Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Fatemeh hakuonekana kama ni mgeni kabisa maeneo hayo kwani wakati Tunaingia ndani ya maktaba ile aliongoza moja kwa moja mpaka floor ya pili. Ni wazi alishajua tayari shahzad ni wapi aliko au atampata sehemu gani Ndani ya maktaba hiyo.

Tuliongoza mpaka kwenye chumba ambacho kilipatikana kwenye ile floor ya pili ya jengo hilo, tukiwa mlangoni kabla hata hatujaingia ndani ilisikika Salam nyuma yetu.

"Asalaam aleykum"

Alikua ni mzee wa karibia miaka sabini na mitano au hata kuendelea namaanisha angeweza kufika ata themanini. Ila pamoja na umri wote huo mzee huyo bado alikua anatembea bila hata ya fimbo na alionekana kuwa mwenye afya njema.

Alikua ni mzee wa kishiraz mwenye ndevu nyeupe pee!!! Huku mwili wake ambao haukua mnene kabisa ulionekana kuwa imara zaidi.

Fatemeh ndie alikua wa kwanza kuitikia salam ile, na alimbadilishia lugha mzee yule kwa mantiki ya kutaka na mimi nielewe mazungumzo yaliyokua yanaendelea.

FATEMEH: Waleykum salaam. I hope you are Shahzad
( Natumaini wewe ndio shahzad)

SHAHZAD: of course it's me
( Bilashaka ndio mimi)

Mzee huyu Shahzad alitukaribisha Ndani ya chumba kile ambacho kilikua ile floor ya pili na tulikaa kwenye meza zilizokua ndani ya ofisi ile.
Baada ya kuketi, mzee yule ambae alionekana kuwa mwingi wa busara alijitambulisha tena kwa mara ya pili tena alitumia kingereza kizuri tu tofauti na nilivyomdhania baada tu kumuona.

Alituita wajukuu zake na kiukweli alikua sahihi kulingana na umri wake ukilinganisha na umri wetu mimi na fatemeh. Sisi hatukustahili kuwa watoto zake zaidi ya wajukuu au hata vitukuu kabisa.

Baada ya kujitambulisha mzee huyo ali ruhusu na sisi tuanze kujitambulisha mmoja baada ya mwingine Na aliyefuatia alikua ni fatemeh.

FATEMEH: asalaam aleykum for the second time, I'm going by the name of fatemeh a native and resident of Tehran. Currently I live in Dar es salaam Tanzania working at Embassy of Islamic Republic of Iran.

( Asalaam aleykum kwa mara ya pili, mimi naitwa fatemeh ni mzawa na mkazi wa Tehran ila kwa sasa naishi Dar es salaam Tanzania na nipo nafanya kazi kwenye ofisi za ubalozi wa Iran)

Kwa kweli sijajua fatemeh alikua anawaza nini kwa kujitambulisha kwa namna ile kwani hakuwahi kufika bongo kabisa lakini kwenye maelezo yake alisema anafanya kazi kwenye ubalozi wa Iran apo dar es salaam.

Mzee huyu kikongwe alifurahi sana kusikia fatemeh alikua akiishi Dar es salaam kwa Wakati huo na yeye alimalizia kusema aliishi mji huo kabla ya miaka ya ya 1960's.

Ila alisema hakufurahia kwa namna ambavyo fatemeh amejitambulisha kwani alitumia jina moja tu hivyo asirudie tena wakati mwingine kwani alitakiwa kutaja na ubini wake pia na ndio utaratibu wa kujitambulisha.

(Baada ya fatemeh kuambiwa maneno yale ni kama alikua mpole sana hususani kwenye muonekano wake na mimi nilishajua sababu ya upole ule. Na bila shaka hii ndio miongoni mwa point zinazomuumiza sana fatemeh kwenye maisha yake.)

Mzee huyo kikongwe shahzad alidai ata tuambia kuwa aliwahi au aliishi maeneo gani kwa Wakati huo ila amefurahi kukutana na watu waliotokea Dar es salaam mji ambao aliwahi kuishi enzi za ujana wake.

Apo sasa niliona fatemeh kapatikana kwani kama ataulizwa mitaa ya bongo ni lazima atachemka tu maana kwa haraka nilijua alikaririshwa ulipo ubalozi wa Iran nchini Tanzania.

Ilifuata zamu yangu ya kujitambulisha ila niliwaza nitumie Ludovic massawe au nimwambie mimi ni mustapha. Nikaona tu nitumie jina la kwenye passport kwani Ndio linalotambulika na vibali vyote vilisomeka kama mustapha.

MIMI: asalaam aleykum, my name is mustapha abdul-qadri makungu a citizen from union republic of Tanzania. I am engaged in business in the city of Dar es Salaam and currently I live in the same city.

( Asalaam aleykum, jina langu ni mustapha abdul-qadri makungu ni mtanzania na ninaishi dar es salaam ambako najishughulisha na biashara)

Shahzad ndiye aliyetawala maongezi yetu wakati ule, na alikua makini sana kutusiiliza kuna muda aliweka miwani yake vizuri( iliyokuwa na kamba kwa nyuma) kama ananizoom hivi anione vizuri.

SHAHZAD: bilashaka kwa majina hayo utakua ni mzanzibari wewe tena mpemba.

( Nilishtuka sana kujua kama mzee anaongea kiswahili japo ni kama alianza kukisahau kwani maneno yake hayaku nyooka kama wazoefu)

Mzee aliendelea kusema amefurahi sana kukutana na mswahili hivyo aliniomba tuongee kiswahili kwani ana miaka mingi hajazungumza lugha hiyo.

Nilimwambia kuwa fatemeh alikua hajui kiswahili akasema hakuna shida tutakua tunatafsiri kwa ajili yake lakini hawezi tena kuongea kingereza kwanza hakipendi hivyo tutatumia kiswahili.

Alimgeukia fatemeh,

SHAHZAD: How long do you have since you arrived in Dar es Salaam?
( Una muda gani toka ufike dar es salaam)

FATEMEH: only two years
( Miaka miwili tu)

SHAHZAD: don't stay too long inside, make sure you visit different places like kiriakoo and meets wazaramo.

( Usikae ndani sana hutojua kiswahili kabisa, hakikisha utembea tembea mfano sokoni kiriakoo ukutane na wazaramo)

Baada ya kuitaja kariakoo japo aliitaja kwa kuikosea kimoyomoyo nikasema kazi ipo leo nimekutana na mwarabu wa kariakoo.

Alimuomba Samahani mjuukuu wake fatemeh Kwani atatumia kiswahili muda mwingi hivyo mimi nitakua nikimtasfiria ambacho tutakua tukiongea kwani kutumia lugha ile angekumbuka mambo mengi akiwa Dar es salaam.



Fatemeh hakua na namna zaidi ya kukubaliana na maneno ya mzee yule shahzad ambae alionekana kuwa mwenye furaha mno wakati huo tulipokutana nae.

Kama unavyojua changamoto za wazee bwana akaanza kuleta stories nyingi za dar es salaam bila hata kutuuliza sisi tumefata nini pale. Mbaya zaidi story hizo ziliwahusu marafiki zake ambao karibia wote walikua ni marehemu.

Na kingine Dar es salaam aliyokua anaizungumzia yeye ni Dar es Salaam ya miaka hiyo hamsini kweusi yaani kabla ata ya uhuru.

Kuna muda alisema au aliitaja msasani kama nje ya jiji la Dar es salaam na apa alinishangaza kidogo sema nikabidi niwe mpole niendelee kumsikiliza.


Kuna muda ata fatemeh alichoka kumsikiliza tena ukichanganya na lugha ya kiswahili aliyokua anatumia mzee basi maskini fatemeh alikua bored sana kwa kumtizama tu.

Kwenye story zake nilikariri jambo moja ambalo kama nitakutana na wazee wa Dar es salaam nitawauliza swali hili.

Alidai asili ya neno dar es salaam sio bandari salama kama ambavyo ilikuja kugeuzwa baadae la hasha, Dar es salaam asili yake ni neno la kiarabu eti

Dar al-Islam au Darul Islam apa alisema maana ya neno hilo ni eneo linalokaliwa au kushikiriwa na waislamu. Na alitaja maeneo hayo mengi yalikua ni pale pale City center na kwa logic yake nilielewa kwanini alisema msasani ni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam.

Hivyo basi na wewe kama utakua interested jaribu kufuatilia maana ya neno dar es salaam ujue ni kweli lilichakachukiwa au hapana.

Kama lilichakachuliwa ni kwanini walifanya hivyo? Je ilikua ni kuepuka kasumba za udini au vipi. Binafsi kama nilitaka kumuamini mzee huyu alafu kuna muda kama nafsi ilikua inasita kabisa.

Kwanini niitaka kumuamini, kwanza kabisa wale wazee ambao aliokua akiwataja kama ndio wazawa wa dar al-Islam au Darul Islam karibia wote walikua ni waislamu kuanzia majina yao mpaka imani zao za dini.

Lakini pia eneo hilo la dar al-Islam au Darul Islam lilikua na idadi kubwa ya misikiti karibia kila kona, ata wewe unaweza kujaribu kuchunguza mitaa ya city center misikiti ipo kwa idadi kubwa sana.

Any way tuliache hilo na tuangalie jambo lingine, kwenye story zake alimtaja mwalimu Nyerere lakini haikua positively hivyo binafsi siwezi kuelezea alimtaja kivipi kwani naamini na nathamini sana mchango wa mwalimu Nyerere mpaka taifa hili kufikia hapa.

