Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Unaenda huko unayakanyaga unaambiwa umtoe!
Utayakanyaga vipi wakati moyo nimeshauambia Tulia mjini kuna vya watu?
Na Mungu kashasema na roho yangu?
Mtu huwa anayakanyaga pale akiona tu kitu na akili huwa inaushawishi moyo. Mimi hii Nina kampeni Meneja tayari Miss Lovelovie

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Sio kwamba hajiulizi ana roho nzuri ya kutomkatisha mtu tamaa au kuvunja urafiki aliambiwa tutumie silaha kwenye ujambazi rafiki akakubali na yeye, akakubali urafiki usife, akamkalisha ray siti ya mbele mara ya pili ili ray asijisikie vibaya
 
Chating za upuuzi zinaendelea humu. Nyie member wa MMU nendeni mkachati huo upuuzi wenu huko MMU. Unakuta uzi unatembea unajua jamaa kapandisha uzi inakutana na chats za kipuuzi. Mnaboa nyie na mnaharibu uzi wa watu. Hayo matano yenu ya ngono na zinaa nendeni kule MMU Wapuuzi nyie. Mnatukwaza nyie sio wote tuna interest na huo upuuzi wenu. Jitahidini muwe mna hekima.
 
cool down mkuu cool down
 
Jina gumu kama mawe ya mwana marundi.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nisamee bure lkn mke ushapata
Mnaboa nyie nendeni mkachati huu upuuzi wenu kule MMU. Hivi hamuoni aibu wala kujishtukia kama mnaboa wengine? Hakuna umuhimu wa sisi kutujumlisha wala kutushirikisha hizi chats zenu za ngono na midhaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…