Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mpkaa sasa iv nmegundua ukiona una ndugu yako yupo sehem nzuri lkn hawaiti ndugu zake kwenye hyo miradi yake usilalame sana,jua tuu kuna issue behind.
Kwelii hili mimi nina ndugu yangu lakini hataki kunipa hata ela ya mtaji wala hakuna ndugu hata mzazi wetu mmoja anaejua kwake kuanzia ameondoka nyumbani yapata miaka mi5 hajwah kurudi ila tunaskia tuu jamaa anamafanikio ila hatupajui Hata kwenye Miradi yake
 
Kwa jinsi alivyoelekeza kwamba ni nyuma ya big bon huo mgahawa upo maeneo ya mkunguni na mtaa wa nyamwezi na pale kuna mgahawa unachoma nyama kwa wingi nadhani ndio huo.
 
Mbaya zaidi akauza pagale lake ili ampeleke Rehema chuo, na tunavyojua mchumba hasomeshwi
 
Kajifunze lugha fasaha kwanza ndio urudi na kashfa zako za kipuuzi hapa. "Kuzalia sio kudhalia"....
 
Safi sana kamanda...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ulipatwa na nini?
 
Stori yako ni somo tosha sana katika maisha....kuna mengi sana ya kujifunza hasa kuhusu utajiri na tamaa ya fedha na maisha mazuri

Utajiri una siri kubwa sana ndani yake....watu wengi kwenye biashara wanaamnini bila uchawi hawawezi kufanya biashara

Hongera kwa mapambano yako...ujasiri wako wa kipekee
 
Vp kuhusu hao wanafanyakazi ambao uliwatafutia ajira kwenye mgahawa na wanatakiwa kufa kama kafara....hukufanya mpango wa kuwashtua hata kupitia kupitia indirect ili kuwaokoa kwa huruma ya kibinadamu na huo msala wa kuwa kafara??
 
Kupitia stori yako nimejifunza na kulink matukio/stori tunazosikia mtaani......utasikia tajiri wa mabasi alikuwa anawatoa kafara madereva wake lakn sasa hv kabadili anatoa kafara ya wanyama

Stori nyingine kwenye magari ya watu binafsi...utasikia kiti cha mbele kina mwenyewe....mtu anafanya biashara lakini jioni kufunga mahesabu hela haionekani ni hasara...hela zimeibiwa kiuchawi nk
 
Ila Umughaka umetisha sana....kumpelekea moto wa nguvu msukule....huo ujasiri wa kiwango cha kimataifa...daaaah aisee 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…