Hivyo basi kwa upande wa shahzad nadhani alikua na chuki zake binafsi dhidi ya mwalimu wetu kipenzi mwalimu Julius kambarage Nyerere.

Na ni kama nilidhihirisha kuwa chuki zake zilikua kidini sana sana kwani alionekana ni wale watu ambao walitarajia serikali ya Tanganyika itakua ni serikali ya kiislamu lakini mambo hayakuwa hivyo.

Kwa maelezo yake ni kwamba wazee wa dar al-Islam au Darul Islam walikosea sana eti kumkaribisha mwalimu na kumpa wazfa kwani yeye ndio alikuja kuupoteza uislam na waislamu wa dar al-Islam kwa miaka ile.
Kumbe washiraz wengi waliukimbia mji baada ya kuona mtawala amekua ni mwalimu lakini pia from the beginning hawa wafanya biashara wa kishiraz ndio walikua wana finance shughuli zote za kudai uhuru au nationalistic struggles.

Na alidai baada ya kuona wazee wa Dar wamempokea mwalimu waliamua kuachana na chama hicho kwenye kuki finance na baadae walihamishia nguvu kwenye chama kingine ambacho nimekisahau jina lakini kilikua na element za kiislamu ndani yake.

Naomba tuziache habari za mwalimu na masuala ya uhuru turudi kwenye simulizi yetu..

Mzee aliongea mengi mengi, yaani mambo mengi sana aliyowahi kuyafanya ndani ya jiji la Dar, lakini ili kumtoa kwenye reli niimuuliza nini kilichompeleka kwenye jiji hilo ambalo aliliita dar al-Islam au Darul Islam.
Hapa alidai kilichompeleka dar al-Islam ilikua ni biashara...

Kabla hajaendelea tulisikia adhana, na alitoa muongozo au alinionyesha njia akimaanisha twende msikitini. Masikini ya mungu hakujua ile kanzu nimeivaa tu na lile jina nimepewa tu....
HAKUJUA KAMA NILIKUA SHEKHE WA MCHONGO,



(0623329512 Whatsapp) aftatu tu kupata muendelezo



Jana kwenye episode za Whatsapp tulikua na kikao cha mwisho na Shahzad,
Na kwenye kikao hicho Shahzad alikua ananipa ABC za vituko vya baharini.
Alidai kuna sehemu baharini hakuna sheria za physics kabisa yaana mambo yanaenda kisengerenyuma kulingana na laws za wafizikia. yaani hakuna cha relativity sijui quantum mechanics wala sijui nini kila kinachosogelea hapo huvutwa na hakiwezi kutoka tena. (Akimaanisha escape velocity ni infinity)

Kiuhalisia ni kwamba hakuna kinachoonekana kwenye eneo hilo ata mwanga wenyewe hauonekani ahahahah hahahha.

Yaani kwa lugha rahisi ata mwanga ukienda hapo haurudi, waliosoma soma physics si mnajua kuwa ili uweze kukiona kitu basi ni lazima mwanga uwe unatoka kwenye hicho kitu.

Sasa basi kwenye maeneo hayo ata mwanga ukienda hautoki, utaona nini eti? Mzee alidai kila kitu husimama kikifika apo mpaka muda husimama eti, yaani kuna uwezekano ukiingia umo usizeeka karne karne.

Bahari inavitukoa sana na baharia shahzad atatueleza mengi kuhusu vituko vya bahari na ndio maana wataalamu wanakubali kutokuijua bahari kabisa. Na kama wanaijua basi ni asilimia zisizozida 7% kwenye 100%,

Tuendelee kusoma kwa kutulia kuna mengi kwenye simulizi







Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Fatemah nimemuona kwenye movie ya KANDAHAR
 
TUENDELEE WAPENDWA

Wakati ninyanyuka nikimfuata mzee shahzad kwa ajili ya kuelekea msikitini kuna namna fatemeh aliniangalia. Na mimi nilipomuangalia usoni alinikonyeza huku akinizomea nadhani alimaanisha niende nikapambane na hali yangu huko msikitini.

Fatemeh alijua sikuwa muislam wala nilikua sijui ata waislamu wanasali vipi hivyo ile ilikua ni ishara kwamba nikawe makini wasinistukie.

Unajua eneo kama hukuwahi kuingia na unahisi kuna miiko yake lazima kuna namna ya uoga itakuingia. Na kiukweli nisingeweza kusema mimi sio muislam ingezua maswali mengine mengi kwa mzee yule.

Lakini pia baada ya kumuona ana chembechembe za udini ningesema sio muislam lazima mambo yangekua magumu upande wa ushirikiano.

Hivyo basi nilisimama kinyonge huku fatemeh akinicheka na kunizomea, for sure fatemeh alianza kunizoea sana na ata mimi nisiwe muongo nilishamzoea sana.

Tulishuka taratibu mimi na shahzad wakati huu fatemeh alibaki ndani ya maktaba ile yeye sikuona akijishughulisha na kwenda msikitini.

Lakini ata hivyo shahzad aliniambia mimi tu nadhani kwa wanawake sio lazima sana kwenda msikitini kama nitakua nimekosea nitasahihishwa kwa kauli hii.

Msikiti haukua mbali kabisa na maeneo yale lakini pia kwa bahati mbaya sana wakati tunaelekea msikitini mzee huyu hakuongea chochote njiani sasa sijui ndio utaratibu au vipi kwani alikua bize na rosary yake mkononi akihesabu zile pingili.

Tulipofika karibu na msikiti tulikutana na bwana mdogo ambaye bila kukosea alikua ni mjukuu wa shahzad. Hivyo basi tuliongozana nae mpaka ndani ya msikiti ambao haukua mbali kabisa na maktaba ile.

Kwakua nilikua mgeni na sielewi chochote kuhusu maswala ya msikiti niliamua kujiweka nyumanyuma kidogo ili niwe na copy na ku paste zile process zote ambazo zilikua zikiendelea Ndani ya msikiti ule.

Kwanza kabisa tulipita kwenye korido ambayo ilikua na mabomba mengi sana, kitu kingine hawa jamaa misikiti yao viatu hawavui nje yaani kuna sehemu maalum ipo pembeni ya korido ile kwa ajili ya kuwekea viatu.

Watu waliongia wengi walielekea kwenye mabomba na kuosha sehemu za miili yao kama mikono miguu na vichwa. Lakini kuna namna kama walikua wanaviosha viungo hivyo kwa utaratibu au kwa kufuata mtiririko wa kueleweka.

Wakati nipo pale natafakari nianzie wapi, wapo baadhi ( wachache sana) waliokua wanapita bila hata kupita kwenye yale mabomba na kuosha viungo vyao kama walivyokua wale wengi.

Nilivyoona wapo wanaopita na kuingia ndani bila kuulizwa ahahaa mzee baba nikazama ndichi, kufika ndani nikakuta jamaa wamejipanga mstari mnyoofu huku wamesimama kama askari mikono ikiwa inang'inia.

Kilichofuata hapo ilikua ni kugeza kila hatua na nilifanya hivyo baada ya kutafuta angle ya pembeni kabisa nyuma ya mistari ile.

Kilichokua kinaendelea pale ilikua ni kuangalia majority, yaani wakiinama tunainama wote wakiinuka tunainuka wote mpaka misa ilipoisha.

Na nilivyoona watu wanatoka na mimi na kanzu langu taratiiibu nikawa najisogeza kwa nje. Nilipofika nje nikagundua mzee shahzad yeye alikua bado yupo ndani hivyo nilichukua sandals zangu nikaweka pozi maeneo ya karibu na mlangoni nikawa nawasikilizia watoke ili tuondoke.

Basi wakati nipo pale nje bwana, aslaam aleykum zilikua nyingi mpaka nikawa nataman nibadilishe location lakini sasa nilihofia kupotezana na shahzad na mjukuu wake.

Kilichonishangaza zaidi maeneo yale ni kwamba ukifika muda wa sala watu wanakua wengi msikitini yaani unaweza kukosa ata position ya kusimama.

Kulingana na sensa iliyofanywa na serikali ya Iran mwaka mmoja nyuma ya mwaka huo yaan 2011, takwimu zilionyesha karibia asilimia 99.98% ya wananchi wa Iran ni waislamu.

Na bado takwimu zilidai katika waislamu hao bado asilimia 85 wanapatikana kwenye dhehebu lililoitwa Shia na huku asilimia 11 wakiwa ni wale wa Sunni. Hawa sunn nadhani tunawajua, hawa ndio wale wazee wa kazi unakuta suruali zao zinaishia kwenye magoti na wanamsimamo sana.

Sunni na shia ndio madhehebu makubwa ya uislam kama kuna mengine niweke wazi siyajui hayo mengine.

Ukija katika nchi ya Iran wengi wa wafuasi wa kiislamu wanapatikana kwenye dhehebu hilo la shia na hao wengine yaani Sunni wengi hupatikan sana kwenye nchi za kiarabu na maeneo mengine ya middle east.


Na ni bora kabisa shahzad hakuniuliza mimi ni dhehebu gani kati ya hayo kwani lazima ningezingua. kwa maana hapo kabla sikua najua kabisa madhehebu hayo mpaka pale nilipo ambiwa na fatemeh.

Yaani kama shahzad angeniuliza dhehebu langu basi ningemwambia mimi ni bakwata maana nilishazoea bongo kusikia kuna waislamu wa bakwata na sunni. Ila kumbe kwa bahati mbaya hakuna dhehebu kwenye uislam linaitwa bakwata.

