Utajiri wa nchi ni akili za Watu sio rasilimali kama madini na nyinginezo

Utajiri wa nchi ni akili za Watu sio rasilimali kama madini na nyinginezo

Mbona sioni mkitolea mifano au kulinganisha na waarabu ambao nao wametajirika kwa mafuta yao badala yake inatumika mifano ya wazungu tu au waarabu si mfano sahihi ya watu wenye akili?
Waarabu wana msimamo na values, kule hawababaishwi na kiumbe yoyote. Pia wana viongozi wenye vision
 
Shukrani sana mkuu 'denooJ'.

Mada hii ni kati ya mada nzito sana inayostahiri kujadiliwa kwa kina zaidi, lakini naona wachangiaji tunajirusharusha tu na mambo mengine kabisa yasiyohusiana na mada yenyewe.

Wengi wetu tunakimbilia tu kwa hao "watu", na kuanza kuwashambulia, utadhani hawa ni watu tofauti na watu waliopo kwenye mataifa mengine yaliyoweza kuleta maendeleo kwa kuwatumia watu wao.

Tanzania tuna hazina nzuri sana ya watu, ambao wapo tayari kuongozwa ili walete maendeleo yao wenyewe.

Ardhi safi kabisa tunayo, tena yenye raslimali za kila aina ndani yake,... hao watu wapo tayari kabisa kuzitumia raslimali hizi, ardhi, na vyote vilivyomo ndani yake na juu yake, kuleta mabadiliko katika hali zao za maisha

Vitu ambavyo bado hatujabahatika navyo ni hivyo viwili vya mwisho - "Siasa Safi", na "Uongozi Bora." Ombwe letu lipo hapa.
Umeandika vizuri sana hapa, umeeleweka.

Kwamba ardhi [rasilimali] tayari ipo, kama zilivyo kule kwa walioendelea, tulichokosa sisi ni siasa safi za kuwaletea watu maendeleo badala ya kujinufaisha binafsi, na uongozi bora hapa kuna rushwa, ufisadi na kila aina ya wizi unaodumaza maendeleo yetu.

Tatizo la viongozi wetu wamezielekeza akili zao kwenye wizi, wakati wale wengine walioendelea wamezielekeza akili zao kwenye maendeleo, japo nao wana rasilimali zao wanazozitumia vizuri kuwaletea maendeleo watu wao, hivyo kwangu rasilimali ni kichocheo cha maendeleo, sio cha kupuuzwa hata kidogo.

Umuhimu wa rasilimali kwenye kuleta maendeleo mahala ni mkubwa, kwani akili anazokuwa nazo mlengwa zinatumika kutengeneza/fikiria rasilimali za kuwaletea maendeleo kitaifa, mfano Uholanzi na Land Reclamation waliyofanya.
 
Kuna mmoja humu akishupaza shingo kwa hizo kauli za utajiri wa Tz.

Ni kweli tuna madini, misitu, mbuga za wanyama, misitu n.k, lakini hivyo vitu havipo kwetu pekee.
Kuna mahali vipo tena vingine kwa wingi zaidi ya kwetu. Na kwingine kwa uchache mno huenda hawatufikii hata robo lakini ndo hao wanafanikiwa zaidi.

Ubinafsi unatumaliza.
 
UTAJIRI WA NCHI NI AKILI ZA WATU, SIO RASILIMALI KAMA MADINI N.K.

Anaandika, Robert Heriel.

Huwaga namshangaa mtu anayesema nchi yetu ni Tajiri. Kwa kweli sio tuu anachekesha Bali pia anaonyesha jinsi alivyokuwa mjinga na asiyeweza kufikiri sawia.

Kama nikiulizwa hivi leo sababu gani inatufanya Waafrika ikiwemo nchi yetu kuwa Masikini, basi jibu litakuwa ni kuwa Sisi tunaakili ndogo Kama sio kuwa hatuna Kabisa.

