Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

yule mzee alikuwaga kama na kakiburi fulani hivi ambako kalikuwa ka kijinga,
Hii Ni kawaida ya wazee wa huko yaani Ni nature yao Mana Wana hela na wamesoma mno ivyo huwa wanajisikiaga Kama wengine Ni wajinga Mana hawakusoma.

Na ndio Mana jpm alipoingia walishangaa kuwa hakuna waziri wa tokea kwetu maana walijiamnishaga Tanzania Ni ya kwao.

Sasa wanashangaa wasomi Ni wengi. Waendelee na hizo midharau Mana Ni catalyst kwa wengine.
 
Anko wangu alikuwaga akoromi kwa yule mwanamke bali hasira za kugombezwa na mkewe zilikuwaga zinaishia kwa wanae au mimi kwa wakati ule nipo kwake.
Anko Naona Kama aliolewa unadhani hapa anaweza akaishi na Bibi yako tokea mogabiri huko na huku anaongea let say kikurya tu. Watt hawatakuwa na time naye. Wameshazoeshwa kwenda Moshi unadhani hapo Kuna ndugu Tena. Hapo Ni ukoo wa mwanamke unanemeeka
 
Ilikuwaje
Kwanza ile tumeingia ndani wakati tumefika,mabegi yakawekwa sebuleni baadae akaitwa mama alivyokuja tukamsalimia,kaka akanitambulisha,nikaulizwa naondoka lini,nikamwambia nitakaa kwa wiki 3

Baada ya siku mbili baba mkubwa akapigiwa simu,huwa anaishi marekani akaanza kunilalamikia kwanini nimeenda pale bila taarifa,eti natakiwa nitoe taarifa maana hapo ni mjini.Yaan familia ya watu walioko vizuri kiuchumi lakini wanaogopa wageni maana mama alikuwa mhasibu BoT

Kaugali wanapika kadogo afu kila mtu anakula kwa muda wake,siku zingine kaka angu anagomba eti tumemwachia ugali mdogo,kuna siku mama alikuta ninakula akaniambia niwe na kataka ugali kidogo ili nimwachie na kaka maana huwa anagomba na wakati huo nimekata kaugali kenye ukubwa wa vipande viwili vya mkate

Muda wote niliokaa pale nikuoga maji ya chumvi wakati maji baridi yapo na nilikuwa nanunua kwa pesa yangu,kuna wakati huyo mama anakuwa na beki 3 nikipita naona kabisa wananisema kwa kilugha na wanacheka,huyo mama alikuwa ni mtu wa tanga
 
Aisee 🤔
Kwanza ile tumeingia ndani wakati tumefika,mabegi yakawekwa sebuleni baadae akaitwa mama alivyokuja tukamsalimia,kaka akanitambulisha,nikaulizwa naondoka lini,nikamwambia nitakaa kwa wiki 3

Baada ya siku mbili baba mkubwa akapigiwa simu,huwa anaishi marekani akaanza kunilalamikia kwanini nimeenda pale bila taarifa,eti natakiwa nitoe taarifa maana hapo ni mjini.Yaan familia ya watu walioko vizuri kiuchumi lakini wanaogopa wageni maana mama alikuwa mhasibu BoT

Kaugali wanapika kadogo afu kila mtu anakula kwa muda wake,siku zingine kaka angu anagomba eti tumemwachia ugali mdogo,kuna siku mama alikuta ninakula akaniambia niwe na kataka ugali kidogo ili nimwachie na kaka maana huwa anagomba na wakati huo nimekata kaugali kenye ukubwa wa vipande viwili vya mkate

Muda wote niliokaa pale nikuoga maji ya chumvi wakati maji baridi yapo na nilikuwa nanunua kwa pesa yangu,kuna wakati huyo mama anakuwa na beki 3 nikipita naona kabisa wananisema kwa kilugha na wanacheka,huyo mama alikuwa ni mtu wa tanga
 
Kwanza ile tumeingia ndani wakati tumefika,mabegi yakawekwa sebuleni baadae akaitwa mama alivyokuja tukamsalimia,kaka akanitambulisha,nikaulizwa naondoka lini,nikamwambia nitakaa kwa wiki 3

Baada ya siku mbili baba mkubwa akapigiwa simu,huwa anaishi marekani akaanza kunilalamikia kwanini nimeenda pale bila taarifa,eti natakiwa nitoe taarifa maana hapo ni mjini.Yaan familia ya watu walioko vizuri kiuchumi lakini wanaogopa wageni maana mama alikuwa mhasibu BoT

Kaugali wanapika kadogo afu kila mtu anakula kwa muda wake,siku zingine kaka angu anagomba eti tumemwachia ugali mdogo,kuna siku mama alikuta ninakula akaniambia niwe na kataka ugali kidogo ili nimwachie na kaka maana huwa anagomba na wakati huo nimekata kaugali kenye ukubwa wa vipande viwili vya mkate

Muda wote niliokaa pale nikuoga maji ya chumvi wakati maji baridi yapo na nilikuwa nanunua kwa pesa yangu,kuna wakati huyo mama anakuwa na beki 3 nikipita naona kabisa wananisema kwa kilugha na wanacheka,huyo mama alikuwa ni mtu wa tanga
Hii vipi tena, si ufungue uzi wako!?
 
Back
Top Bottom