Utajiri wa Mohammed Dewji (MO) na Kampuni ya MeTL umechangiwa na maamuzi ya Serikali ya awamu ya tatu

Utajiri wa Mohammed Dewji (MO) na Kampuni ya MeTL umechangiwa na maamuzi ya Serikali ya awamu ya tatu

Hii ardhi Nyerere aliilinda sana mpaka aliwafukuza Lornrho Brothers walikuwa wakilima chai kwenye milima ya Usambara na Mafinga. Lonrrho walifungua kesi London. Tumekuja kuitoa kwa bei ya maandazi
Hivi hawa viongozi waliofanya haya maamuzi ni watanzania kweli?. Aisee uzalendo kumbe hautamkwi tu mdomoni. Haya matumbo yetu ndiyo maana ngozi nyeusi hatuendelei. Tuna mawazo ya kula tu na kufunga tai!. Hatuwazi juu ya hatma ya nchi yetu. Tunawaza miaka mitano mitano tu. Hatuwazi miaka 100 ijayo. Ndiyo maana mali za nchi zetu kila mtu anajichukulia tu. Mchina haya!, Mhindi hayaa!, mwingereza hayaa, mbongo hayaaaaaaaa!. Tumekwisha.
 
Wakamatwe wawekwe ndani, ( sero)
Kwani walifanya peke yao, bunge na baraza la ma waziri alikuafiki.?....muache unafiki mbona mnaendelea kuchagua chama kile kile na wahusika wote mnao kwenye cabinet ya uongozi ya sasa, mbona nyie wananchi wakeleketwa hamkuandamana au kuweka pingamizi mahakamani.....uvivu wafkra huzaa umasikini wakipato umasikini huzaa wivu na wivu huzaa uhalifu kuua au kuteka....
 
Kwani walifanya peke yao, bunge na baraza la ma waziri alikuafiki.?....muache unafiki mbona mnaendelea kuchagua chama kile kile na wahusika wote mnao kwenye cabinet ya uongozi ya sasa, mbona nyie wananchi wakeleketwa hamkuandamana au kuweka pingamizi mahakamani.....uvivu wafkra huzaa umasikini wakipato umasikini huzaa wivu na wivu huzaa uhalifu kuua au kuteka....
Huu ni ukweli mchungu
 
Kwahiyo haiwezekani kukamatwa?
undefinedusikute mkuu ni wa 2006,so hujui ilikuaje,serikali haiwezi kumiliki viwanda karne hii,nchi ilifisika,masharti ya IMF ilikuwa ni kuanzisha soko huria ili waweze kutuokoa,waliona hawawezi kutupa mkopo bila kuweka mazingira ya mkopo wao kulipika,na ili ulipike sharti ilikuwa free market economy and privatisation,wakijua kuwa watu binafsi wangemiliki viwanda wangelipa kodi na serikali ingepata mapato,undefinedmkapa was right,na viwanda viliuzwa kwa mjibu wa sheria,
 
Tajiri huzaliwa sio hutegenezwa ......Wtznia weusi wangapi wako tayari kuacha kazi ya $60,000 kwa mwaka ni sawa na 130m za kitanzania New York USA urudi Tz hii.
baba yake alishakuwa tajiri...mtoto wa Fernandes(Benjamin) ameacha kazi ya $200,000..kapuku utathubutu
 
Hivi hawa viongozi waliofanya haya maamuzi ni watanzania kweli?. Aisee uzalendo kumbe hautamkwi tu mdomoni. Haya matumbo yetu ndiyo maana ngozi nyeusi hatuendelei. Tuna mawazo ya kula tu na kufunga tai!. Hatuwazi juu ya hatma ya nchi yetu. Tunawaza miaka mitano mitano tu. Hatuwazi miaka 100 ijayo. Ndiyo maana mali za nchi zetu kila mtu anajichukulia tu. Mchina haya!, Mhindi hayaa!, mwingereza hayaa, mbongo hayaaaaaaaa!. Tumekwisha.
undefinedmkataba wa umiliki wa ardhi ni miaka 99 tu,unaachia ama una apply upya
 
Kwani ye si mbongo.Nijuavo umasikini ni matumizi mabaya ya akili,wakati sisi tunawaza kufanya mazoezi kitandani wao wanawaza pesa hivo hatulingani.
Nakuongeza wanachama wa ccm watoto wetu wakipata bora elimu
 
Basi aliwanyonya sn ndugu zetu wenye rangi nyeusi kwenye hayo maviwanda yao, ndio c wanajulikana walivyo wakax kwa wabongo

kwani yeye pekee ndiye aliyenunua

mkapa mwenyewe alinunua

bakhresa mwenyewe alinunua

wakina Dialo na watu wengine kibao

lazima tukubali tu kuwa wakweli utajiri hauji kirahisi hivyo kwa kuwa na chuki kwa waliofanikiwa

"hata ukipola itapotea ili yatimie maandishi"
 
kwani yeye pekee ndiye aliyenunuaundefinedmkapa mwenyewe alinunuaundefinedbakhresa mwenyewe alinunuaundefinedwakina Dialo na watu wengine kibaoundefinedlazima tukubali tu kuwa wakweli utajiri hauji kirahisi hivyo kwa kuwa na chuki kwa waliofanikiwaundefined "hata ukipola itapotea ili yatimie maandishi"
undefinedwalinunua pia kisheria,iliundwa kamisheni ya ubinafsishaji,undefinedprograme ya IMF ilikuwa ndo hiyo ya Structual Adjustment programe,undefinedmambo ya cost sharing,free market na privatisation,kambarage hakukubaliana na masharti ya IMF akaamua kuachia ngazi kuliko kugeuka nguzo ya chumvi,pengine tungekuwa na maendeleo makubwa kama venezuela
 
Tajiri huzaliwa sio hutegenezwa ......Wtznia weusi wangapi wako tayari kuacha kazi ya $60,000 kwa mwaka ni sawa na 130m za kitanzania New York USA urudi Tz hii.
Tena hiyo ni pesa nyingi sana mkuu, ulipwe tuu 1.5m uache kazi ndugu zako watahisi umelogwa si bure
 
undefinedmkataba wa umiliki wa ardhi ni miaka 99 tu,unaachia ama una apply upya
Nadhani viwanja vya makazi ndio viwe miaka 99. Mashamba yawe 33 ili iwe rahisi kuyataifisha pale ambapo yatakuwa hayaendelezwi. Hii itasaidia mashamba kuzalisha kuliko sasa yamekaa tu.
 
kwani yeye pekee ndiye aliyenunua

mkapa mwenyewe alinunua

bakhresa mwenyewe alinunua

wakina Dialo na watu wengine kibao

lazima tukubali tu kuwa wakweli utajiri hauji kirahisi hivyo kwa kuwa na chuki kwa waliofanikiwa

"hata ukipola itapotea ili yatimie maandishi"
Hizo ni chuki binafsi. Ni makosa yetu kama nchi hivyo tutumie busara katika kurekebisha kasoro zetu na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom