Yaani afunge safari kwa hako kabia kamoja tena ka buku jero! Chafua meza kijana ndio uite watu EswaTata muraaa njoo hapa QX - Bunju kwa Baharia tumwagilie moyo huku ukiandika the next episode ukimnyandua Maya UMUGHAKA
View attachment 2482550
YAANI MTU ANASHINDWA HATA KUMALIZIA STORY YAKE NDIO ALITAKA KUWA TAJIRI!![emoji23][emoji23]. NDIO MAANA KAISHIA KUWA BODA BODA.Bro tupe ya kumalizia wiki
Hatari.Wenye pesa hizi za mauza uza ....baadaye ndo hawa wanajua motivational speaker
Utasikia " nilianza na kufuga kuku 10shenz type mamaeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaanza kutisha watuKuna habari kuhusu msimulizi i hope sio kweli....hope he is safe and alive
Unataka kusemaje Jomba?Kuna habari kuhusu msimulizi i hope sio kweli....hope he is safe and alive
Poa moto ntakuita shasti usijali.Bado ya 19?
Tumalizane hapa hapaNjoo inbox tumalizane Mkuu.
Ndio nini sasa Mkuu kuongea hayo mambo upenuni. Sio sawa.Tumalizane hapa hapa
Sa si uje pm?Ndio nini sasa Mkuu kuongea hayo mambo upenuni. Sio sawa.
Unataka kolabo?😅😅UMUGHAKA Maya anakandwa lini mkuu?
Mkuu umeitwa PM na mtoto mara kadhaa na unamadharau😠😠😠Ndio nini sasa Mkuu kuongea hayo mambo upenuni. Sio sawa.
🤣 🤣 🤣 🤣 Mkuu ninaomba nikuhakikishie kuwa niko PM kwa mrembo tunakula mema ya nchi. Tutawaletea report ya utekelezaji.Mkuu umeitwa PM na mtoto mara kadhaa na unamafharau😠😠😠
Nenda huko utuwakilishe kama huwezi tukuitie Ally Mpemba akupe dawa
Mtoto wa "kigogo" huyo aba shanga za kutosha😅 usilaze damu🤣 🤣 🤣 🤣 Mkuu ninaomba nikuhakikishie kuwa niko PM kwa mrembo tunakula mema ya nchi. Tutawaletea report ya utekelezaji.
Oi natoka kwenye huu uzi jamaa akileta next episode hata mwakani unitagNdio nini sasa Mkuu kuongea hayo mambo upenuni. Sio sawa.