Mzee wetu shahzad alitoka na kijana ambae niliamini alikua ni mjukuu wake na wakanikuta nikiwa pale nje nawasubiri.

Shahzad alisema tunatakiwa tuende nyumbani kwake ili nikapajue na alikua anatumia kiswahili kitu ambacho kilimfanya mjukuu wake asielewe kabisa maongezi yetu.

Nilimuuliza vipi kuhusu fatemeh akasema nimpigie simu, nilipomuambia sina simu alimuomba mjukuu wake anipe simu ili nimpigie bado nikawaambia sina ata namba yake.

Mzee shahzad alicheka sana akaniambia, "bwana mdogo acha tabia za kizaramo sijui za kipemba upo kwenye nchi ya watu hii unatembeaje bila mawasiliano".

Kiukweli niliona alichokisema shahzad kilikua ni ukweli mtupu hivyo nilipanga tukionana cha kwanza kabisa natakiwa kumwambia fatemeh anipe namba yake ya simu.

Kwa kuwa maktaba haikua mbali niliwaomba nimfuate fatemeh ili nije tuongozane kuelekea kwenye nyumba ya mzee huyo.

Mzee alinikubalia lakini huku akinisema kwamba amezoea watanganyika wajanja wajanja sasa anashangaa mi mtanganyika wa wapi nimezubaa namna ile.

Wakati nakaribia nje ya maktaba nilikutana na fatemeh akiwa nje na yeye alikua anatusubiri ili tukaendelee.

FATEMEH:why are you alone?
( Mbona upo peke yako)

MIMI: the old man welcomes us to his place
( Mzee anatukaribisha kwake hivyo nimekufuata)

FATEMEH: OK, but when we arrive there, we should explain our problem in advance
( Sawa ila tuifika tueleze shida yetu mapema)

Ata mimi niliwaza hivyo hivyo kwamba tunatakiwa kueleza shida zetu mapema kwani mzee yule alikua mswahili sana yaani maneno mengi mno mengine yana maana mengine ndio hivyo tena.

Hakukua na umbali wowote kutoka tulipokua mpaka pale walipokuwepo shahzad na mjukuu wake hivyo tulifika mapema na kisha tukaingia kwenye gari kuelekea kwenye mji au nyumba ya shahzad.

Kama kawaida yake shahzad story zilikua za kutosha aisee yule mzee anasound mlima kuna muda aliniuliza kuhusiana na kiriakoo au keriakoo kama alivyoita yeye japo nilijua alimaanisha kariakoo.

Kwa maelezo ya shahzad alidai kabla hajaondoka eneo hilo la kiwanja namba 32 kulikuwepo ofisi za carrier corps na halikua na soko kubwa na la kueleweka kama hivi sasa hivyo anasema alitamani sana kufika hapo ili ashuhudie kwa macho uwepo wa soko hilo.

Kuna muda aliniuliza jambo kwa kiswahili na nilijua hakutaka wengine waelewe alichokua ana maanisha.

" Umewezaje kuelewana na huyu binti kwani kwa haraka tu nimegundua ana kiburi sana, yaani hajataka kabisa kunitajia ubini wake"

MIMI: hapana mzee wangu huyu binti ni miongoni mwa watu wastaarabu niliowahi kukutana nao ila anasababu ya msingi kwanini hajakutajia ubini wake nadhani kadiri tunavyoendelea kuwa pamoja ata kuelezea sababu hizo

Kuna muda mjukuu wa shahzad alikua wakiongea na fatemeh kwa lugha ya uko kwao lakini kwa mujibu wa fatemeh ambae alijitahidi kuni tafsiria papo kwa papo alisema:-

Yule kijana ameshangaa kumuona babu yake anafuraha sana baada ya kukutana na mimi hivyo dogo alimuuliza fatemeh mimi ni Nani.


Kwa mujibu wa fatemeh alimwambia nimetokea East Africa na nimefika hapo Tehran kwa dhumuni la kuonana na shahzad. Lakini alimwambia kuwa ata yeye fatemeh hajui dhumuni agenda yetu mimi na shahzad.

Nyumbani kwa shahzad hapakua mbali kabisa kwani tulitumia takribani robo saa mpaka kufika kwenye nyumba ya mzee huyo. Lilikua ni jumba la kifahari kwa kweli na lilionekana ni jumba la miaka mingi sana yaani ni miongoni mwa majengo ya muda mrefu kwenye mji huo wa Tehran.


Tulikaribishwa ndani na mmama wa kiislamu ambae alionekana kujistiri zaidi ata ya namna ambayo alijistiri kibonde wangu fatemeh. Mzee shahzad nae alitukaribisha kwa mara ya pili mimi na fatemeh,

tukiwa kwenye sebule kubwa fatemeh alinitonya tena katika namna kama ananikumbusha nimpange mzee kuhusu shida yangu kabla mzee hajaanza sound zake.

MIMI: mzee wangu nashukuru sana kwa ukarimu wako na namna ulivyonipokea mimi na mwenzangu kwakweli sikutegemea mapokezi haya pamoja na mambo machache uliyonifunua yanayohusu Tanganyika.

( Kabla sijaendelea aliniwahi)

SHAHZAD: nakushukuru pia mjukuu wangu, ata mimi nimefurahi ujio wanu umejitahidi kunikumbusha mengi sana niliyopitia nikiwa huko Tanganyika.

Alafu samahan mjukuu wangu huyu ni mke wako au mzinzi mwenzio maana siwaelewi tena hususani yeye ndio simuelewi sana. Na kama ni hawala yako leo ndio mwisho kukanyaga kwenye nyumba hii.

MIMI: hapana mzee, fatemeh ndio mwenyeji wangu ambae tumekutana ubalozi wa Iran nchini Tanzania au Tanganyika kama unavyoijua wewe.

Kwa mara ya kwanza nilimueleza shida yangu au dhumuni langu na aliahidi kunisaidia kufika huku na kukutafuta na ndio maana unaona yeye ndio aliomba appointment.

SHAHZAD: apo sasa nimekuelewa enhe dhumuni lako

( Shahzad alikua anaongea kiswahili lakini kuna muda sikumuelewa kabisa hivyo nilijitahidi sana alionekana kusahau maneno mengi. Kilichomsaidia kikubwa ni ule uwepo wa misamiati mingi ya kiswahili kwenye kiarabu)

MIMI: mzee mimi dhumuni la safari hii au mguu wangu huu mpaka unafika hapa, nilitaka ushirikiano wako na ufahamu wako kuhusu mji wa kale ulioitwa rapta.

SHAHZAD: hahha hahahh naona watanganyika mmeanza kufunguka sasa, na umenikumbusha bwana mmoja aliyeitwa Schulz yeye alipenda sana taarifa za mji huu.
Labda nikuulize swali moja mjukuu wangu,
Wewe ulijuaje kama mimi ninaweza kujua taarifa za kina za mji huo?


MIMI: haswaa!!! Hilo swali nililitarajia, kiukweli ni bwana huyohuyo uliyemtaja kama Schulz ambae nilikutana nae Düsseldorf yeye ndiye wa kwanza kunipa taarifa hiyo lakini pia aliniambia nikutafute kwa maelezo ya ziada.

SHAHZAD: hivi yule mwanaharamu mjaa laana bado yupo hai?

MIMI: kwa kweli sidhani kama bado yupo hai kwani Wakati ananipa habari hizi alikua ameshachoka sana.

SHAHZAD: lazima achoke yaani kwa lifestyle ya yule mpuuzi sikutarajia kama atafika ata miaka 50 asee ni bahati yake kama alifanikiwa kuzeeka. Sasa bilashaka mjukuu wangu na wewe utakua wa hovyo sana kama uliweza kukutana na Schulz kwani Schulz hana maana ata kidogo.

Kwanza unajua kama alikua ni jasusi yule mjaa laana, yaani ilikua kidogo tu niuze siri za nchi wakati ule kwani alikua rafiki yangu sana kama hajakwambia.

Mara ya mwisho marehemu mke wangu ndio aliniambia nipunguze kumuamini kwani yeye alikua na mashaka nae sana. Na kama unavyojua, siku zote kama umeoa na mke wako akakutamkia kuwa ana mashaka na rafiki yako basi huyo rafiki ako muangalie kwa jicho la tatu usipuuze.

Anaendelea shahzad,

Schulz alijifanya mjanja mjanja kuna muda alienda mpaka Tanganyika kwa ajili ya kufika rapta lakini alichemka.

MIMI: kwanini alichemka?


SHAHZAD: hahhahh usicheze na uchawi wa mtu mweusi wewe, mjerumani mwenyewe anajikubali lakini pale alichemka na hakuondoka na chochote kwani unafikiri mimi mpaka nikaamua kuweka makazi Tanganyika nilikua sina akili.

MIMI: kwaiyo mzee haukufamnikiwa?

SHAHZAD: umekuja kujua kuhusu rapta au umekuja kujua kama nilifanikiwa? Ebu acha uswahili basi.

Shahzad anaendelea,

Hizi harakati unataka uzifanye na nani kwani sio jambo la kufanya peke labda kama utakua na mtaji mkubwa lakini pia technology kubwa.

Na mwisho kabisa umejipangaje kwani serikali lazima kutakua kuna namna ya vikwazo kwakua kama wewe umejua basi wapo wengi ambao tayari wamejua.

