Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Acha tuPole sana next time ukipokea kazichome moto. Hii dunia ina mambo ya hovyo sana nakumbuka kipindi Cha nyuma 2014 kuna nyumba nilikuwa nimepanga huyo Mama mwenye nyumba kuna siku niliota ndoto anampa Chakula dogo aniletee kile Chakula nilipokea nikakiweka mezani likaanza kutoa Mende weusi wengi sana kweli kuna siku ya Idd kaniletea Chakula siku kila nilienda kuki flash chooni tu. Vya bure havina maana kabisa turidhike na kile tulichonacho
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
SawA loveMi hapa cute....thank you
Dada zangu hao nawaozesha
Ndio huenda ndo utakuta chanzo cha yeye kuanguka na kusepaStori za umughaka huwezi kuitabiria kirahisi, next episode rehema utashangaa wala hafi[emoji28]
Thanks a lot mamy you're such a well organized Queen!Pendaelli Santos06 Mafian cartel Poker kiduku mpapaso Restless Hustler Kambi ya Fisi Doctor G Labani og leadermoe St anne mambo tayareeeeee hukuuuuu
Hapa hata Mimi nashangaa jambo la hatar HV halaf huulizi maswali,...Kitu kingine ninachojiuliza wewe UMUGHAKA kwanini huwa huulizi maswali?? Wewe kila kitu ukiambiwa ni ndio tuu. Hata kama ni kiu ya utajiri wewe lazima una shida mahali.
Hivi serious unaambiwa umekosea inabidi utoe kafara ya kuua bila hata kujua outcome yake unakubali tuu sawa??
Hata kama yule dada hukuna na attachment nae still uma shida wewe.
Huulizi maswali hutaki kujua chochote zaidi ya kupelekeshwa tuu ndio maana tunaonekanaga wajinga kwa watu wachache kama nyie. You dont think, dont reason kabisa.
Mama wewe upoDuu mura wewe unaroho ngumu ila pesa jamani pesa jamani pesa jamani aise kama mambo yenyewe ndiyo haya acha afadhali nitafute shamba nilime, Mura nitafutie ekari moja nije kulima.[emoji3]
Uulize nini jamani! Umeambia hapo ni afe yeye au Rehema! Kosa ni kukubali kupelekwa huko safari ya kwanza! Tamaa mbaya.Hapa hata Mimi nashangaa jambo la hatar HV halaf huulizi maswali,...
hapa nakubaliana na wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio hapo tuu yaani yeye toka anashuka ubungo siku ya kwanza haulizi zaidi ya kukubali anachoambiwa na yoyote . Ally ndio kamshika masikio kabisaa anampeleka anavyotaka. Ngoja tuone mbeleni
๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐๐๐! Umeogopaaa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ!!Mimi huyu nije kupanda lift za watu? Never๐๐ผ
Nasemajeeee Mimi huyu๐๐ผ teeeena๐๐ผ bora nichape lapa kutoka posta hadi mapinga. Ona rehema anaenda kufa kisa mserereko. Akhaa๐๐คฃ๐๐๐๐๐๐๐๐๐! Umeogopaaa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ!!
Ukute unapanda Kumbe umekalia vitoto vichangaaaa au vichwa vya watuuu nyieee๐๐๐!!