Taifa ili kiwe Tajiri linahitaji watu wenye akili zaidi kuliko Rasilimali. Utajiri ni Akili na sio wingi wa Rasilimali.
Kuna msemo usemao, penye miti hapana wajenzi.

Akili ndio inaweza kufanya madini kuwa Rasilimali Kwa kuipa Value. Madini kama madini hayajui kama yenyewe ni yathamani, Ila wenye akili ndio wanajua thamani ya madini hayo kutokana na matumizi waliyoyabuni kwayo.

Kidunia Bara la Afrika ndilo bara lenye malighafi nyingi kuliko bara lolote lile. Lakini watu wake wameshindwa kuzigeuza malighafi hizo kuwa Rasilimali Kwa kuzipa thamani.

Ukisikia mtu anakuambia Yeye ni Tajiri Kwa sababu nchi yake inamadini, maziwa na Mito, Ardhi yenye Rutuba, wanyama wa kuvutia, na mambo mengine lakini watu wake ni Hali zao za maisha ni duni jua mtu huyo hajui kufikiri vizuri, na pengine akawa mwendawazimu.

Nchi haiwezi kuwa Tajiri Kama ndani yake inawatu wajinga wengi. Watu wasio na akili wakiwa wengi ndivyo nchi inavyozidi kuwa Masikini.

Mtu asiye na akili Hana tofauti na mnyama wa porini, ni Sawa na tumbili au ngedere anayeishi msituni ananyeshewa mvua na kuchomwa na Jua lakini anashindwa kujenga nyumba hata ya mbao Kwa sababu ya upeo mdogo wa Akili.

Wazungu walivyotuita Waafrika manyani kuna watu walifikiri walimaanisha maumbile yetu yanafanana na nyani😀😀 Kama nawe ulifikiri hivyo basi nawe upo kundi la watu wajinga.

Wazungu walituita manyani mbali na ubaguzi wao lakini walituona akili zetu hazijaachana Sana na tumbili na nduguye ngedere.

Nyani au ngedere ukimpelekea Dhahabu au Almasi wala hataiona inatofauti na jiwe jingine. Kutokana na upeo mdogo wa Akili.

Sisi Watanzania wengi wetu tunaakili ndogo mno na hiyo ndio sababu Sisi sio matajiri. Na tutaendelea kuwa Vivi hivi Kwa Karne kadhaa zijazo.

Watanzania wengi ni Kama wanyama Kwa mambo mengi, kama unavyomuona ng'ombe basi ndivyo wengi wetu tulivyo.

Sio ajabu ukakuta watu kwenye makazi Yao kuna mavi au maji machafu waliyoyasababisha yamewazunguka, yananuka na nzi wamejaa lakini wao hawaoni Shida. Wanalala, wanakula hapohapo, na wanakunya na kukojoa hapohapo.

Hapo ati wanasubiri kiongozi aje awaambie wawe wasafi tena wengine ifikie hatua ya kupelekwa serikali za mitaa kisa anaambiwa asizibue chemba za mavi yake na familia yake, come on!

Sio ajabu jitu linakunya chooni labda cha umma alafu hali-flash uchafu wake. Hivi mtu huyo anatofauti ipi na Mnyama?

Mtu anajua kabisa ili aishi anatakiwa awe na chakula cha kutosha kinachomtosha yeye na familia yake, badala awe na ghala la kuhifadhi chakula kinachomtosha yeye na watoto wake angalau Kwa miaka miwili kulingana na Hali ya hewa.

Yeye anakula Kama mnyama asijue kesho atakula nini. Halafu ikifika kesho anaanza kumlalamikia mtu mwingine labda ni serikali au viongozi. Jamani hivi tunaakili kweli?

Tena wakati mwingine tunazidiwa akili hata na Wanyama.

Hakuna mnyama ambaye atazaa watoto ambao hawezi Kuwatunza. Hakuna na hajawahi kutokea. Mfano Kuku anaouwezo wa kutaga mayai hata Mia moja.

