.

Hapo at least nilianza kuona matumaini ya kurudi tena bongo kuendelea na struggle nyingine za maisha. Sikuwaza mikwala ya mzee massawe zaidi niliwaza kumueleza nini kimenikuta na kumuomba msamaha anirudishe shule.

Kwa wakati huo nilianza kukusanya taarifa taratibu zilizo muhusu fatemeh.

0623329512 Whatsapp ni AF TATU kupata muendelezo wa pdf

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Story nzur lkn mchaw af tat Wallah
JamiiForums-1914086528.jpg
 
Baada ya kuamka asubuhi ile nakusoma ile message niliwaza nafikaje Lima, ila kwakua nilikua Ndani ya nyumba ile ya aparecida niliamini kuna utaratibu utakuwa umeandaliwa kwa ajili yangu.

Baada ya kujifanyia usafi wa asubuhi niliona nguo mpya zimewekwa pembeni ya kabati lililokua ndani ya chumba hicho. Niliamini zile nguo zilikua pale kwa ajili yangu, Hivyo nilizivaa zilezile nikaachana na overoll niliyopewa kule mgodini.

Nilikua nimebadilika kiukweli baada ya kuvaa zile nguo mpya nilizozikuta asubuhi ile ndani ya chumba hicho. Ilikua ni jeans classic sana moja ya rangi ya blue iliyopauka na t-shirt nyeupe,

nilikua Smart sana kimuonekano kwa siku hiyo, hivyo nilikua na faraja sana baada ya kujiangalia kwenye kioo kilichokua ndani ya chumba kile.
Nikiwa chumbani namalizia malizia kujiandaa kuna sauti za watu wawili niliziskia nje ya nyumba ile. Bila Shaka ilikua ni sauti ya aparecida na kijana wa kiume ambae sikumjua kabisa.

Nilipotoka ndani ya chumba kile nilimkuta aparecida akiwa amekaa kwenye sebule na kijana ambaye mpaka wakati huo sikuweza kumfahamu.

APARECIDA: good morning mustapha
( Habari za asubuhi mustapha)

Aparecida alinisalimia kwa bashasha sana ni kama alikua ananisubiri niamke kwa hamu sana. Wakati anaongea na mimi alikua na sura ya furaha sana kama kuna habari nzuri alitarajia kuiskia kwenye midomo yangu.


Huku akiwa na sigara mdomoni kwa kutumia kingereza cha hovyo sana na kisichoeleweka alijaribu kunitambulisha kwa kijana yule niliyemkuta sebuleni.

Dhumuni lake nilishalijua hivyo na mimi nilijitambulisha kwa kijana yule ambae kwa bahati nzuri alikua anaongea kingereza.

MIMI: hi..!!! This is mustapha, nice to meet you broh.

( Habari, mimi ni mustapha nafurahi kukutana na wewe)

I'm Damião, nice to meet you too

( Mi naitwa Damião nimefurahi sana kukuona)

Jamaa alikua anaitwa Damião, alikua ana mwili Fulani hivi wa uzembe uzembe japo hakua mnene sana lakini naweza sema kuna maisha Fulani hivi amekulia yale ya msosi wa draft.
Kiufupi alionekana kama kijani mmoja hivi ambae hajui shida kabisa mpaka kufikia umri huo.

Kwa pamoja tulikaa mezani kwa ajili ya breakfast, huku aparecida alikua bize kuandaa mapochopocho ya kufungua kinywa asubuhi hiyo.

APARECIDA: Damião, meet fatemeh's boyfriend. He seems to be very lucky man.

( Damião kutana na boyfriend wa fatemeh, jamaa anaonekana kua mwenye bahati sana)

Damião aliniangalia kwa kunitamani sana kwani alionekana kutokuamini kama ni kweli nilikua boyfriend wa fatemeh.

Ile taarifa ya aparecida kuhusu mimi na fatemeh sikutaka kuipinga haraka haraka kwani sikujua alikua na nia gani au alikua na ushahidi gani.

Aparecida alisema ata yeye amefurahi kuniona kwani hakutarajia kwa siku za hivi karibuni kumuona msichana huyo akiwa na boyfriend.

Alidai amekaa na fatemeh miaka 2 eneo hilo, lakini miaka hiyo yote miwili msichana yule hakuonyesha dalili yoyote ya kuwa na mahusiano.

