Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Nilikaa pembeni nikajua nikirudi nitakuta muendelezo kumbe bado mbambamba zinaendelea
emoji28.png
Kama sijakosea Alisema leo anawaza kurudi ngoja tumsubiri tu Hakuna namna
 
UMUGHAKA shetani mwenyewe niko nae hapa tunasubiria muendelezo maana hata yeye anashangazwa na Matukio yako. Lakini akakana abadani HUKUWAHI KUMUAMINI SABABU IMANI YAKO KWAKE ILIKUWA NUSUNUSU.

Asema unamsemea uongo. Nimepost kwa niaba yake, ye hana bundle.

fanya kamuendelezo mkuu
 
Hata mil 2 tu huwezi mpa mtu wa namna hiyo. Jamaa ana fail sana. anaamini anasimulia watu wote wenye akili ndogo. Anatakiwa anapotunga asicheze mbali na uhalisia.....
Mara nyingi watunzi wa story hujaribu kuweka vionjo ili kuleta ladha, yaani msanii siku zote hujaribu kufanya kile ambacho hakiwezekani ili Kuleta antetion kwa Hadhira
 
Back
Top Bottom