NakubaliBongo tatizo sana,yaan huyu jamaa na story zake za kufikirika baada ya kupata followers kidogo tuu basi tayari keshajiona superstar,analeta madeko kama mtoto wa kike....
Kama umeamua kuleta story lete na uhakikishe unamaliza,sio kuanza kuringa kama unaombwa maku wakati wew mtoto wa kiume,
Punguza madeko na maliza story na usilete story nyingine hapa kenge wewe.
Kuna sehemu na wewe unaenda kusimulia eti ha ha haBongo tatizo sana,yaan huyu jamaa na story zake za kufikirika baada ya kupata followers kidogo tuu basi tayari keshajiona superstar,analeta madeko kama mtoto wa kike....
Kama umeamua kuleta story lete na uhakikishe unamaliza,sio kuanza kuringa kama unaombwa maku wakati wew mtoto wa kiume,
Punguza madeko na maliza story na usilete story nyingine hapa kenge wewe.
Basi akahadithie miti porini...kama hajali audience...Uamuzi ni wako Kaka na Umughaka sio storyteller na Simulizi zake huwa hauizi. Kumbuka hakuna kitu kinachochukua muda kama uandishi na mtu hawezi kuacha chombo yake [emoji965]akae kukuandikia wewe story. Kuwa mvumilivu tu Mkuu. Akiwa na muda ataandika na kutuma humu. Simulizi ni yake na bando ni lake. Na hauizi kwa hiyo apoteze au asipoteze audience hilo ni juu yake.
Kama hapati hasara yoyote...aende akahadithie mbuzi huko au miti porini...Akipoteza audience anapata hasara gani katika maisha yake??
Kumbe akipata response analipwa
Hapangiwi na mtu kuhadithia...na sisi hatujamuomba aielete humu...Bongo tatizo sana,yaan huyu jamaa na story zake za kufikirika baada ya kupata followers kidogo tuu basi tayari keshajiona superstar,analeta madeko kama mtoto wa kike....
Kama umeamua kuleta story lete na uhakikishe unamaliza,sio kuanza kuringa kama unaombwa maku wakati wew mtoto wa kiume,
Punguza madeko na maliza story na usilete story nyingine hapa kenge wewe.
Ignore uzi tu Mkuu mbona unapata shida sana? Dhibiti mihemko yako basi.Hapangiwi na mtu kuhadithia...na sisi hatujamuomba aielete humu...
Kama alikuwa anaona hapati faida yoyote akahadithie ngedere porini...
Kama umeleta humu malizia...hutaki usilete kabisa...
Upweke ni ugonjwa mbaya sana sasa kama wewe ukiisoma hii Simulizi unapata hasara au faida gani?Kama hapati hasara yoyote...aende akahadithie mbuzi huko au miti porini...
Usinipangie na wewe...na wewe ignore comments zangu...na mihemko yangu vilevile...Ignore uzi tu Mkuu mbona unapata shida sana? Dhibiti mihemko yako basi.
Huu ni uchawa...unaokusumbua...Upweke ni ugonjwa mbaya sana sasa kama wewe ukiisoma hii Simulizi unapata hasara au faida gani?
Kuondoa hiyo hasira kwa Umughaka kuto post Simulizi kama unavyotaka au kama wewe huwa unamlipa. Fanya hivi vuta pumzi mara 5 halafu anza kuitoa taratibu fanya hivyo mara nyingi uwezavyo. Utakaa sawa sio kulia lia tu humu. 😆😆😆😆😆
Vuta pumzi mara 5 na kuachia taratibu kama nilivyokuambia utakaa vizuriHuu ni uchawa...unaokusumbua...
Tuanze na wewe ..Vuta pumzi mara 5 na kuachia taratibu kama nilivyokuambia utakaa vizuri
Kweli watanzania wengi tunaumwa magojwa ya akili.Huu ndo upuuzi wa ngozi nyeusi vistory vitatu kashajiona super star kwasababu ushaona umateka fikra za watu hapa unapita kila siku unasoma comments unacheka tuu unaona unatukomoa fala wewe ungejua humu jamii forum kuna watu wanaweza kukudhamin ukachapisha vitabu ukawa umetoka kimaisha ila kwa dharau hizi huwezi kupata hata mdhamini fala wewe hata kama umetingwa na kazi sema watu wajue, from now am out na huu upuuzi endelea kudengua kama mtoto wa kike mbwa wewe. By the way sipo jobless nina kazi so watu msije sema sina kazi sema time kama hii nipo home nilikua napita kusoma story ya huyu kenge.
Mbona mapovu mzee babaHuu ndo upuuzi wa ngozi nyeusi vistory vitatu kashajiona super star kwasababu ushaona umateka fikra za watu hapa unapita kila siku unasoma comments unacheka tuu unaona unatukomoa fala wewe ungejua humu jamii forum kuna watu wanaweza kukudhamin ukachapisha vitabu ukawa umetoka kimaisha ila kwa dharau hizi huwezi kupata hata mdhamini fala wewe hata kama umetingwa na kazi sema watu wajue, from now am out na huu upuuzi endelea kudengua kama mtoto wa kike mbwa wewe. By the way sipo jobless nina kazi so watu msije sema sina kazi sema time kama hii nipo home nilikua napita kusoma story ya huyu kenge.
Mbona mapovu mzee baba
Kweli watanzania wengi tunaumwa magojwa ya akili.
Kulikuwa na ulazima gani wa kutuambia kuwa wewe sio joblessHuu ndo upuuzi wa ngozi nyeusi vistory vitatu kashajiona super star kwasababu ushaona umateka fikra za watu hapa unapita kila siku unasoma comments unacheka tuu unaona unatukomoa fala wewe ungejua humu jamii forum kuna watu wanaweza kukudhamin ukachapisha vitabu ukawa umetoka kimaisha ila kwa dharau hizi huwezi kupata hata mdhamini fala wewe hata kama umetingwa na kazi sema watu wajue, from now am out na huu upuuzi endelea kudengua kama mtoto wa kike mbwa wewe. By the way sipo jobless nina kazi so watu msije sema sina kazi sema time kama hii nipo home nilikua napita kusoma story ya huyu kenge.