Fatemeh hapo awali wakati ndio anafika kwenye mji huo hakupenda kabisa kuchanganyika na wanaume wala hakutaka kabisa mazoea na wanaume.

Tabia hii ilisababishwa na mazingira yale ya kiislamu aliyolelewa kwenye kituo kilichoitwa nursery imam Ali Huko mjini Tehran.

Ilionekana wazi kabisa kitendo cha Manuela au fatemeh jina jingine, kukubali kulala chumba kimoja na mimi ilikua ni sababu iliyomuanisha aparecida kua tulikua wapenzi.

Hivyo aparecida aliendelea kusema kwamba mimi nitakua na kitu cha pekee sana kilichomvutia binti huyo. Nilitamani kuwauliza background ya fatemeh (Manuela) ilikuaje akafika hapo na nini alikua akifanya akiwa hapo.

Ila niliamua kukaa kimya kwani niliamini kwenye stories zinazoendelea hapo ningeweza kupata lolote lililohusu background ya fatemeh (Manuela).

DAMIÃO: Did you meet in the mine?
( Mulikutana mgodini?)

Damião aliuliza kama mimi na fatemeh tulikutana mgodini, hapo nilijiongeza kwakua nilikua nimefika hapo jana yake nikiwa na overoll za mgodi nikasema ni kweli tulikutana mgodini.


Kwa maelezo yaliyokua yanaendelea pale niligundua fatemeh ( Manuela) alifika hapo mara ya kwanza akiwa kama mtaalam ambae anaenda kuhudumu kwenye ule mgodi. Japo sikujua alienda kwenye mgodi huo kwa taaluma ipi iliyompeleka mgodini hapo.

DAMIÃO: so broh!! You are as Strong as fatemeh
( Kwaiyo ndugu yangu na wewe unanguvu kama fatemeh alivyo)

MIMI: what you mean
( Una maanisha Nini?)

Hapa Damião alinichanganya kidogo kwani aliuliza kama na mimi nina nguvu kama fatemeh ( Manuela) ila nilishindwa nimjibu nini.


DAMIÃO: usiniambie kama hujui una date na mtu ambaye alipitia mafunzo ya ninjutsu.

Damião aliendelea kunichanganya zaidi baada ya kuniletea msamiati mpya wa ninjutsu ambao sikuwahi kuusikia hapo kabla.

Damião alidai kwamba aligundua fatemeh alikua na uwezo binafsi kwenye self defense pale ambapo wakiwa bado wageni kabisa mgodini. Apa aliniambia walianza wote kazi pale mgodini lakini yeye aliwahi kuondoka kwa ajili ya masomo na mda huo alikua akisoma.

Fatemeh Akiwa bado mgeni mgodini aliwahi kushikwa tako na gringo mmoja hivi ambae baada ya hapo alijutia maamuzi yake.



Kwa maelezo ya Damião ni kwamba huyo gringo hadi leo shingo yake haijanyooka kutokana na pigo la ajabu alilolipata kutoka kwa fatemeh (Manuela).

Hapo niliamua kumwambia Damião kuwa sikua na habari yoyote ya kuhusu uwezo wa kimapigano wa fatemeh.

Damião alicheka sana huku akinisisitza nimepotea njia yaani sitakiwi kumtibua ata kidogo binti huyo kwani hakuwa mtu wa kawaida kabisa.

Aliendelea kusema kwa jinsi anavyoniona nilivyo mtoto wa mama basi sio swala kubwa kabisa kwa fatemeh kunivunja shingo kwani sitompa challenge yoyote endapo ata aamua kunishughulikia.



Nilianza kuhisi kama kuna uhalisia wa maneno yale niliyoyasikia kutoka kwa Damião. Nilikumbuka siku ya kwanza ambapo Manuela (fatemeh) alinipa ahadi tukutane pale kwenye ngazi za magogo chini ya maabara.

Ile siku kuna namna alinivuta sikuelewa nimefikaje pembeni ya barabara kwenye kichaka, lakini pia aliweza kunifikia karibu na kunigusa bila mimi kuhisi kama kuna mtu nyuma yangu.

