Utajiri wa Magofu ya Rapta

Acha kumuonea wivu jamaa,kwanza huyo faty ni SHEMALE.[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Last time niliisoma July kama sijakosea kumbe imeendelea. Ila Nina maswali kadhaa juu ya uhusiano wako na Fatemeh;
Ilikuwaje ukaachwa roaming around with such most valuable asset in MOIS? Ni kwamba MOIS walikuwa interested na mji wa Rapta mpaka kukuacha uendelee kukaa na huyo mpersian girl? Katika ulimwengu wa kiintelijensia hii ipo wazi kuwa once a mission is completed all evidences are being eliminated.
Ilikuwaje mpaka huyo bidada na untelijensia wake wote akafunguka kwako soon tu baada ya kutoka kuonana na director mpaka mambo ambayo hukupaswa kufahamu?
Kwakujua umuhimu wake wote ndani ya MOIS iweje atake kuondoka nawe kuja Tz kwamba miaka yake yote, wewe ndio ulikuwa a unique n exceptional man she ever met? Enlighten us pls
Tunakusubiri mkuu Mugabonihela
 
Watu wa jf baadhi wanazingua sana sometyms...mtu ametoa muda wake kuleta stori mara ohhh chai haya akinyamaza ohhhh mbona humalizii story....eti mbona hupost hivi huwa mnamlipa mtu...? Kama ni chai usisome acha...na msimforce mtu maana atatakiwa kwenda chooni mwisho wa siku si nyny mnaepeleka kaeni kw kutulia
 
Kuna sehemu akasema walikutana bodaboda mwanzon kabisa
Tanzania bodaboda wameanza kuja 2009 nyuma ya hapo hakukua na bodaboda

Kama ulivyosema ina-uongo mwingi kitu ambacho watanzania tufahamu maisha sio marahisi hivyo
 
Wewe mkewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…