Utajiri wa ndagu

Utajiri wa ndagu

Kudadekiiiii
Iko mbinu ya kuwachanganya Mashetani unaenda kwa Mashekhe unasomewa Salat al-Janazah wakimaliza wanapiga Salat al-mayyit unakuwa ushazikwa huku unadunda.
Ila hapo hata Mbwa ukipita wanakaa kimyaa
 
Hahaha hahaha
Natamani kuona sura ya mtu ambaye kuku kala punje moja!

Unaishi kwa wasiwasi tuu, huna amani!

Uvivu wa kutafuta hela utatumaliza
Haaa haaa aende tu mwenyewe asinishirikishe mie akashirikiane na ndugu zake, kuku ale punje moja namwambia achimbe kabisa na kaburi lake ili tusihangaike
 
Haaa haaa aende tu mwenyewe asinishirikishe mie akashirikiane na ndugu zake, kuku ale punje moja namwambia achimbe kabisa na kaburi lake ili tusihangaike
Hahaha hahaha hahaha
Hiyo ni mbaya sana jamanii... Punje moja tuu ukitoka hapo unaanza kuhesabia siku
 
Nakumbuka mwaka 2007 ,Kuna Mama jirani mtaa wa 6:na nilipokua nakaa ,alikua anatumia Utajiri wa Ndagu ,Maisha yake yalikua si Haba ,alitetemesha mtaa wetu na vitongoji vyake pale Tunduma

Kama kawaida Utajiri wake ulikua ni wa Kufa siku 7 anafufuka siku ya 8 na Hali mpya,Nguvu mpya na Kasi Mpya
Hapo mtashaangaa tu kanunua nyumba mpya,kaongeza maduka manzese(wale waliofika Tunduma wanapafahamu)

Kilichokuja kumuua kimoja(moja kwa moja) ni watoto wake (Huyo Mama alikua Mjane),aliwaaga kuwa anaenda Dar kuchukua mzigo ,basi akajifungia Mochwari yake ya hapo kwake(chumba chake maalumu cha kufia siku 7 hapo kwake)
Basi siku ya 4 toka Afe watoto katika kucheza sana mle ndani na wenzao,kuna mmoja aliwashawishi waingie hicho chumba
,wakatafuta Funguo Kibahati wakaipata,kufungua wakakuta Mama Mjane kafa kaoza mpaka mafunza funza yametapakaa ndani ya chumba hicho [emoji317]

Watoto kupiga kelele kwa majirani ,watu wakajaa pale nyumbani kwake ,ilikua ni Taharuki mtaani,ilikuja kujulikana baadae alikua anatumia Ndagu kwenye itajiri wake
Tulizika na Tushamsahau toka 2007
Tangawizi imezidi.
 
Nieleweshe hiyo ndo inakuaje
Iko mbinu ya kuwachanganya Mashetani unaenda kwa Mashekhe unasomewa Salat al-Janazah wakimaliza wanapiga Salat al-mayyit unakuwa ushazikwa huku unadunda.
Ila hapo hata Mbwa ukipita wanakaa kimyaa
 
Back
Top Bottom