Jambo lingine lilikua ni uwezo wake mkubwa wa kutembea umbali mrefu bila kuchoka na jinsi alivyokua anajiamini akiwa porini.

Kwa hayo mazingira niliamini ni kweli Manuela (fatemeh) anaweza kuwa na kitu cha zaida kwenye maisha yake especially mambo yanayohusu jeshi au mapigano yoyote.

Damião aliendelea kunipa stories kidogo anazozijua kuhusu fatemeh, japo alidai haijui ata nusu ya story ya maisha ya fatemeh ila kuna namna anaweza kuelezea ni nini anakijua kuhusu binti huyo.

Alidai fatemeh aliwahi kupitia mafunzo maalum yaliyoitwa ninjutsu, Ninjutsu (mara nyingi huitwa Ninpō) hii ilikua mbinu ya upiganaji iliyotumika kwenye martial arts za wajapani.

Hivyo basi hapa alidai fatemeh alikua ni ninja wa kike yaani KUNOICHI. ilionekana kama dogo (Damião) alikua ananitisha kwamba kama ni kweli nilikua nakula yule mchumba basi niache haraka sana.

Apa ilibidi nimuulize Damião ina maana fatemeh alisafiri mpaka Japan kwa ajili ya mafunzo hayo ya kunoichi.

Kwa mujibu wa Damião ni kwamba mafunzo hayo aliyapatia hukohuko Iran nje kidogo ya jiji la Tehran kuliitwa jughin.

Damião alifuatilia taarifa hizo kwani na yeye alitamani kujua mapigano hayo ya ninjutsu kwani muonekano wake ulimfanya kudhaulika sana.

hivyo akaelekezwa kwa master aliyeitwa faraji kwani ndiye alimpika fatemeh mpaka kufikia hapo alipo.

Katika kujifunza mbinu hizi za ninjutsu mavazi yake hu favor wanawake tena hasa wale wanafata shari'a rules. Kwani mwanafunzi hufunika sehemu kubwa ya mwili wake hii ndio ilifanya wanawake wengi wa Iran kujifunza sanaa hii ya ninjutsu.

PICHA YA MFANO WA WANAWAKE WAKIWA KWENYE MAFUNZO HAYO YA NINJUTSU

(PDF)


Baada ya story chache zilizomuhusu fatemeh na vitisho vya hapa na pale. Damião alinihasa nichangamke kwenye msosi kwani tunasafari ndefu ya kuelekea Lima.

Alidai girlfriend wangu alitangulia huko mapema kwa ajili ya kufanya utaratibu wa safari yetu. Hivyo basi alimu assign Damião anifikishe huko lima ili ikiwezekana kesho yake tuanze safari.

Kiukweli sikuona logic ya kuniacha usiku ule na yeye kuelekea mwenyewe huko lima. Hivyo basi bila kupoteza muda nilichangamkia ile breakfast sikutaka kupoteza muda tena.

Hapo at least nilianza kuona matumaini ya kurudi tena bongo kuendelea na struggle nyingine za maisha. Sikuwaza mikwala ya mzee massawe zaidi niliwaza kumueleza nini kimenikuta na kumuomba msamaha anirudishe shule.

Kwa wakati huo nilianza kukusanya taarifa taratibu zilizo muhusu fatemeh.

0623329512 Whatsapp ni AF TATU kupata muendelezo wa pdf

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Sorry mkuu, Manuela alikuwa mraibu wa madawa ya kulevya, vipi kipind mpo kwenye safari hakuwah kuwa na arosto?
 
Neno APA naamini unamaanisha HAPA

Mkuu stori ni nzuri sana.

Ina mafunzo mengi
Hizo ni typing errors na zipo nyingi sana naomba mnisamehe kwakweli, napata muda mchache sana wa kuandika hivyo basi ata muda wa kuhakiki unakosekana.

Lakini binafsi naamini kikubwa ni concepts kuhusu mambo kama Grama mtanisamehe hilo litashughulikiwa wakati wa kukamilisha kitabu.


Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Waliopo Whatsapp kwenye PDF baadae tutamuangalia Ethical hacker au jina lingine huitwa white-hat hackers majukumu yao kwenye hizi taasisi za ki inteligensia.

Nadhani mpaka sasa tumepata nuru kuhusu maisha ya fatemeh ( Manuela) japo yeye mwenyewe hana details zake za kutosha kuanzia akiwa chini ya miaka 5.

