Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ha ha umeongea kwa uchungu sana, una reason wapi wakati ushavaa bangili
Huyu toka enzi za monica hataki kujishughulisha kufikiria, ukisoma hata ile hadithi alikuwa anafanya kila anachoambiwa hata haulizi atakwambia tuu "nilijiuliza sana bila kupata majibu nikakaa kimya" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kwahiyo ile bangili sio sababu bali ni tabia yake mkurya huyu
 
Ndio udhaifu wa wake huo

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Kalpana na To yeye jamani dada zangu nmewatafutia mchumba.
Kujeni nipange mahali nipeleke nyumbani mapema, Baba amesema nimalize kila kitu mim mwenyewe.
Kampeni Manager Asante kwa kutoa dokezo lako. Utaratibu mwingine nitakupa mwenyewe next weekend. [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…