Lakini atataga mayai kumi (10-12) kulingana na uwezo wake wakuyaatamia, sio atage mayai 20 alafu wakati wa kuatamia mengine ashindwe kuyaatamia yajitokeze nje.

Kisha Kwa mayai 10-12 anaouwezo wa kuwachunga na kuwakuza watoto hao.

Halikadhalika na mbwa, ng"'ombe, mbuzi, Simba n.k.

Lakini Sisi unakuta mtu anazaa watoto nje ya uwezo wake wa Kuwatunza, labda watoto 10 alafu ananilaumu serikali kuwa gharama za Shule au hospitali ziondolewe.

Au anaomba msaada Kabisa wa kusaidiwa kulelewa watoto.

Hivi tumelogwa au ni kitu gani?

Mtu unajua kabisa miti ndio huleta hewa Safi, huleta mvua na kivuli kizuri, na Kupunguza joto la nchi. Alafu unakuta watu wamekata miti mtaa mzima ili wajenge nyumba.

Unashangaa mtaa mzima miti ipo 20 Kwa eneo la kilometa moja. Alafu muda huohuo unasikia mwehu akipiga kelele jamani joto Kali, jamani jua linawaka! Mara kiyama kinakaribia.

Kiama ya mavi. Ujinga na wehu wako ndio unaita Kiyama?

Utajiri WA nchi ni akili za watu na sio Rasilimali Kama madini.

Chakufanya;
I. Tujifunze kuwa na Akili ili tuwe nchi yetu itajirike.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Ndiyo maana waswahili wanasema bora ukose mali kuliko akili. Maendeleo ya mtu, jamii, nchi au hata bara hautegemei uwingi wa kile walicho nacho, bali akili ya kutunza na kukitumia walicho nacho.

Na ndiyo maana waswahili pia husema, penye miti hapana wajenzi. Hiyo inamaanisha kwamba ili nyumba ijengwe, inahitaji zaidi ya vifaa vya ujenzi, yaani akili na maarifa.
 
Ndiyo maana waswahili wanasema bora ukose mali kuliko akili. Maendeleo ya mtu, jamii, nchi au hata bara hautegemei uwingi wa kile walicho nacho, bali akili ya kutunza na kukitumia walicho nacho.

Na ndiyo maana waswahili pia husema, penye miti hapana wajenzi. Hiyo inamaanisha kwamba ili nyumba ijengwe, inahitaji zaidi ya vifaa vya ujenzi, yaani akili na maarifa.

Umesema yote Kwa muhtasari. Kongole Mkuu
 
Umesema yote Kwa muhtasari. Kongole Mkuu

Watu wetu, jamii yetu, nchi zetu na bara letu halita weza kupiga hatua bayana na dhahiri za maendeleo, mpaka pale tutakapotambua thamani ya kile tulicho nacho, namna ya kukitunza na kukitumia kwa ajili ya maendeleo yetu.
 
Watu wetu, jamii yetu, nchi zetu na bara letu halita weza kupiga hatua bayana na dhahiri za maendeleo, mpaka pale tutakapotambua thamani ya kile tulicho nacho, namna ya kukituza na kukitumia kwa ajili ya maendeleo yetu.

Hatari Sana Mkuu
 
Yule baba alikuwa na likichwa kubwa kama tembo, lakini ajili ndogo kama sisimizi.
Watu wapumbavu na wajinga kama wewe mlitokana na mimba zisizotarajuwa.sijui mnafikiri kwa kutumia makalio!?.Akili za jpm baada ya miaka 10 nchi ingekuwa juu sana,sio watu majizi kama wewe.
 
Watu wapumbavu na wajinga kama wewe mlitokana na mimba zisizotarajuwa.sijui mnafikiri kwa kutumia makalio!?.Akili za jpm baada ya miaka 10 nchi ingekuwa juu sana,sio watu majizi kama wewe.
Unaelekea mama yako alikuwa malaya. Sasa unafikiri kila mtu alizaliwa kwa bahati mbaya kama wewe. Unaniita mwizi nilikuibia matako ya mamako? Shoga wewe.
 