Lakini pia bwana Shahzad ata toa ushirikiano kwa kiasi gani kuhusu safari yetu ya kuelekea rapta na je nitafuatana na nani kuelekea rapta.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kuamka asubuhi ile nakusoma ile message niliwaza nafikaje Lima, ila kwakua nilikua Ndani ya nyumba ile ya aparecida niliamini kuna utaratibu utakuwa umeandaliwa kwa ajili yangu.

Baada ya kujifanyia usafi wa asubuhi niliona nguo mpya zimewekwa pembeni ya kabati lililokua ndani ya chumba hicho. Niliamini zile nguo zilikua pale kwa ajili yangu, Hivyo nilizivaa zilezile nikaachana na overoll niliyopewa kule mgodini.

Nilikua nimebadilika kiukweli baada ya kuvaa zile nguo mpya nilizozikuta asubuhi ile ndani ya chumba hicho. Ilikua ni jeans classic sana moja ya rangi ya blue iliyopauka na t-shirt nyeupe,

nilikua Smart sana kimuonekano kwa siku hiyo, hivyo nilikua na faraja sana baada ya kujiangalia kwenye kioo kilichokua ndani ya chumba kile.
Nikiwa chumbani namalizia malizia kujiandaa kuna sauti za watu wawili niliziskia nje ya nyumba ile. Bila Shaka ilikua ni sauti ya aparecida na kijana wa kiume ambae sikumjua kabisa.

Nilipotoka ndani ya chumba kile nilimkuta aparecida akiwa amekaa kwenye sebule na kijana ambaye mpaka wakati huo sikuweza kumfahamu.

APARECIDA: good morning mustapha
( Habari za asubuhi mustapha)

Aparecida alinisalimia kwa bashasha sana ni kama alikua ananisubiri niamke kwa hamu sana. Wakati anaongea na mimi alikua na sura ya furaha sana kama kuna habari nzuri alitarajia kuiskia kwenye midomo yangu.


Huku akiwa na sigara mdomoni kwa kutumia kingereza cha hovyo sana na kisichoeleweka alijaribu kunitambulisha kwa kijana yule niliyemkuta sebuleni.

Dhumuni lake nilishalijua hivyo na mimi nilijitambulisha kwa kijana yule ambae kwa bahati nzuri alikua anaongea kingereza.

MIMI: hi..!!! This is mustapha, nice to meet you broh.

( Habari, mimi ni mustapha nafurahi kukutana na wewe)

I'm Damião, nice to meet you too

( Mi naitwa Damião nimefurahi sana kukuona)

Jamaa alikua anaitwa Damião, alikua ana mwili Fulani hivi wa uzembe uzembe japo hakua mnene sana lakini naweza sema kuna maisha Fulani hivi amekulia yale ya msosi wa draft.
Kiufupi alionekana kama kijani mmoja hivi ambae hajui shida kabisa mpaka kufikia umri huo.

Kwa pamoja tulikaa mezani kwa ajili ya breakfast, huku aparecida alikua bize kuandaa mapochopocho ya kufungua kinywa asubuhi hiyo.

APARECIDA: Damião, meet fatemeh's boyfriend. He seems to be very lucky man.

( Damião kutana na boyfriend wa fatemeh, jamaa anaonekana kua mwenye bahati sana)

Damião aliniangalia kwa kunitamani sana kwani alionekana kutokuamini kama ni kweli nilikua boyfriend wa fatemeh.

Ile taarifa ya aparecida kuhusu mimi na fatemeh sikutaka kuipinga haraka haraka kwani sikujua alikua na nia gani au alikua na ushahidi gani.

Aparecida alisema ata yeye amefurahi kuniona kwani hakutarajia kwa siku za hivi karibuni kumuona msichana huyo akiwa na boyfriend.

Alidai amekaa na fatemeh miaka 2 eneo hilo, lakini miaka hiyo yote miwili msichana yule hakuonyesha dalili yoyote ya kuwa na mahusiano.

Fatemeh hapo awali wakati ndio anafika kwenye mji huo hakupenda kabisa kuchanganyika na wanaume wala hakutaka kabisa mazoea na wanaume.

