Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dogo kwangu kakuingiza cha kike endelea na To yeyeKampeni Manager Asante kwa kutoa dokezo lako. Utaratibu mwingine nitakupa mwenyewe next weekend. [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Pamoja na hayo yote; kuna mambo kadhaa ya kujiuliza.Uchambuzi wa stori hadi hapa tulipofikia
UMUGHAKA Kukosea masharti ilikuwa planned,....hivi ndivyo huu utajiri unavyoenda / unapumbazwa then unakosea masharti. Ili uingie kwenye mfumo then mfanye collective bargaining upya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata ujitahidi vipi kujifanya innocent wa kufuata masharti .......lazima Kuna siku utajaa kwenye mfumo
UMUGHAKA ilikuwa lazima akosee masharti ili price itimizwe
References from different movies
shenala the chronicles & Merlin
."....for every magic there is price to pay"
Hiki ni kisa cha kubuni kabisa sema tu majobless wanaamua kumuunga mkono bodaboda UMUGHAKAPamoja na hayo yote; kuna mambo kadhaa ya kujiuliza.
1. Ni nini lengo la Allpy Mpemba kwa Umughaka?
2. Je, katika maisha yake Ally Mpemba, hajawahi kukutana na mtu mwingine mwenye nyota ya pesa zaidi yaumughaka?
3. Kama umughaka ana nyota ya pesa, kwa nini Ally mpemba asiishie kuitumia nyota hiyo kwa kumfanya umughaka kama mfanyakazi wake? Kwa nini amshitikishe mambo yake?
Hata hivyo, kukutana kwa rehema na umughaka ni planned, ndio maana siku amemuona kule sokoni alisema hajui hata ni kitu gani kilitokea.
Iwe ya kutunga au kutotunga; bado bado hoja nilizoshare zinahitaji majibu, probably mwishoni.Hiki ni kisa cha kubuni kabisa sema tu majobless wanaamua kumuunga mkono bodaboda UMUGHAKA
Kama unakumbuka mwanzoni umughaka alisema Maya ni mnyama ila baadae kaleta hadithi mpya ya eti maya ni msukule wa kiarabu
Kama mtakumbuka sijui ni episode ya ngapi umughaka anasema alifungua chumba cha Maya na akawa amepushiwa na nguvu ya ajabu na mnyama anaefanana sijui na nguruwe na walipokwenda yeye na ally kumuomba maya msamaha maya alikuja akiwa katika umbo la mnyama
Kiufupi hiki ni kisa cha kutunga 100% na ni kichaa pekee anaeweza amini kuwa hiki ni kisa cha kweli
Wenye akili zetu tupo hapa tu kwa kazi maalum kwahiyo misukule ya UMUGHAKA kama inafikiria tuko pamoja ngoja iendelee kuunguza bando na tuvifurushi twao twa chuo
Angalizo: Muda si mrefu makampuni ya simu wanakwenda kupiga mchinjo vifurushi vya Internet
Chukua hii joblessIwe ya kutunga au kutotunga; bado bado hoja nilizoshare zinahitaji majibu, probably mwishoni.
Halafu, ikiwa ya kutunga/ukweli wewe inakuondolea/kukuongezea nini?
Nyinyi mnaosema utajiri wa halali ni mgumu hv mshawahi kuwa matajiri? Kwa nini uwe mgumu?na utajiri wa halali ni mgumu sana
Nyinyi mnaosema utajiri wa halali ni mgumu hv mshawahi kuwa matajiri? Kwa nini uwe mgumu?
Yupo mwamba anakwenda kwa jina la George Iron Mosenya ni wa huko huko Kanda maalumuhawa akina UMUGHAKA ndo vipaji maalumu halisi. Siyo wale waliokuwa wakitangwazwa na baraza la Mitihani na Wizara ya Elimu.