UTAJIRI WA NCHI NI AKILI ZA WATU, SIO RASILIMALI KAMA MADINI N.K.

Anaandika, Robert Heriel.

Huwaga namshangaa mtu anayesema nchi yetu ni Tajiri. Kwa kweli sio tuu anachekesha Bali pia anaonyesha jinsi alivyokuwa mjinga na asiyeweza kufikiri sawia.

Kama nikiulizwa hivi leo sababu gani inatufanya Waafrika ikiwemo nchi yetu kuwa Masikini, basi jibu litakuwa ni kuwa Sisi tunaakili ndogo Kama sio kuwa hatuna Kabisa.

Taifa ili kiwe Tajiri linahitaji watu wenye akili zaidi kuliko Rasilimali. Utajiri ni Akili na sio wingi wa Rasilimali.
Kuna msemo usemao, penye miti hapana wajenzi.

Akili ndio inaweza kufanya madini kuwa Rasilimali Kwa kuipa Value. Madini kama madini hayajui kama yenyewe ni yathamani, Ila wenye akili ndio wanajua thamani ya madini hayo kutokana na matumizi waliyoyabuni kwayo.

Kidunia Bara la Afrika ndilo bara lenye malighafi nyingi kuliko bara lolote lile. Lakini watu wake wameshindwa kuzigeuza malighafi hizo kuwa Rasilimali Kwa kuzipa thamani.

Ukisikia mtu anakuambia Yeye ni Tajiri Kwa sababu nchi yake inamadini, maziwa na Mito, Ardhi yenye Rutuba, wanyama wa kuvutia, na mambo mengine lakini watu wake ni Hali zao za maisha ni duni jua mtu huyo hajui kufikiri vizuri, na pengine akawa mwendawazimu.

Nchi haiwezi kuwa Tajiri Kama ndani yake inawatu wajinga wengi. Watu wasio na akili wakiwa wengi ndivyo nchi inavyozidi kuwa Masikini.

Mtu asiye na akili Hana tofauti na mnyama wa porini, ni Sawa na tumbili au ngedere anayeishi msituni ananyeshewa mvua na kuchomwa na Jua lakini anashindwa kujenga nyumba hata ya mbao Kwa sababu ya upeo mdogo wa Akili.

Wazungu walivyotuita Waafrika manyani kuna watu walifikiri walimaanisha maumbile yetu yanafanana na nyani😀😀 Kama nawe ulifikiri hivyo basi nawe upo kundi la watu wajinga.

Wazungu walituita manyani mbali na ubaguzi wao lakini walituona akili zetu hazijaachana Sana na tumbili na nduguye ngedere.

Nyani au ngedere ukimpelekea Dhahabu au Almasi wala hataiona inatofauti na jiwe jingine. Kutokana na upeo mdogo wa Akili.

Sisi Watanzania wengi wetu tunaakili ndogo mno na hiyo ndio sababu Sisi sio matajiri. Na tutaendelea kuwa Vivi hivi Kwa Karne kadhaa zijazo.

Watanzania wengi ni Kama wanyama Kwa mambo mengi, kama unavyomuona ng'ombe basi ndivyo wengi wetu tulivyo.

Sio ajabu ukakuta watu kwenye makazi Yao kuna mavi au maji machafu waliyoyasababisha yamewazunguka, yananuka na nzi wamejaa lakini wao hawaoni Shida. Wanalala, wanakula hapohapo, na wanakunya na kukojoa hapohapo.

Hapo ati wanasubiri kiongozi aje awaambie wawe wasafi tena wengine ifikie hatua ya kupelekwa serikali za mitaa kisa anaambiwa asizibue chemba za mavi yake na familia yake, come on!

Sio ajabu jitu linakunya chooni labda cha umma alafu hali-flash uchafu wake. Hivi mtu huyo anatofauti ipi na Mnyama?