Tabia hii ilisababishwa na mazingira yale ya kiislamu aliyolelewa kwenye kituo kilichoitwa nursery imam Ali Huko mjini Tehran.

Ilionekana wazi kabisa kitendo cha Manuela au fatemeh jina jingine, kukubali kulala chumba kimoja na mimi ilikua ni sababu iliyomuanisha aparecida kua tulikua wapenzi.

Hivyo aparecida aliendelea kusema kwamba mimi nitakua na kitu cha pekee sana kilichomvutia binti huyo. Nilitamani kuwauliza background ya fatemeh (Manuela) ilikuaje akafika hapo na nini alikua akifanya akiwa hapo.

Ila niliamua kukaa kimya kwani niliamini kwenye stories zinazoendelea hapo ningeweza kupata lolote lililohusu background ya fatemeh (Manuela).

DAMIÃO: Did you meet in the mine?
( Mulikutana mgodini?)

Damião aliuliza kama mimi na fatemeh tulikutana mgodini, hapo nilijiongeza kwakua nilikua nimefika hapo jana yake nikiwa na overoll za mgodi nikasema ni kweli tulikutana mgodini.


Kwa maelezo yaliyokua yanaendelea pale niligundua fatemeh ( Manuela) alifika hapo mara ya kwanza akiwa kama mtaalam ambae anaenda kuhudumu kwenye ule mgodi. Japo sikujua alienda kwenye mgodi huo kwa taaluma ipi iliyompeleka mgodini hapo.

DAMIÃO: so broh!! You are as Strong as fatemeh
( Kwaiyo ndugu yangu na wewe unanguvu kama fatemeh alivyo)

MIMI: what you mean
( Una maanisha Nini?)

Hapa Damião alinichanganya kidogo kwani aliuliza kama na mimi nina nguvu kama fatemeh ( Manuela) ila nilishindwa nimjibu nini.


DAMIÃO: usiniambie kama hujui una date na mtu ambaye alipitia mafunzo ya ninjutsu.

Damião aliendelea kunichanganya zaidi baada ya kuniletea msamiati mpya wa ninjutsu ambao sikuwahi kuusikia hapo kabla.

Damião alidai kwamba aligundua fatemeh alikua na uwezo binafsi kwenye self defense pale ambapo wakiwa bado wageni kabisa mgodini. Apa aliniambia walianza wote kazi pale mgodini lakini yeye aliwahi kuondoka kwa ajili ya masomo na mda huo alikua akisoma.

Fatemeh Akiwa bado mgeni mgodini aliwahi kushikwa tako na gringo mmoja hivi ambae baada ya hapo alijutia maamuzi yake.



Kwa maelezo ya Damião ni kwamba huyo gringo hadi leo shingo yake haijanyooka kutokana na pigo la ajabu alilolipata kutoka kwa fatemeh (Manuela).

Hapo niliamua kumwambia Damião kuwa sikua na habari yoyote ya kuhusu uwezo wa kimapigano wa fatemeh.

Damião alicheka sana huku akinisisitza nimepotea njia yaani sitakiwi kumtibua ata kidogo binti huyo kwani hakuwa mtu wa kawaida kabisa.

Aliendelea kusema kwa jinsi anavyoniona nilivyo mtoto wa mama basi sio swala kubwa kabisa kwa fatemeh kunivunja shingo kwani sitompa challenge yoyote endapo ata aamua kunishughulikia.



Nilianza kuhisi kama kuna uhalisia wa maneno yale niliyoyasikia kutoka kwa Damião. Nilikumbuka siku ya kwanza ambapo Manuela (fatemeh) alinipa ahadi tukutane pale kwenye ngazi za magogo chini ya maabara.

Ile siku kuna namna alinivuta sikuelewa nimefikaje pembeni ya barabara kwenye kichaka, lakini pia aliweza kunifikia karibu na kunigusa bila mimi kuhisi kama kuna mtu nyuma yangu.

Jambo lingine lilikua ni uwezo wake mkubwa wa kutembea umbali mrefu bila kuchoka na jinsi alivyokua anajiamini akiwa porini.

Kwa hayo mazingira niliamini ni kweli Manuela (fatemeh) anaweza kuwa na kitu cha zaida kwenye maisha yake especially mambo yanayohusu jeshi au mapigano yoyote.