MIMI: kiukweli kabisa kuhusu timu ya kuambatana nayo na mfuko au fund kwa ajili ya project nzima bado sijafanya maamuzi kwakua bado sijaijua vizuri project na ndio maana nikakutafuta ili nipate overview ya project nzima.

SHAHZAD: sawa mjukuu wangu naomba tupate chakula kwanza ayo mengine tutaelezana taratibu.

Binafsi nilitaman sana fatemeh angekuwa anaelewa kiswahili nikiamini angeweza kuchangia mawili matatu lakini ndio hivyo tena kwani mzee aligoma kutumia kingereza.

Hivyo nilijiandaa kwenda kutafsiri kila kitu pindi tukiwa nyumbani mimi na fatemeh ili tu ajue nini kinaendelea.

Wakati tunaendelea na chakula shahzad alisema yeye hapo awali aliwahi kufanya kazi kwenye ile maktaba tuliyomkuta lakini kuhusu documents zilizohusu mji wa rapta kwa mara ya kwanza zilihifadhiwa na familia lakini wakazihamishia kwenye maktaba iliyojulikana kama Rasht National Library.

Alidai Rasht ilikua ni maktaba ya mwanzo hapo uajemi na Ndani yaku hundred thousand of books, hivyo kama familia walipeleka documents hizo kwenye maktaba hiyo baada ya kuona hamna mtu kwenye familia ambaye yupo interested na habari hizo kwani wengi walikua ni wafanya biashara tu.

Ila aliongezea kwa kusema kuwa ata ndani ya nyumba ile pia walikua na maktaba yao hivyo ata angalia na humo pia ili kujua kama kuna masalia yaliyobaki yaliyohusu taarifa za mji huo.

Tulipata chakula safi sana na kitamu lakini wakati wote huo sikua nimekaa na fatemeh kwani wao walikua wakipata chakula tofauti na tulipokua sisi.

Baada ya chakula nilimshukuru sana shahzad na yeye aliniambia naweza kwenda nije kesho yake kwani atakua tayari amekwisha andaa kila kitu na atanifahamisha mengi.

Alidai kuwa kwa siku hiyo nilikua sijamuandaa mapema kuhusu jambo hilo. Alisema nikija kesho yake atanisimulia pia kisa cha bwana mmoja aliyewahi kuishi nchini humo yaani Iran, alisema bwana huyo alikua baharia na aliitwa Sindbad na alisema kisa hicho kinaweza kuniongezea motisha kwenye mchakato wangu huo.

Tuliaga kwa pamoja mimi na fatemeh, lakini kabla hatuja ondoka shahzad alimuita fatemeh na sijui waliongea nini kwani walitumia lugha yao hivyo nilipanga kumuuliza tukifika nyumbani.

Tukiwa nje ya nyumba ile ilikuja tena ile Toyota hiace nyeusi na tulipanda kwa ajili ya kurudi tena nyumbani.




TUKUTANE WHATSAPP 0623329512 kwa muendelezo tupo mbali mbali zaidi.

Mwenye namba ya baba jose muuza mkaa tafadhali [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
TUENDELEE WAPENDWA

Wakati ninyanyuka nikimfuata mzee shahzad kwa ajili ya kuelekea msikitini kuna namna fatemeh aliniangalia. Na mimi nilipomuangalia usoni alinikonyeza huku akinizomea nadhani alimaanisha niende nikapambane na hali yangu huko msikitini.

Fatemeh alijua sikuwa muislam wala nilikua sijui ata waislamu wanasali vipi hivyo ile ilikua ni ishara kwamba nikawe makini wasinistukie.

Unajua eneo kama hukuwahi kuingia na unahisi kuna miiko yake lazima kuna namna ya uoga itakuingia. Na kiukweli nisingeweza kusema mimi sio muislam ingezua maswali mengine mengi kwa mzee yule.

Lakini pia baada ya kumuona ana chembechembe za udini ningesema sio muislam lazima mambo yangekua magumu upande wa ushirikiano.

Hivyo basi nilisimama kinyonge huku fatemeh akinicheka na kunizomea, for sure fatemeh alianza kunizoea sana na ata mimi nisiwe muongo nilishamzoea sana.

Tulishuka taratibu mimi na shahzad wakati huu fatemeh alibaki ndani ya maktaba ile yeye sikuona akijishughulisha na kwenda msikitini.

Lakini ata hivyo shahzad aliniambia mimi tu nadhani kwa wanawake sio lazima sana kwenda msikitini kama nitakua nimekosea nitasahihishwa kwa kauli hii.

Msikiti haukua mbali kabisa na maeneo yale lakini pia kwa bahati mbaya sana wakati tunaelekea msikitini mzee huyu hakuongea chochote njiani sasa sijui ndio utaratibu au vipi kwani alikua bize na rosary yake mkononi akihesabu zile pingili.

Tulipofika karibu na msikiti tulikutana na bwana mdogo ambaye bila kukosea alikua ni mjukuu wa shahzad. Hivyo basi tuliongozana nae mpaka ndani ya msikiti ambao haukua mbali kabisa na maktaba ile.

Kwakua nilikua mgeni na sielewi chochote kuhusu maswala ya msikiti niliamua kujiweka nyumanyuma kidogo ili niwe na copy na ku paste zile process zote ambazo zilikua zikiendelea Ndani ya msikiti ule.

Kwanza kabisa tulipita kwenye korido ambayo ilikua na mabomba mengi sana, kitu kingine hawa jamaa misikiti yao viatu hawavui nje yaani kuna sehemu maalum ipo pembeni ya korido ile kwa ajili ya kuwekea viatu.

Watu waliongia wengi walielekea kwenye mabomba na kuosha sehemu za miili yao kama mikono miguu na vichwa. Lakini kuna namna kama walikua wanaviosha viungo hivyo kwa utaratibu au kwa kufuata mtiririko wa kueleweka.

Wakati nipo pale natafakari nianzie wapi, wapo baadhi ( wachache sana) waliokua wanapita bila hata kupita kwenye yale mabomba na kuosha viungo vyao kama walivyokua wale wengi.

Nilivyoona wapo wanaopita na kuingia ndani bila kuulizwa ahahaa mzee baba nikazama ndichi, kufika ndani nikakuta jamaa wamejipanga mstari mnyoofu huku wamesimama kama askari mikono ikiwa inang'inia.

Kilichofuata hapo ilikua ni kugeza kila hatua na nilifanya hivyo baada ya kutafuta angle ya pembeni kabisa nyuma ya mistari ile.

Kilichokua kinaendelea pale ilikua ni kuangalia majority, yaani wakiinama tunainama wote wakiinuka tunainuka wote mpaka misa ilipoisha.

Na nilivyoona watu wanatoka na mimi na kanzu langu taratiiibu nikawa najisogeza kwa nje. Nilipofika nje nikagundua mzee shahzad yeye alikua bado yupo ndani hivyo nilichukua sandals zangu nikaweka pozi maeneo ya karibu na mlangoni nikawa nawasikilizia watoke ili tuondoke.

Basi wakati nipo pale nje bwana, aslaam aleykum zilikua nyingi mpaka nikawa nataman nibadilishe location lakini sasa nilihofia kupotezana na shahzad na mjukuu wake.

Kilichonishangaza zaidi maeneo yale ni kwamba ukifika muda wa sala watu wanakua wengi msikitini yaani unaweza kukosa ata position ya kusimama.

Kulingana na sensa iliyofanywa na serikali ya Iran mwaka mmoja nyuma ya mwaka huo yaan 2011, takwimu zilionyesha karibia asilimia 99.98% ya wananchi wa Iran ni waislamu.

Na bado takwimu zilidai katika waislamu hao bado asilimia 85 wanapatikana kwenye dhehebu lililoitwa Shia na huku asilimia 11 wakiwa ni wale wa Sunni. Hawa sunn nadhani tunawajua, hawa ndio wale wazee wa kazi unakuta suruali zao zinaishia kwenye magoti na wanamsimamo sana.

Sunni na shia ndio madhehebu makubwa ya uislam kama kuna mengine niweke wazi siyajui hayo mengine.

Ukija katika nchi ya Iran wengi wa wafuasi wa kiislamu wanapatikana kwenye dhehebu hilo la shia na hao wengine yaani Sunni wengi hupatikan sana kwenye nchi za kiarabu na maeneo mengine ya middle east.


Na ni bora kabisa shahzad hakuniuliza mimi ni dhehebu gani kati ya hayo kwani lazima ningezingua. kwa maana hapo kabla sikua najua kabisa madhehebu hayo mpaka pale nilipo ambiwa na fatemeh.

Yaani kama shahzad angeniuliza dhehebu langu basi ningemwambia mimi ni bakwata maana nilishazoea bongo kusikia kuna waislamu wa bakwata na sunni. Ila kumbe kwa bahati mbaya hakuna dhehebu kwenye uislam linaitwa bakwata.

Mzee wetu shahzad alitoka na kijana ambae niliamini alikua ni mjukuu wake na wakanikuta nikiwa pale nje nawasubiri.

Shahzad alisema tunatakiwa tuende nyumbani kwake ili nikapajue na alikua anatumia kiswahili kitu ambacho kilimfanya mjukuu wake asielewe kabisa maongezi yetu.

Nilimuuliza vipi kuhusu fatemeh akasema nimpigie simu, nilipomuambia sina simu alimuomba mjukuu wake anipe simu ili nimpigie bado nikawaambia sina ata namba yake.

Mzee shahzad alicheka sana akaniambia, "bwana mdogo acha tabia za kizaramo sijui za kipemba upo kwenye nchi ya watu hii unatembeaje bila mawasiliano".

