Utajiri wa Mohammed Dewji (MO) na Kampuni ya MeTL umechangiwa na maamuzi ya Serikali ya awamu ya tatu

Utajiri wa Mohammed Dewji (MO) na Kampuni ya MeTL umechangiwa na maamuzi ya Serikali ya awamu ya tatu

Na tusiwateke watu kwa misingi ya wivu. Makosa ni ya Serikali ya Tanzania. Yeye alichangamkia fursa. Saizi ndo tunapata akili baada ya mali nyingi kumilikiwa na familia moja. Kazi sana nchi hii
Wivu wa kike unasumbua sana!
 
Na warudishe mali zote walizojitwalia kutokana na utawala wao. Saizi watu wananyang'anywa ardhi na mali zingine kutokana na uzembe na matumizi mabaya ya madaraka ya viongozi wetu. Hii siyo sawa. Wahusika wote wawajibishwe badala ya kuhangaika tu na matajiri
Hawakujitwalia walinunua
 
Si ndio maana huyu mmoja tulimteka na kum black mail ili aachie, utaona siku c nyingi mali zetu zinavyorudi, akikaidi tu zile video tulizomrekodi kule mafichoni tunaziachia. Dadeki
Hizi ndo mbinu wanazitumia kwa waunga juhudi. State sponsored blackmail - shame
 
Watafutwe walipo warudishe mali za watanzania. Watanzania wengi hawana hata ardhi ya kulima, wengine wanaitumia tu kukopea mikopo na kuwakodishia wananchi. Haya yote ni mapungufu yanayotakiwa kufanyiwa kazi. Lakini mfumo wa kutatua changamoto hiz usiwe wa uonevu. Sheria na taratibu zizingatiwe.
Huo ndo wivu wa kijinga, ardhi ya kulima imejaa tele, hata asilimia 20 ardhi inayofaa kwa kilimo haijatumika. Acheni wivu bhana!
 
Na warudishe mali zote walizojitwalia kutokana na utawala wao. Saizi watu wananyang'anywa ardhi na mali zingine kutokana na uzembe na matumizi mabaya ya madaraka ya viongozi wetu. Hii siyo sawa. Wahusika wote wawajibishwe badala ya kuhangaika tu na matajiri
Wabongo hata mpewe ardhi kiasi gani kama akili ya kuitumia haipo ni kazi buree.. Kuna viwanda vingapi tumeshindwa kuviendesha. Heri yao na ajira wanatoa. Huu ni wivu wa ka nn wao
 
undefinedusikute mkuu ni wa 2006,so hujui ilikuaje,serikali haiwezi kumiliki viwanda karne hii,nchi ilifisika,masharti ya IMF ilikuwa ni kuanzisha soko huria ili waweze kutuokoa,waliona hawawezi kutupa mkopo bila kuweka mazingira ya mkopo wao kulipika,na ili ulipike sharti ilikuwa free market economy and privatisation,wakijua kuwa watu binafsi wangemiliki viwanda wangelipa kodi na serikali ingepata mapato,undefinedmkapa was right,na viwanda viliuzwa kwa mjibu wa sheria,
Waambie ndugu it seems many people are not informed. Wanakuja na mihemko na wivu bila kujua historia.
 
Wabongo hata mpewe ardhi kiasi gani kama akili ya kuitumia haipo ni kazi buree.. Kuna viwanda vingapi tumeshindwa kuviendesha. Heri yao na ajira wanatoa. Huu ni wivu wa ka nn wao
Makosa ya wengine anaadhibiwa mwingine.
 
Tajiri huzaliwa sio hutegenezwa ......Wtznia weusi wangapi wako tayari kuacha kazi ya $60,000 kwa mwaka ni sawa na 130m za kitanzania New York USA urudi Tz hii.
Nakumbuka iyo hela ilivyokuwa ndefu na thamani zaidi ukilinganisha na sasa na wakati huo nadhani uchumi ulikuwa na nguvu sana chini ya clinton
 
MBONA MENGI WALIMBANIA KUMUUZIA HIVYO VIWANDA KWA BEI POA WAKATI NI MSWAHILI MWENZAO. WALIMBANIA HIVIHIVI KILIMANJARO HOTEL. YANI KISA MCHAGA CCM NYINYI MANYANGAU SANA. NA HII CHUKI YA KISENGE YA KIKABILA CCM WANAYO HADI LEO.

MTU NI MBANTU MWENZENU NA ABILITY ANAYO YANI MNAMBANIA MNAWAUZIA RANGI TOFAUTI.

SADDIST NA HOVYO KABISA
 
Na tusiwateke watu kwa misingi ya wivu. Makosa ni ya Serikali ya Tanzania. Yeye alichangamkia fursa. Saizi ndo tunapata akili baada ya mali nyingi kumilikiwa na familia moja. Kazi sana nchi hii
hakuna akili yoyote isipokuwa tu kuna watu awamu hii wanajifanya wana akili
 
Nimesoma thread na comments kama zote, angalau nimeambulia hili la Msingi:

UMASKINI = Ni matumizi mabaya ya Akili.

#WabejaSana
 
MBONA MENGI WALIMBANIA KUMUUZIA HIVYO VIWANDA KWA BEI POA WAKATI NI MSWAHILI MWENZAO. WALIMBANIA HIVIHIVI KILIMANJARO HOTEL. YANI KISA MCHAGA CCM NYINYI MANYANGAU SANA. NA HII CHUKI YA KISENGE YA KIKABILA CCM WANAYO HADI LEO.

MTU NI MBANTU MWENZENU NA ABILITY ANAYO YANI MNAMBANIA MNAWAUZIA RANGI TOFAUTI.

SADDIST NA HOVYO KABISA
Una hoja ila sasa lugha uliyotumia kuwasilisha hoja yako ndio tatizo.
 
Sasa kumbe huyu kaendeleza biashara ya baba yake?
Mimi ninataka mtu anaeanzisha kitu from scratch kama Steve Jobs.
 
Back
Top Bottom