Damião aliendelea kunipa stories kidogo anazozijua kuhusu fatemeh, japo alidai haijui ata nusu ya story ya maisha ya fatemeh ila kuna namna anaweza kuelezea ni nini anakijua kuhusu binti huyo.

Alidai fatemeh aliwahi kupitia mafunzo maalum yaliyoitwa ninjutsu, Ninjutsu (mara nyingi huitwa Ninpō) hii ilikua mbinu ya upiganaji iliyotumika kwenye martial arts za wajapani.

Hivyo basi hapa alidai fatemeh alikua ni ninja wa kike yaani KUNOICHI. ilionekana kama dogo (Damião) alikua ananitisha kwamba kama ni kweli nilikua nakula yule mchumba basi niache haraka sana.

Apa ilibidi nimuulize Damião ina maana fatemeh alisafiri mpaka Japan kwa ajili ya mafunzo hayo ya kunoichi.

Kwa mujibu wa Damião ni kwamba mafunzo hayo aliyapatia hukohuko Iran nje kidogo ya jiji la Tehran kuliitwa jughin.

Damião alifuatilia taarifa hizo kwani na yeye alitamani kujua mapigano hayo ya ninjutsu kwani muonekano wake ulimfanya kudhaulika sana.

hivyo akaelekezwa kwa master aliyeitwa faraji kwani ndiye alimpika fatemeh mpaka kufikia hapo alipo.

Katika kujifunza mbinu hizi za ninjutsu mavazi yake hu favor wanawake tena hasa wale wanafata shari'a rules. Kwani mwanafunzi hufunika sehemu kubwa ya mwili wake hii ndio ilifanya wanawake wengi wa Iran kujifunza sanaa hii ya ninjutsu.

PICHA YA MFANO WA WANAWAKE WAKIWA KWENYE MAFUNZO HAYO YA NINJUTSU

(PDF)


Baada ya story chache zilizomuhusu fatemeh na vitisho vya hapa na pale. Damião alinihasa nichangamke kwenye msosi kwani tunasafari ndefu ya kuelekea Lima.

Alidai girlfriend wangu alitangulia huko mapema kwa ajili ya kufanya utaratibu wa safari yetu. Hivyo basi alimu assign Damião anifikishe huko lima ili ikiwezekana kesho yake tuanze safari.

Kiukweli sikuona logic ya kuniacha usiku ule na yeye kuelekea mwenyewe huko lima. Hivyo basi bila kupoteza muda nilichangamkia ile breakfast sikutaka kupoteza muda tena.

Hapo at least nilianza kuona matumaini ya kurudi tena bongo kuendelea na struggle nyingine za maisha. Sikuwaza mikwala ya mzee massawe zaidi niliwaza kumueleza nini kimenikuta na kumuomba msamaha anirudishe shule.

Kwa wakati huo nilianza kukusanya taarifa taratibu zilizo muhusu fatemeh.

0623329512 Whatsapp ni AF TATU kupata muendelezo wa pdf

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Hii Ninjutsu aina tofauti na Shorinji kempo kwenye technique
 
Hardcopy ndio inaandaliwa ikiwa tayari tutasema hapahapa

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Hard copy iwe lugha zote, kisw, engl na kiarabu. Nahisi unajua hata kiarabu.
Kama tulisoma hadithi za shigongo kwa nini tusisome hadithi ya kweli. Shigongo kawa tajiri kwa hadithi za kuiga iga, angalia usije ukapigwa wabongo ni wanyama.
 
Hizo ni typing errors na zipo nyingi sana naomba mnisamehe kwakweli, napata muda mchache sana wa kuandika hivyo basi ata muda wa kuhakiki unakosekana.

Lakini binafsi naamini kikubwa ni concepts kuhusu mambo kama Grama mtanisamehe hilo litashughulikiwa wakati wa kukamilisha kitabu.


Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Usiwe na shaka mkuu tunaelewa concepts.

Suala la typos na pagenation hutakiwa kufanywa na Moderators humu wala isikupe jakamoyo.

Pia kabla kitabu hakijatoka huwa kinapitia kwa mhariri kuyaweka sawa hayo.

Wewe tuletee story zaidi. Tunaosoma tutakupatia hints za maebeo hayo
 
Back
Top Bottom