Rudia Tena kusomaHiki ni kisa cha kubuni kabisa sema tu majobless wanaamua kumuunga mkono bodaboda UMUGHAKA
Kama unakumbuka mwanzoni umughaka alisema Maya ni mnyama ila baadae kaleta hadithi mpya ya eti maya ni msukule wa kiarabu
Kama mtakumbuka sijui ni episode ya ngapi umughaka anasema alifungua chumba cha Maya na akawa amepushiwa na nguvu ya ajabu na mnyama anaefanana sijui na nguruwe na walipokwenda yeye na ally kumuomba maya msamaha maya alikuja akiwa katika umbo la mnyama
Kiufupi hiki ni kisa cha kutunga 100% na ni kichaa pekee anaeweza amini kuwa hiki ni kisa cha kweli
Wenye akili zetu tupo hapa tu kwa kazi maalum kwahiyo misukule ya UMUGHAKA kama inafikiria tuko pamoja ngoja iendelee kuunguza bando na tuvifurushi twao twa chuo
Angalizo: Muda si mrefu makampuni ya simu wanakwenda kupiga mchinjo vifurushi vya Internet
Huna akili wewe,kipindi kile master alikua hajajua kuna nn ndani ndo mwanamke akampush alkua hamfaham,,na hakusema kama n nguruwe alisema alisikia kitu kinachokula kama nguruweHiki ni kisa cha kubuni kabisa sema tu majobless wanaamua kumuunga mkono bodaboda UMUGHAKA
Kama unakumbuka mwanzoni umughaka alisema Maya ni mnyama ila baadae kaleta hadithi mpya ya eti maya ni msukule wa kiarabu
Kama mtakumbuka sijui ni episode ya ngapi umughaka anasema alifungua chumba cha Maya na akawa amepushiwa na nguvu ya ajabu na mnyama anaefanana sijui na nguruwe na walipokwenda yeye na ally kumuomba maya msamaha maya alikuja akiwa katika umbo la mnyama
Kiufupi hiki ni kisa cha kutunga 100% na ni kichaa pekee anaeweza amini kuwa hiki ni kisa cha kweli
Wenye akili zetu tupo hapa tu kwa kazi maalum kwahiyo misukule ya UMUGHAKA kama inafikiria tuko pamoja ngoja iendelee kuunguza bando na tuvifurushi twao twa chuo
Angalizo: Muda si mrefu makampuni ya simu wanakwenda kupiga mchinjo vifurushi vya Internet
Hana akili huyoRudia Tena kusoma
Maya mnyama/ nguruwe[emoji777][emoji777][emoji777]
Anavyokula ule msosi ........nikama nguruwe pia jinsi anavyolia
Kaangalie hyo animation nmesahau jina lake utajua nn alikuwa anasema master.Hiki ni kisa cha kubuni kabisa sema tu majobless wanaamua kumuunga mkono bodaboda UMUGHAKA
Kama unakumbuka mwanzoni umughaka alisema Maya ni mnyama ila baadae kaleta hadithi mpya ya eti maya ni msukule wa kiarabu
Kama mtakumbuka sijui ni episode ya ngapi umughaka anasema alifungua chumba cha Maya na akawa amepushiwa na nguvu ya ajabu na mnyama anaefanana sijui na nguruwe na walipokwenda yeye na ally kumuomba maya msamaha maya alikuja akiwa katika umbo la mnyama
Kiufupi hiki ni kisa cha kutunga 100% na ni kichaa pekee anaeweza amini kuwa hiki ni kisa cha kweli
Wenye akili zetu tupo hapa tu kwa kazi maalum kwahiyo misukule ya UMUGHAKA kama inafikiria tuko pamoja ngoja iendelee kuunguza bando na tuvifurushi twao twa chuo
Angalizo: Muda si mrefu makampuni ya simu wanakwenda kupiga mchinjo vifurushi vya Internet
JoblessHana akili huyo
Hiki ni kisa cha kubuni kabisa sema tu majobless wanaamua kumuunga mkono bodaboda UMUGHAKA
Kama unakumbuka mwanzoni umughaka alisema Maya ni mnyama ila baadae kaleta hadithi mpya ya eti maya ni msukule wa kiarabu
Kama mtakumbuka sijui ni episode ya ngapi umughaka anasema alifungua chumba cha Maya na akawa amepushiwa na nguvu ya ajabu na mnyama anaefanana sijui na nguruwe na walipokwenda yeye na ally kumuomba maya msamaha maya alikuja akiwa katika umbo la mnyama
Kiufupi hiki ni kisa cha kutunga 100% na ni kichaa pekee anaeweza amini kuwa hiki ni kisa cha kweli
Wenye akili zetu tupo hapa tu kwa kazi maalum kwahiyo misukule ya UMUGHAKA kama inafikiria tuko pamoja ngoja iendelee kuunguza bando na tuvifurushi twao twa chuo
Angalizo: Muda si mrefu makampuni ya simu wanakwenda kupiga mchinjo vifurushi vya Internet
Nasaidia kumuita UMUGHAKA aje awatoe stress majobless halafu kile kisa cha kaka muarabu nikifikisha mwisho labda kama wewe hukufuata maelekezo niliyotoa,halafu kuhusu kazi usiwaze kabisa niko hapa kwa kazi maalumKaka vitim huna kazi za kufanya Kila saa unalialia hapa Mbna umekatisha story yako ya kak muarabu na Hakuna aliyelalamika Zaid tu umetukanwa embu kausha tu
UnafeliHiki ni kisa cha kubuni kabisa sema tu majobless wanaamua kumuunga mkono bodaboda UMUGHAKA
Kama unakumbuka mwanzoni umughaka alisema Maya ni mnyama ila baadae kaleta hadithi mpya ya eti maya ni msukule wa kiarabu
Kama mtakumbuka sijui ni episode ya ngapi umughaka anasema alifungua chumba cha Maya na akawa amepushiwa na nguvu ya ajabu na mnyama anaefanana sijui na nguruwe na walipokwenda yeye na ally kumuomba maya msamaha maya alikuja akiwa katika umbo la mnyama
Kiufupi hiki ni kisa cha kutunga 100% na ni kichaa pekee anaeweza amini kuwa hiki ni kisa cha kweli
Wenye akili zetu tupo hapa tu kwa kazi maalum kwahiyo misukule ya UMUGHAKA kama inafikiria tuko pamoja ngoja iendelee kuunguza bando na tuvifurushi twao twa chuo
Angalizo: Muda si mrefu makampuni ya simu wanakwenda kupiga mchinjo vifurushi vya Internet