Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Jielimishe namna stock market au masoko ya hisa yanavyofanya kazi. Utajiri mkubwa wa Mark Zuck unashikiliwa na idadi ya hisa zake kwenye kampuni ya FB...Pia tujiulize kama kwa saa 6 amepoteza usd 7b ina maana kwa saa 24 anapata faida ya usd 28b 😁 je mitandao yake imeanza lini na kwa hiyo faida mbona ni tofauti na utajiri wake wa sasa.? Mimi nadhani tunapigwa sana kwenye hizi taarifa kuna ile ya Ronaldo kutoa chupa ya Coca-Cola halafu ety asababishe hasara ya usd B+
Anyway hao ndio wenye dunia ngoja tuwaache
So kadri hisa za FB zinavyoongezeka thamani ndivyo utajiri wake unavyoongezeka. Likitokea jambo lolote likafanya thamani ya hisa hizo kushuka na utajiri wake utashuka automatically.
Kusimama kwa mitandao yake mitatu hapo jana ni suala lililopelekea thamani ya hisa za FB kushuka kwenye masoko ya hisa...yaani investors wa Fb walianza kuuza hisa zao kwa wingi kuliko wanaonunua.