Kila mtu akiwa tajiri tutaelewana kweli?Kumbato kama kawa. Ila sasa unajua kabisa nina miaka hii.
[emoji3][emoji3][emoji3]Hivi kwanini wasitoage utajiri bila vikwazo?[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Iko mbinu ya kuwachanganya Mashetani unaenda kwa Mashekhe unasomewa Salat al-Janazah wakimaliza wanapiga Salat al-mayyit unakuwa ushazikwa huku unadunda.
Ila hapo hata Mbwa ukipita wanakaa kimyaa
Nani huyo
Unakuta kuku mwenyewe ni sharobalo hatari..anakula robo punje tu afu anakuangalia na kukucheka kwa dharauHuu utajiri wa hivi ni hatari fire
Anaitwa naniKuna mmoja yuko igamba mbozi songwe yeye sharti lake ni anakufa kwa siku 7 anaoza hadi mafunza,sasa akifufuka hapo baada ya mwezi fuso inachanwa karatasi mupya iyoo!
Au nusu punje!Mfano ale punje moja
Kama kajiua anakuwaje tajiri? Au kujiua nini mkuuuKuna jamaa huku kwetu ni tajiri wa hivyo na alipewa sharti la kujiua na alipofanikisha akawa na ukwasi sana.
Haaa haaa aende tu mwenyewe asinishirikishe mie akashirikiane na ndugu zake, kuku ale punje moja namwambia achimbe kabisa na kaburi lake ili tusihangaikeHahaha hahaha
Natamani kuona sura ya mtu ambaye kuku kala punje moja!
Unaishi kwa wasiwasi tuu, huna amani!
Uvivu wa kutafuta hela utatumaliza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu kinyonyokeUnakuta kuku mwenyewe ni sharobalo hatari..anakula robo punje tu afu anakuangalia na kukucheka kwa dharau
Utajiri huu ndio uliomuua pepe kale cc GENTAMYCINEKuna mmoja yuko igamba mbozi songwe yeye sharti lake ni anakufa kwa siku 7 anaoza hadi mafunza,sasa akifufuka hapo baada ya mwezi fuso inachanwa karatasi mupya iyoo!
Hahaha hahaha hahahaHaaa haaa aende tu mwenyewe asinishirikishe mie akashirikiane na ndugu zake, kuku ale punje moja namwambia achimbe kabisa na kaburi lake ili tusihangaike
Hahaha hahaha hahahaAu nusu punje!
Huwezi kuelewa kirahisi.Kama kajiua anakuwaje tajiri? Au kujiua nini mkuuu
Tangawizi imezidi.Nakumbuka mwaka 2007 ,Kuna Mama jirani mtaa wa 6:na nilipokua nakaa ,alikua anatumia Utajiri wa Ndagu ,Maisha yake yalikua si Haba ,alitetemesha mtaa wetu na vitongoji vyake pale Tunduma
Kama kawaida Utajiri wake ulikua ni wa Kufa siku 7 anafufuka siku ya 8 na Hali mpya,Nguvu mpya na Kasi Mpya
Hapo mtashaangaa tu kanunua nyumba mpya,kaongeza maduka manzese(wale waliofika Tunduma wanapafahamu)
Kilichokuja kumuua kimoja(moja kwa moja) ni watoto wake (Huyo Mama alikua Mjane),aliwaaga kuwa anaenda Dar kuchukua mzigo ,basi akajifungia Mochwari yake ya hapo kwake(chumba chake maalumu cha kufia siku 7 hapo kwake)
Basi siku ya 4 toka Afe watoto katika kucheza sana mle ndani na wenzao,kuna mmoja aliwashawishi waingie hicho chumba
,wakatafuta Funguo Kibahati wakaipata,kufungua wakakuta Mama Mjane kafa kaoza mpaka mafunza funza yametapakaa ndani ya chumba hicho [emoji317]
Watoto kupiga kelele kwa majirani ,watu wakajaa pale nyumbani kwake ,ilikua ni Taharuki mtaani,ilikuja kujulikana baadae alikua anatumia Ndagu kwenye itajiri wake
Tulizika na Tushamsahau toka 2007
Iko mbinu ya kuwachanganya Mashetani unaenda kwa Mashekhe unasomewa Salat al-Janazah wakimaliza wanapiga Salat al-mayyit unakuwa ushazikwa huku unadunda.
Ila hapo hata Mbwa ukipita wanakaa kimyaa
Ni kweli imezidi,na hata 2007 hatukuwa na social media Tunduma,Tangawizi ingezidi zaidiTangawizi imezidi.