niquetamere
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 532
- 1,008
Simuliaji la mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumuonea wivu jamaa,kwanza huyo faty ni SHEMALE.[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23]Afu sio kwa chai hii kali kabisa ya tangawizi. So mkuu wewe ukiondoka mademu huwa wanakufata tu[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]
1.ulikuwa unatoka sengerema kuendelea mwanza mjini, merry akakuungia[emoji23]
2.ukaomba kwenda dar es salaam , merry nae akaunga
3.ilikuwa urudishwe bongo ila ukaomba kwenda iran na fatemeh akaridhia
4.mara unatoka iran kurudi bongo, fatemeh nae akaomba mje wote hahaha mamaee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1487][emoji1487][emoji1487]
😂😂😂 Apigwe banned mazima maana kaitelekeza story🤣🤣🤣We Jamaa Rudi umalizie story ako...la sivyo Sheria itachukua mkondo wake!
Jamaa kazingua kashindwa kumaliza storyhii chai imepoa sasa.poleni mliopigwa
Jamaa kazingua kashindwa kumaliza storyhii chai imepoa sasa.poleni mliopigwa
Kuna sehemu akasema walikutana bodaboda mwanzon kabisaA young boy, aliyefukuzwa secondary aombe kwenda Iran kwa issue simple ya kuonana na Shahzad tena majasusi wa Iran ninaowajua kdg wamkubalie, aishi na jasus wao 1 room? asafiri na top spies of Iran kwa ndege yao achilia mbali magari yao? alipiwe everything in VIP mode kwa kazi ipi haswa???? Jasus smart amuelezee mambo mengi mpk ya chumbani easily? a cheap african boy easy to buy?
Halafu...all trip hasa za nje mhusika anafanya mambo kibao halipi hata mia, analipiwa tu?(at least mpk epispde niliyoishia) Asee ana bahati kuliko hata majasusi....
Tuisome kwa kuichukulia kama normal Riwaya tu like ya VIPEPEO WEUSI but haina uhalisia. Few aspects can be verified but the story has above 95% fiction side!
Watakaoamini kuwa ni ya kweli nao wana haki hiyo kikatiba!
Lakini nakupongeza Msimuliaji...punguza tu kuitetea kama eti ni story ya kweli, ipo vzr na inavutia wengi kusoma!
Pia una akili zaidi ya super computer kukalili series yooote ya matukio... u are good dude!
Ni ya uongoJamaa kazingua kashindwa kumaliza story
Msimuliaji kafia wapi kazamiaIla hadithi mzuri, jamaa yupo vizuri kujipakulia minyama kwa mtoto wa kipersia Fatemeh.
Ndo kusema umezamia au maana hatuoni mwendelezoTunaendelea wakuu, bado naandika.
Wewe mkewe?Watu wa jf baadhi wanazingua sana sometyms...mtu ametoa muda wake kuleta stori mara ohhh chai haya akinyamaza ohhhh mbona humalizii story....eti mbona hupost hivi huwa mnamlipa mtu...? Kama ni chai usisome acha...na msimforce mtu maana atatakiwa kwenda chooni mwisho wa siku si nyny mnaepeleka kaeni kw kutulia
Na wewe unaemletea kisirani mwenye simulizi bila shaka ni mke mwenzieWewe mkewe?
Tuletee muendelezo mkuuStory tamu sana Kwa sisi tuliomaliziwa kwwnye group la whatsapp
punguz shobo utapata mimba mapemaNa wewe unaemletea kisirani mwenye simulizi bila shaka ni mke mwenzie