Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Dogo kashaingizwa mjini naye kawa mjanja. Angekuwa DeepPond angekuwa keshamaliza
 
Bora shunie arudi kwenye ubora wake story zake zinaisha sio uyu kurya boy
 
Mimi maya, ningeshamgeuza kitoweo.
 
UMUGHAKA ana majukumu jamani halafu sio lazima na halazimishwi atafanya anavyotaka mtu ataachaje kazi zake ili akuridhishe wewe tu?

Nimegundua watu wengi humu ni majobless hawana kazi za kuwa keep busy. Hebu badilikeni na muwe Wavumilivu kama mkiwa mnataka mtu afanye kile mnachokitaka mtapata tabu sana hasa kwenye maisha ya kawaida.

Jifunzeni kuwa na Subira halafu hata mkiwa mnashushiwa episodes daily zitabadilisha nini kwenye maisha yenu?
 
Umeipata pata sasa..sisi tulilalamika siku nyingi huyu jamaa ana katabia flani hivi "kahovyo". Mpaka tukashauri kama ulivyoshauri Mods wafute huu uzi maana umejaa malumbano tu na yeye anapita anaangalia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…