Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ila jamaa mzinguaji sana nowadays, nadhani sifa zimemzidia mpaka akajiona mkubwa, sasa naanza kuungana na chizimaarifa kwa haya mambo anayofanya, how comes mtu story ya siku moja usimulie mwezi mzimaa??? Yaani kama ingewezekana mods waufute huu uzi na jamaa wampige ban kwa kuwafanya watu misukule wake humu jf
Dogo kashaingizwa mjini naye kawa mjanja. Angekuwa DeepPond angekuwa keshamaliza
 
Ila jamaa mzinguaji sana nowadays, nadhani sifa zimemzidia mpaka akajiona mkubwa, sasa naanza kuungana na chizimaarifa kwa haya mambo anayofanya, how comes mtu story ya siku moja usimulie mwezi mzimaa??? Yaani kama ingewezekana mods waufute huu uzi na jamaa wampige ban kwa kuwafanya watu misukule wake humu jf
Bora shunie arudi kwenye ubora wake story zake zinaisha sio uyu kurya boy
 
Hoko kumstiri ukute ni kumpeleka moto kile kumbe, au kuoelekewa moto na kiumbe
Hizi tibia za...
20230104_164404.jpg
 
Kwa kuwa UMUGHAKA yupo busy na mambo yake basi sisi wasubiriaji tuwe busy kwanza na kusimuliana visa na mikasa humu humu kwenye uzi wake mpaka atakapo rudi tuwe tumeshapotelea mbali yaani akirudi aanze mwanzo kutusimulia maana tutakuwa tumeshasahau.

Mimi ningeshaondoka na lile Audi siku nyingi
Mimi maya, ningeshamgeuza kitoweo.
 
UMUGHAKA ana majukumu jamani halafu sio lazima na halazimishwi atafanya anavyotaka mtu ataachaje kazi zake ili akuridhishe wewe tu?

Nimegundua watu wengi humu ni majobless hawana kazi za kuwa keep busy. Hebu badilikeni na muwe Wavumilivu kama mkiwa mnataka mtu afanye kile mnachokitaka mtapata tabu sana hasa kwenye maisha ya kawaida.

Jifunzeni kuwa na Subira halafu hata mkiwa mnashushiwa episodes daily zitabadilisha nini kwenye maisha yenu?
 
Ila jamaa mzinguaji sana nowadays, nadhani sifa zimemzidia mpaka akajiona mkubwa, sasa naanza kuungana na chizimaarifa kwa haya mambo anayofanya, how comes mtu story ya siku moja usimulie mwezi mzimaa??? Yaani kama ingewezekana mods waufute huu uzi na jamaa wampige ban kwa kuwafanya watu misukule wake humu jf
Umeipata pata sasa..sisi tulilalamika siku nyingi huyu jamaa ana katabia flani hivi "kahovyo". Mpaka tukashauri kama ulivyoshauri Mods wafute huu uzi maana umejaa malumbano tu na yeye anapita anaangalia tu.
 
Back
Top Bottom