Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Usingizi au nini?Hik nchi mstaafu ni mmoja tu naomba hio title ibaki hivyo tu
Jamaa yenu atarudi na kiaingizio kingine. "Bodaboda yangu ilikuwa mbovu nimeshinda kwa fundi siku mbili hizi"Nilikaa pembeni nikajua nikirudi nitakuta muendelezo kumbe bado mbambamba zinaendelea[emoji28]
Kama sijakosea Alisema leo anawaza kurudi ngoja tumsubiri tu Hakuna namnaNilikaa pembeni nikajua nikirudi nitakuta muendelezo kumbe bado mbambamba zinaendelea
Acha mzee afurahie maisha!!
arosto asbh hiii [emoji4]Acha mzee afurahie maisha!!
Masta Sijui amekwama wapi japo alianza vizuri Kweli! Au mwanzo hakuwa na hizo shughuli zake 😁😁😁😂😂!arosto asbh hiii [emoji4]
Boda boda si kaiacha darJamaa yenu atarudi na kiaingizio kingine. "Bodaboda yangu ilikuwa mbovu nimeshinda kwa fundi siku mbili hizi"
Duh sawa ngoja tusubiri,ukiwahi nishtue mkuuKama sijakosea Alisema leo anawaza kurudi ngoja tumsubiri tu Hakuna namna
Usiwaze mkuu akitupia tu fastaa nakuitaDuh sawa ngoja tusubiri,ukiwahi nishtue mkuu
Salama kabisa,,,, !Masta Sijui amekwama wapi japo alianza vizuri Kweli! Au mwanzo hakuwa na hizo shughuli zake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]!
Mambo yake acha tumuachie mwenyewe akijisikia ataleta!
Habari za asubuhi mkuu![emoji113]
Kabisaa sema anavokatiza katiza inakata stimu sanaaa si unajua utamu ukikolea afu mtu achomoee😎!Salama kabisa,,,, !
Nyama zipo chini kula mtori
Mara nyingi watunzi wa story hujaribu kuweka vionjo ili kuleta ladha, yaani msanii siku zote hujaribu kufanya kile ambacho hakiwezekani ili Kuleta antetion kwa HadhiraHata mil 2 tu huwezi mpa mtu wa namna hiyo. Jamaa ana fail sana. anaamini anasimulia watu wote wenye akili ndogo. Anatakiwa anapotunga asicheze mbali na uhalisia.....
Unapagawa eh mtu akichomoa [emoji1]Kabisaa sema anavokatiza katiza inakata stimu sanaaa si unajua utamu ukikolea afu mtu achomoee[emoji41]!
Ngoja tuone!
💃🤸🤸🤸🤸🤸🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!Unapagawa eh mtu akichomoa [emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]UMUGHAKA episode ya 17 uniweke na mimi kuwa uliamua kutafuta kijana wa kukusaidia kusajili line baada ya wewe kuwa bize... jina Liwe Mangi..