Utajiri wa Mark Zuckerberg wapotea kwa Dola bilioni 7 baada ya Mitandao yake kupata tatizo

Jielimishe namna stock market au masoko ya hisa yanavyofanya kazi. Utajiri mkubwa wa Mark Zuck unashikiliwa na idadi ya hisa zake kwenye kampuni ya FB...

So kadri hisa za FB zinavyoongezeka thamani ndivyo utajiri wake unavyoongezeka. Likitokea jambo lolote likafanya thamani ya hisa hizo kushuka na utajiri wake utashuka automatically.

Kusimama kwa mitandao yake mitatu hapo jana ni suala lililopelekea thamani ya hisa za FB kushuka kwenye masoko ya hisa...yaani investors wa Fb walianza kuuza hisa zao kwa wingi kuliko wanaonunua.
 
Kwahiyo tufanyeje kumrudishia hela zake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…