Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Unaenda huko unayakanyaga unaambiwa umtoe!
Utayakanyaga vipi wakati moyo nimeshauambia Tulia mjini kuna vya watu?
Na Mungu kashasema na roho yangu?
Mtu huwa anayakanyaga pale akiona tu kitu na akili huwa inaushawishi moyo. Mimi hii Nina kampeni Meneja tayari Miss Lovelovie

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Huyu toka enzi za monica hataki kujishughulisha kufikiria, ukisoma hata ile hadithi alikuwa anafanya kila anachoambiwa hata haulizi atakwambia tuu "nilijiuliza sana bila kupata majibu nikakaa kimya" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kwahiyo ile bangili sio sababu bali ni tabia yake mkurya huyu
Sio kwamba hajiulizi ana roho nzuri ya kutomkatisha mtu tamaa au kuvunja urafiki aliambiwa tutumie silaha kwenye ujambazi rafiki akakubali na yeye, akakubali urafiki usife, akamkalisha ray siti ya mbele mara ya pili ili ray asijisikie vibaya
 
Chating za upuuzi zinaendelea humu. Nyie member wa MMU nendeni mkachati huo upuuzi wenu huko MMU. Unakuta uzi unatembea unajua jamaa kapandisha uzi inakutana na chats za kipuuzi. Mnaboa nyie na mnaharibu uzi wa watu. Hayo matano yenu ya ngono na zinaa nendeni kule MMU Wapuuzi nyie. Mnatukwaza nyie sio wote tuna interest na huo upuuzi wenu. Jitahidini muwe mna hekima.
 
Chating za upuuzi zinaendelea humu. Nyie member wa MMU nendeni mkachati huo upuuzi wenu huko MMU. Unakuta uzi unatembea unajua jamaa kapandisha uzi inakutana na chats za kipuuzi. Mnaboa nyie na mnaharibu uzi wa watu. Hayo matano yenu ya ngono na zinaa nendeni kule MMU Wapuuzi nyie. Mnatukwaza nyie sio wote tuna interest na huo upuuzi wenu. Jitahidini muwe mna hekima.
cool down mkuu cool down
 
Back
Top Bottom