Kiukweli niliona alichokisema shahzad kilikua ni ukweli mtupu hivyo nilipanga tukionana cha kwanza kabisa natakiwa kumwambia fatemeh anipe namba yake ya simu.

Kwa kuwa maktaba haikua mbali niliwaomba nimfuate fatemeh ili nije tuongozane kuelekea kwenye nyumba ya mzee huyo.

Mzee alinikubalia lakini huku akinisema kwamba amezoea watanganyika wajanja wajanja sasa anashangaa mi mtanganyika wa wapi nimezubaa namna ile.

Wakati nakaribia nje ya maktaba nilikutana na fatemeh akiwa nje na yeye alikua anatusubiri ili tukaendelee.

FATEMEH:why are you alone?
( Mbona upo peke yako)

MIMI: the old man welcomes us to his place
( Mzee anatukaribisha kwake hivyo nimekufuata)

FATEMEH: OK, but when we arrive there, we should explain our problem in advance
( Sawa ila tuifika tueleze shida yetu mapema)

Ata mimi niliwaza hivyo hivyo kwamba tunatakiwa kueleza shida zetu mapema kwani mzee yule alikua mswahili sana yaani maneno mengi mno mengine yana maana mengine ndio hivyo tena.

Hakukua na umbali wowote kutoka tulipokua mpaka pale walipokuwepo shahzad na mjukuu wake hivyo tulifika mapema na kisha tukaingia kwenye gari kuelekea kwenye mji au nyumba ya shahzad.

Kama kawaida yake shahzad story zilikua za kutosha aisee yule mzee anasound mlima kuna muda aliniuliza kuhusiana na kiriakoo au keriakoo kama alivyoita yeye japo nilijua alimaanisha kariakoo.

Kwa maelezo ya shahzad alidai kabla hajaondoka eneo hilo la kiwanja namba 32 kulikuwepo ofisi za carrier corps na halikua na soko kubwa na la kueleweka kama hivi sasa hivyo anasema alitamani sana kufika hapo ili ashuhudie kwa macho uwepo wa soko hilo.

Kuna muda aliniuliza jambo kwa kiswahili na nilijua hakutaka wengine waelewe alichokua ana maanisha.

" Umewezaje kuelewana na huyu binti kwani kwa haraka tu nimegundua ana kiburi sana, yaani hajataka kabisa kunitajia ubini wake"

MIMI: hapana mzee wangu huyu binti ni miongoni mwa watu wastaarabu niliowahi kukutana nao ila anasababu ya msingi kwanini hajakutajia ubini wake nadhani kadiri tunavyoendelea kuwa pamoja ata kuelezea sababu hizo

Kuna muda mjukuu wa shahzad alikua wakiongea na fatemeh kwa lugha ya uko kwao lakini kwa mujibu wa fatemeh ambae alijitahidi kuni tafsiria papo kwa papo alisema:-

Yule kijana ameshangaa kumuona babu yake anafuraha sana baada ya kukutana na mimi hivyo dogo alimuuliza fatemeh mimi ni Nani.


Kwa mujibu wa fatemeh alimwambia nimetokea East Africa na nimefika hapo Tehran kwa dhumuni la kuonana na shahzad. Lakini alimwambia kuwa ata yeye fatemeh hajui dhumuni agenda yetu mimi na shahzad.

Nyumbani kwa shahzad hapakua mbali kabisa kwani tulitumia takribani robo saa mpaka kufika kwenye nyumba ya mzee huyo. Lilikua ni jumba la kifahari kwa kweli na lilionekana ni jumba la miaka mingi sana yaani ni miongoni mwa majengo ya muda mrefu kwenye mji huo wa Tehran.


Tulikaribishwa ndani na mmama wa kiislamu ambae alionekana kujistiri zaidi ata ya namna ambayo alijistiri kibonde wangu fatemeh. Mzee shahzad nae alitukaribisha kwa mara ya pili mimi na fatemeh,

tukiwa kwenye sebule kubwa fatemeh alinitonya tena katika namna kama ananikumbusha nimpange mzee kuhusu shida yangu kabla mzee hajaanza sound zake.

MIMI: mzee wangu nashukuru sana kwa ukarimu wako na namna ulivyonipokea mimi na mwenzangu kwakweli sikutegemea mapokezi haya pamoja na mambo machache uliyonifunua yanayohusu Tanganyika.

( Kabla sijaendelea aliniwahi)

SHAHZAD: nakushukuru pia mjukuu wangu, ata mimi nimefurahi ujio wanu umejitahidi kunikumbusha mengi sana niliyopitia nikiwa huko Tanganyika.

Alafu samahan mjukuu wangu huyu ni mke wako au mzinzi mwenzio maana siwaelewi tena hususani yeye ndio simuelewi sana. Na kama ni hawala yako leo ndio mwisho kukanyaga kwenye nyumba hii.

MIMI: hapana mzee, fatemeh ndio mwenyeji wangu ambae tumekutana ubalozi wa Iran nchini Tanzania au Tanganyika kama unavyoijua wewe.

Kwa mara ya kwanza nilimueleza shida yangu au dhumuni langu na aliahidi kunisaidia kufika huku na kukutafuta na ndio maana unaona yeye ndio aliomba appointment.

SHAHZAD: apo sasa nimekuelewa enhe dhumuni lako

( Shahzad alikua anaongea kiswahili lakini kuna muda sikumuelewa kabisa hivyo nilijitahidi sana alionekana kusahau maneno mengi. Kilichomsaidia kikubwa ni ule uwepo wa misamiati mingi ya kiswahili kwenye kiarabu)

MIMI: mzee mimi dhumuni la safari hii au mguu wangu huu mpaka unafika hapa, nilitaka ushirikiano wako na ufahamu wako kuhusu mji wa kale ulioitwa rapta.

SHAHZAD: hahha hahahh naona watanganyika mmeanza kufunguka sasa, na umenikumbusha bwana mmoja aliyeitwa Schulz yeye alipenda sana taarifa za mji huu.
Labda nikuulize swali moja mjukuu wangu,
Wewe ulijuaje kama mimi ninaweza kujua taarifa za kina za mji huo?


MIMI: haswaa!!! Hilo swali nililitarajia, kiukweli ni bwana huyohuyo uliyemtaja kama Schulz ambae nilikutana nae Düsseldorf yeye ndiye wa kwanza kunipa taarifa hiyo lakini pia aliniambia nikutafute kwa maelezo ya ziada.

SHAHZAD: hivi yule mwanaharamu mjaa laana bado yupo hai?

MIMI: kwa kweli sidhani kama bado yupo hai kwani Wakati ananipa habari hizi alikua ameshachoka sana.

SHAHZAD: lazima achoke yaani kwa lifestyle ya yule mpuuzi sikutarajia kama atafika ata miaka 50 asee ni bahati yake kama alifanikiwa kuzeeka. Sasa bilashaka mjukuu wangu na wewe utakua wa hovyo sana kama uliweza kukutana na Schulz kwani Schulz hana maana ata kidogo.

Kwanza unajua kama alikua ni jasusi yule mjaa laana, yaani ilikua kidogo tu niuze siri za nchi wakati ule kwani alikua rafiki yangu sana kama hajakwambia.

Mara ya mwisho marehemu mke wangu ndio aliniambia nipunguze kumuamini kwani yeye alikua na mashaka nae sana. Na kama unavyojua, siku zote kama umeoa na mke wako akakutamkia kuwa ana mashaka na rafiki yako basi huyo rafiki ako muangalie kwa jicho la tatu usipuuze.

Anaendelea shahzad,

Schulz alijifanya mjanja mjanja kuna muda alienda mpaka Tanganyika kwa ajili ya kufika rapta lakini alichemka.

MIMI: kwanini alichemka?


SHAHZAD: hahhahh usicheze na uchawi wa mtu mweusi wewe, mjerumani mwenyewe anajikubali lakini pale alichemka na hakuondoka na chochote kwani unafikiri mimi mpaka nikaamua kuweka makazi Tanganyika nilikua sina akili.

MIMI: kwaiyo mzee haukufamnikiwa?

SHAHZAD: umekuja kujua kuhusu rapta au umekuja kujua kama nilifanikiwa? Ebu acha uswahili basi.

Shahzad anaendelea,

Hizi harakati unataka uzifanye na nani kwani sio jambo la kufanya peke labda kama utakua na mtaji mkubwa lakini pia technology kubwa.

Na mwisho kabisa umejipangaje kwani serikali lazima kutakua kuna namna ya vikwazo kwakua kama wewe umejua basi wapo wengi ambao tayari wamejua.

MIMI: kiukweli kabisa kuhusu timu ya kuambatana nayo na mfuko au fund kwa ajili ya project nzima bado sijafanya maamuzi kwakua bado sijaijua vizuri project na ndio maana nikakutafuta ili nipate overview ya project nzima.

SHAHZAD: sawa mjukuu wangu naomba tupate chakula kwanza ayo mengine tutaelezana taratibu.

Binafsi nilitaman sana fatemeh angekuwa anaelewa kiswahili nikiamini angeweza kuchangia mawili matatu lakini ndio hivyo tena kwani mzee aligoma kutumia kingereza.

Hivyo nilijiandaa kwenda kutafsiri kila kitu pindi tukiwa nyumbani mimi na fatemeh ili tu ajue nini kinaendelea.

