Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hahaha na hv anasema alikuwa mzuri shida tu zilimfanya achakae

Kwa hyo unataka kusemaje? Kuwa alimpumbusha?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ukiangalia hapo mke wa jamaa atakua alikua na ugumu mana jamaa ake baada ya kupata m9 alikua mtu wa pombe sana, hapo kama alishindwa mwandishi ni uzembe wake.
 
Kijan unapitia maswahibu San haya pole ila uwe makini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kijan unapitia maswahibu San haya pole ila uwe makini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…