Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hivi kuna uwezekano wa kuindoa kura yangu huyu umughaka alikua anaitaji kura tu ameona zimemtosha kashinda ametuzarau wapiga kura wake
 
Ila jamaa alianza vizuri sana lakini naona kwa kadri muda unavyokwenda anaishiwa stori! Ninadhani kwamba alianza na kisa cha kweli ambacho kinagusa sana! Badala ya kuishia kwenye kisa cha kweli akaamua aongezee "ukwaju" ili stori iwe ndefu kidogo!! Matokeo yake anaharibu!!
 
Hivi kuna uwezekano wa kuindoa kura yangu huyu umughaka alikua anaitaji kura tu ameona zimemtosha kashinda ametuzarau wapiga kura wake
Usipanic relax… unavotishia kumnyima KURA je umewaza yeye anavopoteza muda wake na BUNDLE LAKE kutuburudisha sisi BURE ?? Huu ni mkasa wa 3 Umughaka anatuhadithia na zote alimalizia HAKUISHIA NJIANI na zote zinazidiana kwa uhondo. Nae ni Binadam maybe yupo Busy kula Christmas na Family yake au busy na Wateja. TUSIWE WABINAFSI.
 
Duu pole sana, hata kama nina roho mbaya lakini si hivyo jamani labda aanze mgeni mwenyewe kinifundisha tabia mbaya [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu pole sana, lakini tukirudi nyuma kabisa UMUGHAKA, hiyo hela chanzo chake ulikopata ni pesa ya ukakasi yawezekana Mungu alitaka uwe msafi [emoji3][emoji3] kwahiyo ilirudi kwao, ila pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mil 2 tu huwezi mpa mtu wa namna hiyo. Jamaa ana fail sana. anaamini anasimulia watu wote wenye akili ndogo. Anatakiwa anapotunga asicheze mbali na uhalisia.....
Nashukuru kwa kuliona Hilo mnk humu kumefurika mazuzu wasio weza kuhoji Wala kuuliza wao Ni kusimuliwa tu Kisha nakunyamaza kwangu mm no umughaka akizingua namcchana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hello


Wakuuu kwema?,mnaendeleaje humu ndani?

Niwatakie wakristo wote wanaosherehekea Christmas HERI YA CHRISTMAS na niwaombe mshehekee kwa kumtukuza Mungu na siyo kuitukuza Anasa na kuipatia dhambi sifa!.

Bado sijapata mualiko ndugu zangu.
Duh ww umejeukia Tena kuwa Tisha watu na maisha Yao walio chagua kuishi ?
Tukisema akili huna watu wako wanatujia juu Sana

Sasa umeandika nn hapo siyo kila kitu unajifanya Bab ushauri kila mtu amechagua maisha yake

Wee shusha story achana na ushauri

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…