Acha kumfananisha YESU na mambo ya giza[emoji144]Jamani muwe na SUBRA,story kuchelewa kidogo tu mmepanic! je kumngojea bwana Yesu arudi mtaweza kweli?
😂😂😂😂Kijana jifunze kutofautisha Kati ya X na kuzidisha.Acha kumfananisha YESU na mambo ya giza[emoji144]
Hivi mchoraji alikuwa anapata wapi zile imagination ?Dah nilikuwa mdogo kiasi Ila Yale magazeti yakusumbua Sana mtaa jamani,yaani linazunguka mtaa mzima[emoji23][emoji23],baadae likatoka lingine kinaitwa Tabasamu dah! cover Sasa wanachora wadada wana misambwanda hiyo balaa
Yaani hata sielewi,,maana nikiwakumbuka ndio utasema alikuwa akiwachora wakina sanchoka wa siku hizi,kuanzia pozi mpaka mavaziHivi mchoraji alikuwa anapata wapi zile imagination ?
Daaaah.....kweli wanawake mkiamua kupenda mnapenda. Hii text umeandika kwa mahaba. Na unamwona jamaa tayari ni mwamba wako.....🤣 Umenikumbusha mbali sana. Kuna demu alikuwa ananiita hivyo.... Ngoja aje Chizi Maarifa akujibu. Sema nimeona una mapenzi sana kwaWe jamaaa mbna una husda ya wazi hivi!? yaani una wish ungekua mke wa mwamba
Acha kumfananisha Bwana Yesu na mambo ya kipumbavu.Jamani muwe na SUBRA,story kuchelewa kidogo tu mmepanic! je kumngojea bwana Yesu arudi mtaweza kweli?
Nimeipata nimeisoma ni nzuriSimkumbuki lakini story yake ilihusu alivyoanza mahusiano na mwanafunzi mwenake wa kidato cha mne yeye akiwa kidato cha pili lakini kabla ya kumaliza kidato cha nne akapata mimba. Yule jamaa yake akachukua jukumu la kumsomesha baada ya kukifungua mpaka demu akafika advance. Jamaa nae alikuwa amesoma hadi chuo lakini alifariki akiwa mwaka wa pili chuoni. Simkumbuki huyo demu lakini story yake ni nzuri sana isiyokuwa na epsode
Miaka hiyo, jeuri ya kulinunua gazeti hilo, wengi tulikuwa hatuna! Sasa kuna "aliyekuwa" classmate pale Azimio Primary School Mbeya mjini, baba yake alikuwa ni mfanyabiasha ya usafirishaji (mabasi),basi yeye ananunua magazeti mawili, moja lake, lingine linazunguka darasa zima.Dah nilikuwa mdogo kiasi Ila Yale magazeti yakusumbua Sana mtaa jamani,yaani linazunguka mtaa mzima[emoji23][emoji23],baadae likatoka lingine kinaitwa Tabasamu dah! cover Sasa wanachora wadada wana misambwanda hiyo balaa