Wakati tunaendelea na chakula shahzad alisema yeye hapo awali aliwahi kufanya kazi kwenye ile maktaba tuliyomkuta lakini kuhusu documents zilizohusu mji wa rapta kwa mara ya kwanza zilihifadhiwa na familia lakini wakazihamishia kwenye maktaba iliyojulikana kama Rasht National Library.

Alidai Rasht ilikua ni maktaba ya mwanzo hapo uajemi na Ndani yaku hundred thousand of books, hivyo kama familia walipeleka documents hizo kwenye maktaba hiyo baada ya kuona hamna mtu kwenye familia ambaye yupo interested na habari hizo kwani wengi walikua ni wafanya biashara tu.

Ila aliongezea kwa kusema kuwa ata ndani ya nyumba ile pia walikua na maktaba yao hivyo ata angalia na humo pia ili kujua kama kuna masalia yaliyobaki yaliyohusu taarifa za mji huo.

Tulipata chakula safi sana na kitamu lakini wakati wote huo sikua nimekaa na fatemeh kwani wao walikua wakipata chakula tofauti na tulipokua sisi.

Baada ya chakula nilimshukuru sana shahzad na yeye aliniambia naweza kwenda nije kesho yake kwani atakua tayari amekwisha andaa kila kitu na atanifahamisha mengi.

Alidai kuwa kwa siku hiyo nilikua sijamuandaa mapema kuhusu jambo hilo. Alisema nikija kesho yake atanisimulia pia kisa cha bwana mmoja aliyewahi kuishi nchini humo yaani Iran, alisema bwana huyo alikua baharia na aliitwa Sindbad na alisema kisa hicho kinaweza kuniongezea motisha kwenye mchakato wangu huo.

Tuliaga kwa pamoja mimi na fatemeh, lakini kabla hatuja ondoka shahzad alimuita fatemeh na sijui waliongea nini kwani walitumia lugha yao hivyo nilipanga kumuuliza tukifika nyumbani.

Tukiwa nje ya nyumba ile ilikuja tena ile Toyota hiace nyeusi na tulipanda kwa ajili ya kurudi tena nyumbani.




TUKUTANE WHATSAPP 0623329512 kwa muendelezo tupo mbali mbali zaidi.

Mwenye namba ya baba jose muuza mkaa tafadhali [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Mmmmmmmmmh!!! Ukisikia utamu kolea ndo huu Sasa, mkuu usiache kunitag mzee wangu urejeapo
 
Kwa hio Sindbad alikuwa muiran.
Ameandikwa ktk kirabu cha Treasury island (kisiwa chenye yazina).
 
Huko kwenye submarine iliyozama na kupotea huko Atlantic , kuna Tajiri anaitwa Shahzada Dawood yeye inasemwa ana asili ya Pakistani😅😅 uskute wana undugu na shahzad wa huyu(Jokes)
 
TUENDELEE WAPENDWA

Wakati ninyanyuka nikimfuata mzee shahzad kwa ajili ya kuelekea msikitini kuna namna fatemeh aliniangalia. Na mimi nilipomuangalia usoni alinikonyeza huku akinizomea nadhani alimaanisha niende nikapambane na hali yangu huko msikitini.

Fatemeh alijua sikuwa muislam wala nilikua sijui ata waislamu wanasali vipi hivyo ile ilikua ni ishara kwamba nikawe makini wasinistukie.

Unajua eneo kama hukuwahi kuingia na unahisi kuna miiko yake lazima kuna namna ya uoga itakuingia. Na kiukweli nisingeweza kusema mimi sio muislam ingezua maswali mengine mengi kwa mzee yule.

Lakini pia baada ya kumuona ana chembechembe za udini ningesema sio muislam lazima mambo yangekua magumu upande wa ushirikiano.

Hivyo basi nilisimama kinyonge huku fatemeh akinicheka na kunizomea, for sure fatemeh alianza kunizoea sana na ata mimi nisiwe muongo nilishamzoea sana.

Tulishuka taratibu mimi na shahzad wakati huu fatemeh alibaki ndani ya maktaba ile yeye sikuona akijishughulisha na kwenda msikitini.

Lakini ata hivyo shahzad aliniambia mimi tu nadhani kwa wanawake sio lazima sana kwenda msikitini kama nitakua nimekosea nitasahihishwa kwa kauli hii.

Msikiti haukua mbali kabisa na maeneo yale lakini pia kwa bahati mbaya sana wakati tunaelekea msikitini mzee huyu hakuongea chochote njiani sasa sijui ndio utaratibu au vipi kwani alikua bize na rosary yake mkononi akihesabu zile pingili.

Tulipofika karibu na msikiti tulikutana na bwana mdogo ambaye bila kukosea alikua ni mjukuu wa shahzad. Hivyo basi tuliongozana nae mpaka ndani ya msikiti ambao haukua mbali kabisa na maktaba ile.

Kwakua nilikua mgeni na sielewi chochote kuhusu maswala ya msikiti niliamua kujiweka nyumanyuma kidogo ili niwe na copy na ku paste zile process zote ambazo zilikua zikiendelea Ndani ya msikiti ule.

Kwanza kabisa tulipita kwenye korido ambayo ilikua na mabomba mengi sana, kitu kingine hawa jamaa misikiti yao viatu hawavui nje yaani kuna sehemu maalum ipo pembeni ya korido ile kwa ajili ya kuwekea viatu.

Watu waliongia wengi walielekea kwenye mabomba na kuosha sehemu za miili yao kama mikono miguu na vichwa. Lakini kuna namna kama walikua wanaviosha viungo hivyo kwa utaratibu au kwa kufuata mtiririko wa kueleweka.

Wakati nipo pale natafakari nianzie wapi, wapo baadhi ( wachache sana) waliokua wanapita bila hata kupita kwenye yale mabomba na kuosha viungo vyao kama walivyokua wale wengi.

Nilivyoona wapo wanaopita na kuingia ndani bila kuulizwa ahahaa mzee baba nikazama ndichi, kufika ndani nikakuta jamaa wamejipanga mstari mnyoofu huku wamesimama kama askari mikono ikiwa inang'inia.

Kilichofuata hapo ilikua ni kugeza kila hatua na nilifanya hivyo baada ya kutafuta angle ya pembeni kabisa nyuma ya mistari ile.

Kilichokua kinaendelea pale ilikua ni kuangalia majority, yaani wakiinama tunainama wote wakiinuka tunainuka wote mpaka misa ilipoisha.

Na nilivyoona watu wanatoka na mimi na kanzu langu taratiiibu nikawa najisogeza kwa nje. Nilipofika nje nikagundua mzee shahzad yeye alikua bado yupo ndani hivyo nilichukua sandals zangu nikaweka pozi maeneo ya karibu na mlangoni nikawa nawasikilizia watoke ili tuondoke.

Basi wakati nipo pale nje bwana, aslaam aleykum zilikua nyingi mpaka nikawa nataman nibadilishe location lakini sasa nilihofia kupotezana na shahzad na mjukuu wake.

Kilichonishangaza zaidi maeneo yale ni kwamba ukifika muda wa sala watu wanakua wengi msikitini yaani unaweza kukosa ata position ya kusimama.

Kulingana na sensa iliyofanywa na serikali ya Iran mwaka mmoja nyuma ya mwaka huo yaan 2011, takwimu zilionyesha karibia asilimia 99.98% ya wananchi wa Iran ni waislamu.

Na bado takwimu zilidai katika waislamu hao bado asilimia 85 wanapatikana kwenye dhehebu lililoitwa Shia na huku asilimia 11 wakiwa ni wale wa Sunni. Hawa sunn nadhani tunawajua, hawa ndio wale wazee wa kazi unakuta suruali zao zinaishia kwenye magoti na wanamsimamo sana.

Sunni na shia ndio madhehebu makubwa ya uislam kama kuna mengine niweke wazi siyajui hayo mengine.

Ukija katika nchi ya Iran wengi wa wafuasi wa kiislamu wanapatikana kwenye dhehebu hilo la shia na hao wengine yaani Sunni wengi hupatikan sana kwenye nchi za kiarabu na maeneo mengine ya middle east.


Na ni bora kabisa shahzad hakuniuliza mimi ni dhehebu gani kati ya hayo kwani lazima ningezingua. kwa maana hapo kabla sikua najua kabisa madhehebu hayo mpaka pale nilipo ambiwa na fatemeh.

Yaani kama shahzad angeniuliza dhehebu langu basi ningemwambia mimi ni bakwata maana nilishazoea bongo kusikia kuna waislamu wa bakwata na sunni. Ila kumbe kwa bahati mbaya hakuna dhehebu kwenye uislam linaitwa bakwata.

Mzee wetu shahzad alitoka na kijana ambae niliamini alikua ni mjukuu wake na wakanikuta nikiwa pale nje nawasubiri.

Shahzad alisema tunatakiwa tuende nyumbani kwake ili nikapajue na alikua anatumia kiswahili kitu ambacho kilimfanya mjukuu wake asielewe kabisa maongezi yetu.

Nilimuuliza vipi kuhusu fatemeh akasema nimpigie simu, nilipomuambia sina simu alimuomba mjukuu wake anipe simu ili nimpigie bado nikawaambia sina ata namba yake.

Mzee shahzad alicheka sana akaniambia, "bwana mdogo acha tabia za kizaramo sijui za kipemba upo kwenye nchi ya watu hii unatembeaje bila mawasiliano".

Kiukweli niliona alichokisema shahzad kilikua ni ukweli mtupu hivyo nilipanga tukionana cha kwanza kabisa natakiwa kumwambia fatemeh anipe namba yake ya simu.

