OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Ivi kumbe na wewe ni wa huko π€£π€£π€£π€£Tumoghele
Mbeya hatuna Mbambamba.
Isingekuwa hayo maruweruwe ya kina Ally Mpemba tungeonana Mkuu.
Tukionana hayo lazima yalipuke.
Dah hii Imani hii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tumoghele
Mbeya hatuna Mbambamba.
Isingekuwa hayo maruweruwe ya kina Ally Mpemba tungeonana Mkuu.
Tukionana hayo lazima yalipuke.
Bado! Itategemea na jibu lake, iwapo atajibuUmeuliza ni mwaka gani yalimkuta hayo kabla ya yote.
Yeye aliambiwa anapelekwa Chumbe, akapelekwa alipoambiwa panaitwa chumbe, hakuhoji zipo ngapi, hakuhoji wameenda Chumbe ipi, ilikuwa si wajibu wake kuhoji hayo sababu hakua hata akijua kama kuna sehemu inaitwa Chumbe.Zanzibar kuna Chumbe mbili.... moja ni kisiwa kabla ya kufika Unguja na Chumbe ya pili ipo karibu na Mbweni katika barabara ya kwenda Entebbe.
Master naona kashindwa kabisa kuelezea ni Chumbe ipi alikwenda! Kama ni Chumbe ya barabara ya kwenda Entebbe, hiyo haina msitu na bahari ipo mbali kidogo aidha eneo lote toka Chumbe hadi ufukweni kumejengwa, hivyo basi hakuna msitu wa aina ya simulizi ilivyosema.
Kwa upande wa kisiwa cha Chumbe, ni kisiwa kisichokaliwa na wenyeji, zamani wavuvi walipita hapo baada ya shughuli zao za uvuvi na ndio sababu kuna msikiti kisiwani hapo. Zaidi ya msikiti kuna mnara wa kuongezea meli na vibanda vya hoteli ya kitalii. Ni kisiwa ambacho kipo chini ya uangalizi na kinasimamiwa na kampuni binafsi!
Sijui Master alikwenda Chumbe ipi! Kama kuna mtu anajua ni vema akatufahamisha.
Jibu safi sana hili,Yeye aliambiwa anapelekwa Chumbe, akapelekwa alipoambiwa panaitwa chumbe, hakuhoji zipo ngapi, hakuhoji wameenda Chumbe ipi, ilikuwa si wajibu wake kuhoji hayo sababu hakua hata akijua kama kuna sehemu inaitwa Chumbe.
Inawezekana hakwenda Chumbe, inawezekana hiyo Chumbe ni code tu ambayo akina Ally Mpemna huitumia kulitambulisha eneo hilo.
Ni kama vile Mganga anavyoitwa Kiti, ina maana ungeanza kuhoji ni kiti gani, sofa cha plastic au mbao?
Hapana shaka sasa atakuwa amejua ni Chumbe ipi alipelekwa!Yeye aliambiwa anapelekwa Chumbe, akapelekwa alipoambiwa panaitwa chumbe, hakuhoji zipo ngapi, hakuhoji wameenda Chumbe ipi, ilikuwa si wajibu wake kuhoji hayo sababu hakua hata akijua kama kuna sehemu inaitwa Chumbe.
Inawezekana hakwenda Chumbe, inawezekana hiyo Chumbe ni code tu ambayo akina Ally Mpemna huitumia kulitambulisha eneo hilo.
Ni kama vile Mganga anavyoitwa Kiti, ina maana ungeanza kuhoji ni kiti gani, sofa cha plastic au mbao?
Page No. hutofautiana kutegemea user anatumia kifaa kipi/settings zipi; Ila post No. huwa sawa kwa woteSasa sijui IPOpagenamba ngapi?
Ila we jamaa nmegundua una kiherehereHapana shaka sasa atakuwa amejua ni Chumbe ipi alipelekwa!
Kheee heee heee...Eeh!Ila we jamaa nmegundua una kiherehere
Haya, upo poa mpendwa??Niponipo tu mkuu
Niko poa kabisa wanguHaya, upo poa mpendwa??
Haijulikani mkuu??Kwani story inaendelea leo au kesho?
Daah jibu lako linakatisha tamaa sanaHaijulikani mkuu??
Sawa madam, ila haujanimalizia ile story yakoNiko poa kabisa wangu
KwendaπππIvi kumbe na wewe ni wa huko π€£π€£π€£π€£
Dah umezingua kinyama ππππ
Mkuu, Mbona hapo nimejitahidi kukupa faraja, sema tatizo Mimi sio binadamuDaah jibu lako linakatisha tamaa sana
Nina uhakika na MunguDah hii Imani hii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]