Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Pamoja na hayo yote; kuna mambo kadhaa ya kujiuliza.

1. Ni nini lengo la Allpy Mpemba kwa Umughaka?

2. Je, katika maisha yake Ally Mpemba, hajawahi kukutana na mtu mwingine mwenye nyota ya pesa zaidi yaumughaka?

3. Kama umughaka ana nyota ya pesa, kwa nini Ally mpemba asiishie kuitumia nyota hiyo kwa kumfanya umughaka kama mfanyakazi wake? Kwa nini amshitikishe mambo yake?

Hata hivyo, kukutana kwa rehema na umughaka ni planned, ndio maana siku amemuona kule sokoni alisema hajui hata ni kitu gani kilitokea.
 
Hiki ni kisa cha kubuni kabisa sema tu majobless wanaamua kumuunga mkono bodaboda UMUGHAKA

Kama unakumbuka mwanzoni umughaka alisema Maya ni mnyama ila baadae kaleta hadithi mpya ya eti maya ni msukule wa kiarabu

Kama mtakumbuka sijui ni episode ya ngapi umughaka anasema alifungua chumba cha Maya na akawa amepushiwa na nguvu ya ajabu na mnyama anaefanana sijui na nguruwe na walipokwenda yeye na ally kumuomba maya msamaha maya alikuja akiwa katika umbo la mnyama

Kiufupi hiki ni kisa cha kutunga 100% na ni kichaa pekee anaeweza amini kuwa hiki ni kisa cha kweli


Wenye akili zetu tupo hapa tu kwa kazi maalum.

Angalizo: Muda si mrefu makampuni ya simu wanakwenda kupiga mchinjo vifurushi vya Internet
 
Iwe ya kutunga au kutotunga; bado bado hoja nilizoshare zinahitaji majibu, probably mwishoni.

Halafu, ikiwa ya kutunga/ukweli wewe inakuondolea/kukuongezea nini?
 
Rudia Tena kusoma


Maya mnyama/ nguruwe[emoji777][emoji777][emoji777]

Anavyokula ule msosi ........nikama nguruwe pia jinsi anavyolia
 
Huna akili wewe,kipindi kile master alikua hajajua kuna nn ndani ndo mwanamke akampush alkua hamfaham,,na hakusema kama n nguruwe alisema alisikia kitu kinachokula kama nguruwe
 
Kaangalie hyo animation nmesahau jina lake utajua nn alikuwa anasema master.
 

Attachments

  • 20221218_235230.jpg
    138.8 KB · Views: 35

Inaonesha dhahiri hujasoma vzr story story matukio yake yamekaa vzr na hakuna sehem alipo sema maya n mnyama alisema maya ananywele nyingi
 
Kaka vitim huna kazi za kufanya Kila saa unalialia hapa Mbna umekatisha story yako ya kak muarabu na Hakuna aliyelalamika Zaid tu umetukanwa embu kausha tu
Nasaidia kumuita UMUGHAKA aje awatoe stress majobless halafu kile kisa cha kaka muarabu nikifikisha mwisho labda kama wewe hukufuata maelekezo niliyotoa,halafu kuhusu kazi usiwaze kabisa niko hapa kwa kazi maalum
 
Unafeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…