Kwa kuwa maktaba haikua mbali niliwaomba nimfuate fatemeh ili nije tuongozane kuelekea kwenye nyumba ya mzee huyo.

Mzee alinikubalia lakini huku akinisema kwamba amezoea watanganyika wajanja wajanja sasa anashangaa mi mtanganyika wa wapi nimezubaa namna ile.

Wakati nakaribia nje ya maktaba nilikutana na fatemeh akiwa nje na yeye alikua anatusubiri ili tukaendelee.

FATEMEH:why are you alone?
( Mbona upo peke yako)

MIMI: the old man welcomes us to his place
( Mzee anatukaribisha kwake hivyo nimekufuata)

FATEMEH: OK, but when we arrive there, we should explain our problem in advance
( Sawa ila tuifika tueleze shida yetu mapema)

Ata mimi niliwaza hivyo hivyo kwamba tunatakiwa kueleza shida zetu mapema kwani mzee yule alikua mswahili sana yaani maneno mengi mno mengine yana maana mengine ndio hivyo tena.

Hakukua na umbali wowote kutoka tulipokua mpaka pale walipokuwepo shahzad na mjukuu wake hivyo tulifika mapema na kisha tukaingia kwenye gari kuelekea kwenye mji au nyumba ya shahzad.

Kama kawaida yake shahzad story zilikua za kutosha aisee yule mzee anasound mlima kuna muda aliniuliza kuhusiana na kiriakoo au keriakoo kama alivyoita yeye japo nilijua alimaanisha kariakoo.

Kwa maelezo ya shahzad alidai kabla hajaondoka eneo hilo la kiwanja namba 32 kulikuwepo ofisi za carrier corps na halikua na soko kubwa na la kueleweka kama hivi sasa hivyo anasema alitamani sana kufika hapo ili ashuhudie kwa macho uwepo wa soko hilo.

Kuna muda aliniuliza jambo kwa kiswahili na nilijua hakutaka wengine waelewe alichokua ana maanisha.

" Umewezaje kuelewana na huyu binti kwani kwa haraka tu nimegundua ana kiburi sana, yaani hajataka kabisa kunitajia ubini wake"

MIMI: hapana mzee wangu huyu binti ni miongoni mwa watu wastaarabu niliowahi kukutana nao ila anasababu ya msingi kwanini hajakutajia ubini wake nadhani kadiri tunavyoendelea kuwa pamoja ata kuelezea sababu hizo

Kuna muda mjukuu wa shahzad alikua wakiongea na fatemeh kwa lugha ya uko kwao lakini kwa mujibu wa fatemeh ambae alijitahidi kuni tafsiria papo kwa papo alisema:-

Yule kijana ameshangaa kumuona babu yake anafuraha sana baada ya kukutana na mimi hivyo dogo alimuuliza fatemeh mimi ni Nani.


Kwa mujibu wa fatemeh alimwambia nimetokea East Africa na nimefika hapo Tehran kwa dhumuni la kuonana na shahzad. Lakini alimwambia kuwa ata yeye fatemeh hajui dhumuni agenda yetu mimi na shahzad.

Nyumbani kwa shahzad hapakua mbali kabisa kwani tulitumia takribani robo saa mpaka kufika kwenye nyumba ya mzee huyo. Lilikua ni jumba la kifahari kwa kweli na lilionekana ni jumba la miaka mingi sana yaani ni miongoni mwa majengo ya muda mrefu kwenye mji huo wa Tehran.


Tulikaribishwa ndani na mmama wa kiislamu ambae alionekana kujistiri zaidi ata ya namna ambayo alijistiri kibonde wangu fatemeh. Mzee shahzad nae alitukaribisha kwa mara ya pili mimi na fatemeh,

tukiwa kwenye sebule kubwa fatemeh alinitonya tena katika namna kama ananikumbusha nimpange mzee kuhusu shida yangu kabla mzee hajaanza sound zake.

MIMI: mzee wangu nashukuru sana kwa ukarimu wako na namna ulivyonipokea mimi na mwenzangu kwakweli sikutegemea mapokezi haya pamoja na mambo machache uliyonifunua yanayohusu Tanganyika.

( Kabla sijaendelea aliniwahi)

SHAHZAD: nakushukuru pia mjukuu wangu, ata mimi nimefurahi ujio wanu umejitahidi kunikumbusha mengi sana niliyopitia nikiwa huko Tanganyika.

Alafu samahan mjukuu wangu huyu ni mke wako au mzinzi mwenzio maana siwaelewi tena hususani yeye ndio simuelewi sana. Na kama ni hawala yako leo ndio mwisho kukanyaga kwenye nyumba hii.

MIMI: hapana mzee, fatemeh ndio mwenyeji wangu ambae tumekutana ubalozi wa Iran nchini Tanzania au Tanganyika kama unavyoijua wewe.

Kwa mara ya kwanza nilimueleza shida yangu au dhumuni langu na aliahidi kunisaidia kufika huku na kukutafuta na ndio maana unaona yeye ndio aliomba appointment.

SHAHZAD: apo sasa nimekuelewa enhe dhumuni lako

( Shahzad alikua anaongea kiswahili lakini kuna muda sikumuelewa kabisa hivyo nilijitahidi sana alionekana kusahau maneno mengi. Kilichomsaidia kikubwa ni ule uwepo wa misamiati mingi ya kiswahili kwenye kiarabu)

MIMI: mzee mimi dhumuni la safari hii au mguu wangu huu mpaka unafika hapa, nilitaka ushirikiano wako na ufahamu wako kuhusu mji wa kale ulioitwa rapta.

SHAHZAD: hahha hahahh naona watanganyika mmeanza kufunguka sasa, na umenikumbusha bwana mmoja aliyeitwa Schulz yeye alipenda sana taarifa za mji huu.
Labda nikuulize swali moja mjukuu wangu,
Wewe ulijuaje kama mimi ninaweza kujua taarifa za kina za mji huo?


MIMI: haswaa!!! Hilo swali nililitarajia, kiukweli ni bwana huyohuyo uliyemtaja kama Schulz ambae nilikutana nae Düsseldorf yeye ndiye wa kwanza kunipa taarifa hiyo lakini pia aliniambia nikutafute kwa maelezo ya ziada.

SHAHZAD: hivi yule mwanaharamu mjaa laana bado yupo hai?

MIMI: kwa kweli sidhani kama bado yupo hai kwani Wakati ananipa habari hizi alikua ameshachoka sana.

SHAHZAD: lazima achoke yaani kwa lifestyle ya yule mpuuzi sikutarajia kama atafika ata miaka 50 asee ni bahati yake kama alifanikiwa kuzeeka. Sasa bilashaka mjukuu wangu na wewe utakua wa hovyo sana kama uliweza kukutana na Schulz kwani Schulz hana maana ata kidogo.

Kwanza unajua kama alikua ni jasusi yule mjaa laana, yaani ilikua kidogo tu niuze siri za nchi wakati ule kwani alikua rafiki yangu sana kama hajakwambia.

Mara ya mwisho marehemu mke wangu ndio aliniambia nipunguze kumuamini kwani yeye alikua na mashaka nae sana. Na kama unavyojua, siku zote kama umeoa na mke wako akakutamkia kuwa ana mashaka na rafiki yako basi huyo rafiki ako muangalie kwa jicho la tatu usipuuze.

Anaendelea shahzad,

Schulz alijifanya mjanja mjanja kuna muda alienda mpaka Tanganyika kwa ajili ya kufika rapta lakini alichemka.

MIMI: kwanini alichemka?


SHAHZAD: hahhahh usicheze na uchawi wa mtu mweusi wewe, mjerumani mwenyewe anajikubali lakini pale alichemka na hakuondoka na chochote kwani unafikiri mimi mpaka nikaamua kuweka makazi Tanganyika nilikua sina akili.

MIMI: kwaiyo mzee haukufamnikiwa?

SHAHZAD: umekuja kujua kuhusu rapta au umekuja kujua kama nilifanikiwa? Ebu acha uswahili basi.

Shahzad anaendelea,

Hizi harakati unataka uzifanye na nani kwani sio jambo la kufanya peke labda kama utakua na mtaji mkubwa lakini pia technology kubwa.

Na mwisho kabisa umejipangaje kwani serikali lazima kutakua kuna namna ya vikwazo kwakua kama wewe umejua basi wapo wengi ambao tayari wamejua.

MIMI: kiukweli kabisa kuhusu timu ya kuambatana nayo na mfuko au fund kwa ajili ya project nzima bado sijafanya maamuzi kwakua bado sijaijua vizuri project na ndio maana nikakutafuta ili nipate overview ya project nzima.

SHAHZAD: sawa mjukuu wangu naomba tupate chakula kwanza ayo mengine tutaelezana taratibu.

Binafsi nilitaman sana fatemeh angekuwa anaelewa kiswahili nikiamini angeweza kuchangia mawili matatu lakini ndio hivyo tena kwani mzee aligoma kutumia kingereza.

Hivyo nilijiandaa kwenda kutafsiri kila kitu pindi tukiwa nyumbani mimi na fatemeh ili tu ajue nini kinaendelea.

Wakati tunaendelea na chakula shahzad alisema yeye hapo awali aliwahi kufanya kazi kwenye ile maktaba tuliyomkuta lakini kuhusu documents zilizohusu mji wa rapta kwa mara ya kwanza zilihifadhiwa na familia lakini wakazihamishia kwenye maktaba iliyojulikana kama Rasht National Library.