Mtu anajua kabisa ili aishi anatakiwa awe na chakula cha kutosha kinachomtosha yeye na familia yake, badala awe na ghala la kuhifadhi chakula kinachomtosha yeye na watoto wake angalau Kwa miaka miwili kulingana na Hali ya hewa.

Yeye anakula Kama mnyama asijue kesho atakula nini. Halafu ikifika kesho anaanza kumlalamikia mtu mwingine labda ni serikali au viongozi. Jamani hivi tunaakili kweli?

Tena wakati mwingine tunazidiwa akili hata na Wanyama.

Hakuna mnyama ambaye atazaa watoto ambao hawezi Kuwatunza. Hakuna na hajawahi kutokea. Mfano Kuku anaouwezo wa kutaga mayai hata Mia moja.

Lakini atataga mayai kumi (10-12) kulingana na uwezo wake wakuyaatamia, sio atage mayai 20 alafu wakati wa kuatamia mengine ashindwe kuyaatamia yajitokeze nje.

Kisha Kwa mayai 10-12 anaouwezo wa kuwachunga na kuwakuza watoto hao.

Halikadhalika na mbwa, ng"'ombe, mbuzi, Simba n.k.

Lakini Sisi unakuta mtu anazaa watoto nje ya uwezo wake wa Kuwatunza, labda watoto 10 alafu ananilaumu serikali kuwa gharama za Shule au hospitali ziondolewe.

Au anaomba msaada Kabisa wa kusaidiwa kulelewa watoto.

Hivi tumelogwa au ni kitu gani?

Mtu unajua kabisa miti ndio huleta hewa Safi, huleta mvua na kivuli kizuri, na Kupunguza joto la nchi. Alafu unakuta watu wamekata miti mtaa mzima ili wajenge nyumba.

Unashangaa mtaa mzima miti ipo 20 Kwa eneo la kilometa moja. Alafu muda huohuo unasikia mwehu akipiga kelele jamani joto Kali, jamani jua linawaka! Mara kiyama kinakaribia.

Kiama ya mavi. Ujinga na wehu wako ndio unaita Kiyama?

Utajiri WA nchi ni akili za watu na sio Rasilimali Kama madini.

Chakufanya;
I. Tujifunze kuwa na Akili ili tuwe nchi yetu itajirike.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Naunga mkono

Utajiri wa nchi ni akili za Watu sio rasilimali kama madini na nyinginezo​

 
Naunga mkono

Utajiri wa nchi ni akili za Watu sio rasilimali kama madini na nyinginezo​

Ni kweli mfano tanzania ina madini, bahari, maziwa, na kila kitu lakini watu wake hawana akili ndio maana wapo kama mazezeta
 
Ndiyo! Tanzania ni tajili wa rasilimali, mimi sibishi. Kinachokwamisha ni sera za uvunaji wa rasilimali hizo. Wapo Watanzania wenye akili za namna Bora ya kutumia rasilimali hizo ila wanakwamishwa na mamlaka.
 
Huu uzi uchapishwe, kopi zipelekwe mashuleni na vyuoni wanafunzi wausome kila asubuhi.
Hapa jF upigwe pin hapo juu, ukilog in ukutane now.

Utajiri wa akili ni bora zaidi kuliko mali.
Ndio maana wazungu baada ya kuona kwao wameishiwa malighafi waliamua kuja afriia na mabara mengine kutafuta hizo malighafi.
 
Ft
Huu uzi uchapishwe, kopi zipelekwe mashuleni na vyuoni wanafunzi wausome kila asubuhi.
Hapa jF upigwe pin hapo juu, ukilog in ukutane now.

Utajiri wa akili ni bora zaidi kuliko mali.
Ndio maana wazungu baada ya kuona kwao wameishiwa malighafi waliamua kuja afriia na mabara mengine kutafuta hizo malighafi.

Naam mkuu
 
Back
Top Bottom