Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Bado haileti maana hiyo dhana yako, kama ni hivyo kwanini wakati amesafiri alimwachia Umughaka kazi ya kununua mboga za huyo kiumbe, kama ni kuwasiliana na mganga wake si angewasiliana nae tu.
Muzee,u really care kuwa mzimu ulikula nini jamaa waliposafiri!??
Nways wacha nilijibu hili for the sake of it...Kuna siku walimpigisha deshi akaivuruga sebule...umesahau!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…