Alidai Rasht ilikua ni maktaba ya mwanzo hapo uajemi na Ndani yaku hundred thousand of books, hivyo kama familia walipeleka documents hizo kwenye maktaba hiyo baada ya kuona hamna mtu kwenye familia ambaye yupo interested na habari hizo kwani wengi walikua ni wafanya biashara tu.

Ila aliongezea kwa kusema kuwa ata ndani ya nyumba ile pia walikua na maktaba yao hivyo ata angalia na humo pia ili kujua kama kuna masalia yaliyobaki yaliyohusu taarifa za mji huo.

Tulipata chakula safi sana na kitamu lakini wakati wote huo sikua nimekaa na fatemeh kwani wao walikua wakipata chakula tofauti na tulipokua sisi.

Baada ya chakula nilimshukuru sana shahzad na yeye aliniambia naweza kwenda nije kesho yake kwani atakua tayari amekwisha andaa kila kitu na atanifahamisha mengi.

Alidai kuwa kwa siku hiyo nilikua sijamuandaa mapema kuhusu jambo hilo. Alisema nikija kesho yake atanisimulia pia kisa cha bwana mmoja aliyewahi kuishi nchini humo yaani Iran, alisema bwana huyo alikua baharia na aliitwa Sindbad na alisema kisa hicho kinaweza kuniongezea motisha kwenye mchakato wangu huo.

Tuliaga kwa pamoja mimi na fatemeh, lakini kabla hatuja ondoka shahzad alimuita fatemeh na sijui waliongea nini kwani walitumia lugha yao hivyo nilipanga kumuuliza tukifika nyumbani.

Tukiwa nje ya nyumba ile ilikuja tena ile Toyota hiace nyeusi na tulipanda kwa ajili ya kurudi tena nyumbani.




TUKUTANE WHATSAPP 0623329512 kwa muendelezo tupo mbali mbali zaidi.

Mwenye namba ya baba jose muuza mkaa tafadhali [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Mkuu hua nasoma hii Stori kimyakimya Ila hapo Kwa Sinbad pamenigusa sijui ndo Yule baharia aliyepiga safari Saba huko majini akawa anakutana na majanga ya kutisha... Hahahahhh ngoja nisubiri
 
Shahzad anavisa vingi sana vya Sindbad baharia na jamaa ni wa Iran pia.

Jina la Shahzad ni common sana kwenye jamii za washiraz kama unakumbuka fatemeh aliwahi kuuliza majina mengine ya Shahzad nilipo mwambia nalijua hilo alidai Shahzad wapo wengi kule.

Ni sawa sawa na uende charambe umuulizie saidi au juma [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] watakuja kama mia hivi.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye comments zangu za uko juu siku za nyuma kidogo kwenye uzi huu huu niliwahi kutaja kinywaji kinachoitwa AKAYABAGU,

kinywaji hiki kwa mara ya kwanza niliwahi kukinywa nchini Burundi mwaka 2020 na nilistaajabu sana kwa ubora wake. Na ndio sababu iliyonipelekea kumtafuta muhusika mkuu anatengeneza product hii lengo langu halikua baya bali nilifurahishwa na matokeo yake.

Binafsi kabla ya kunywa kinywaji kipya hua natoa macho kwenye ingredients zake kwanza, na kwa mujibu wa AKAYABAGU Ndani yake kuna turmeric, ginger na maji pekee. Sio siri hivi vyote ukinywa kinywaji iko unavisikia vimo kweli, na balaa lake sio dogo ikitokea umekamata pisi kali ni mwendo wa kuhesabu magoli tu.

Sasa leo nimeshtushwa na habari kwenye ukurasa wa Millard kwamba kimezuiliwa kuingia bongo sababu kina Viagra ndani yake, kwanza sikuwahi kujua kama tayari kinywaji iki kiko bongo lakini sure I'm telling you hiki kinywaji kingewafikia watanzania basi kingekua na soko kubwa.

Waliowahi kutumia kinywaji hiki watatoa ushahidi, kwanza nguvu za tendo ni jambo la Mwisho kina saidia mambo mengi sana. Nisiongee mengi ngoja nikae kizalendo ila Burundi isingekua vita wangetuacha mbali sana kiviwanda wale jamaa ni kama wachina ata akipanga chumba na sebule kesho utasikia anazalisha pombe kwenye chumba kile.

Ngoja niwe msikivu kwa serikali Yangu nikirudi ghetto tabata nikapekue kila sehemu nihakikishe hakuna mabaki ya akayabagu.
GridArt_20230624_141523405.jpg


Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye comments zangu za uko juu siku za nyuma kidogo kwenye uzi huu huu niliwahi kutaja kinywaji kinachoitwa AKAYABAGU,

kinywaji hiki kwa mara ya kwanza niliwahi kukinywa nchini Burundi mwaka 2020 na nilistaajabu sana kwa ubora wake. Na ndio sababu iliyonipelekea kumtafuta muhusika mkuu anatengeneza product hii lengo langu halikua baya bali nilifurahishwa na matokeo yake.

Binafsi kabla ya kunywa kinywaji kipya hua natoa macho kwenye ingredients zake kwanza, na kwa mujibu wa AKAYABAGU Ndani yake kuna turmeric, ginger na maji pekee. Sio siri hivi vyote ukinywa kinywaji iko unavisikia vimo kweli, na balaa lake sio dogo ikitokea umekamata pisi kali ni mwendo wa kuhesabu magoli tu.

Sasa leo nimeshtushwa na habari kwenye ukurasa wa Millard kwamba kimezuiliwa kuingia bongo sababu kina Viagra ndani yake, kwanza sikuwahi kujua kama tayari kinywaji iki kiko bongo lakini sure I'm telling you hiki kinywaji kingewafikia watanzania basi kingekua na soko kubwa.

Waliowahi kutumia kinywaji hiki watatoa ushahidi, kwanza nguvu za tendo ni jambo la Mwisho kina saidia mambo mengi sana. Nisiongee mengi ngoja nikae kizalendo ila Burundi isingekua vita wangetuacha mbali sana kiviwanda wale jamaa ni kama wachina ata akipanga chumba na sebule kesho utasikia anazalisha pombe kwenye chumba kile.

Ngoja niwe msikivu kwa serikali Yangu nikirudi ghetto tabata nikapekue kila sehemu nihakikishe hakuna mabaki ya akayabagu.View attachment 2667369

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app

Hii kitu kuna jamaa zangu wa Kibondo na Kasulu walikuwa wakija DSM wananiletea katoni nzima...
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mi mwenyewe nilikua katoni kadhaa ndani ni kinywaji kizuri kwa aliyewahi kukionja

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Hata Mimi Kuna mwana nlikutana naye Dom mwaka juzi alitokea huko kg Sasa tukawa tunakula gambe, si akatoa kichupa, kwa Mara ya Kwanza ndo naionja, ilikua tamu Sana, Ila pia pale 6×6 inaleta heshima, Ni tangawizi pure. Sasa hivi Kuna mwana yupo road anatokea kg amenibebea katoni 1, Bei ya jumla Ni 28k kwa huko. Nimetulia nasubiria mzigo ufike😋😋
 
Kwenye comments zangu za uko juu siku za nyuma kidogo kwenye uzi huu huu niliwahi kutaja kinywaji kinachoitwa AKAYABAGU,

kinywaji hiki kwa mara ya kwanza niliwahi kukinywa nchini Burundi mwaka 2020 na nilistaajabu sana kwa ubora wake. Na ndio sababu iliyonipelekea kumtafuta muhusika mkuu anatengeneza product hii lengo langu halikua baya bali nilifurahishwa na matokeo yake.

Binafsi kabla ya kunywa kinywaji kipya hua natoa macho kwenye ingredients zake kwanza, na kwa mujibu wa AKAYABAGU Ndani yake kuna turmeric, ginger na maji pekee. Sio siri hivi vyote ukinywa kinywaji iko unavisikia vimo kweli, na balaa lake sio dogo ikitokea umekamata pisi kali ni mwendo wa kuhesabu magoli tu.

Sasa leo nimeshtushwa na habari kwenye ukurasa wa Millard kwamba kimezuiliwa kuingia bongo sababu kina Viagra ndani yake, kwanza sikuwahi kujua kama tayari kinywaji iki kiko bongo lakini sure I'm telling you hiki kinywaji kingewafikia watanzania basi kingekua na soko kubwa.

Waliowahi kutumia kinywaji hiki watatoa ushahidi, kwanza nguvu za tendo ni jambo la Mwisho kina saidia mambo mengi sana. Nisiongee mengi ngoja nikae kizalendo ila Burundi isingekua vita wangetuacha mbali sana kiviwanda wale jamaa ni kama wachina ata akipanga chumba na sebule kesho utasikia anazalisha pombe kwenye chumba kile.

Ngoja niwe msikivu kwa serikali Yangu nikirudi ghetto tabata nikapekue kila sehemu nihakikishe hakuna mabaki ya akayabagu.View attachment 2667369

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Hapa unawaanda watu kuwatapeli. Hii mbinu nliwahi itumia zamani sana nikafanikiwa. Utawapata mabwege hawaishi dunia hii. Unaleta stories maneno meeeeeengi hayana kichwa wala miguu .... Ndo maana unaona unaaandika ila pages hazijafika hata 70 kama wenzio wanaofikisha hadi 100 plus huko. Unaandika uongo wa kitoto. Na sasa unataka kuwatapeli watu.
 
Back
Top Bottom