Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mkuu Ally mpemba alijua kwamba umeweka hii habari hapa jamvini? Na je ulitumia codes kuficha identity?Wiki iliyopita nikiwa kwenye pilikapilika zangu za Bodaboda kuchukua mzigo wa mteja wangu pale Kkoo,nikakutana na dada mmoja ambaye tulifahamiana wakati nikiwa nafanya kazi za Ally Mpemba,sasa baada ya kuonana kama mjuavyo kwakuwa ilikuwa ni muda mrefu tukabadilishana namba za simu.
Sasa jana mida ya saa 5 usiku kuna mtu akanipigia simu ikiwa ni namba ngeni ambayo haikuwa kwenye moja ya watu niliowasevu,baada ya kuipokea ndipo kumbe alikuwa Brother Ally Mpemba.
Daaah!,nilipigwa na butwaa kwasababu sikuwa na namba yake na yeye hakuwa na namba yangu,nilipomuuliza kaipata wapi namba yangu kaniambia kapewa na yule dada na hiyo ni baada ya wao kupiga stori.
So,jamaa kaniambia leo 23.3.2023 tuonane kuna mambo ya msingi tuzungumze.
Nitaonana nae na nitawajuza
Hapana hajafahamu mkuu,matajiri hawana muda na JF,hata yeye mwenyewe tu kwenye simu yake hana app inayoitwa JF,huku tupo mimi na wewe makabwela,hata mimi miaka hiyo nilikuwa situmii hii app,pia natumia kodi siyo rahisi yeye kufahamu na kumbuka jina la Ally si lake halisi ni jina nililompa huku tu,angekuwa amejua leo nilipokutana nae angeniambia ila tumezungumza mambo mengine kabisaHivi mkuu Ally mpemba alijua kwamba umeweka hii habari hapa jamvini? Na je ulitumia codes kuficha identity?
Okay shukrani sana, imekaa vizuri kama.ulitumia codeHapana hajafahamu mkuu,matajiri hawana muda na JF,hata yeye mwenyewe tu kwenye simu yake hana app inayoitwa JF,huku tupo mimi na wewe makabwela,hata mimi miaka hiyo nilikuwa situmii hii app,pia natumia kodi siyo rahisi yeye kufahamu na kumbuka jina la Ally si lake halisi ni jina nililompa huku tu,angekuwa amejua leo nilipokutana nae angeniambia ila tumezungumza mambo mengine kabisa
Ok hongera kukutana na Kigogo na bila shaka mambo yako ni vyedi mkuuOkay shukrani sana, imekaa vizuri kama.ulitumia code
Matajiri wapo humu asikwambia mtu, kuna mmoja niliunda nae urafiki humu tukawa tunataniana, ajabu siku tulipokutana nilibak mdomo wazi
Nimkitaja nadhani 75% ya watu wanamjua au wameshamuona kwenye TV au vyombo vingine vya habari
Story ilivyo kata ukapotea ,me natumia browser sasa nilivyo weka kwenye new post nimeuona nimeufungua nakuta umeonana na ally mpemba leo.Mkuu uzi kwani ulikuwa umekufa?
Mkuu simulizi zipo za kutosha sema sitaki kusimulia kwasababu ya makurumbembe ya humu nengi ni mapumbavuStory ilivyo kata ukapotea ,me natumia browser sasa nilivyo weka kwenye new post nimeuona nimeufungua nakuta umeonana na ally mpemba leo.
Sasa wadau wote watakuja sio mda hapa kuweka kambi.
Tutapata marekebisho huko badae ya uwezo wa kufunga thread yako mpk umalize ni suala la mda tu.Mkuu simulizi zipo za kutosha sema sitaki kusimulia kwasababu ya makurumbembe ya humu nengi ni mapumbavu
Wakiweka kitufe cha kupiga block kisawasawa si hii ya sasa mtu unampiga block lakini bado anapata acces ya kutazama uzi wako nitaanza kusimulia kwasababu kuna wapumbavu wanakera sana na ukizingatia silipwi,haaaa wapi ngoja nitulie na simulizi zangu maadamu hazioziTutapata marekebisho huko badae ya uwezo wa kufunga thread yako mpk umalize ni suala la mda tu.
Tunamiss simulizi zako za kweli na zenye kujenga utarudi lini mkuu?Nzuri mkuu
Omughaka humu Kuna takataka za Kila aina natamani sana siku isiyo na jina mods wafanye usafi humu waondoe takataka zote zinazosumbuaMkuu simulizi zipo za kutosha sema sitaki kusimulia kwasababu ya makurumbembe ya humu nengi ni mapumbavu
Sure mkuuOmughaka humu Kuna takataka za Kila aina natamani sana siku isiyo na jina mods wafanye usafi humu waondoe takataka zote zinazosumbua
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mimi hata kesho naweza kurudi,simulizi ninazo mbili nzito,ila tatizo siwezi kutumia muda wangu bure + bando langu halafu mapumbavu yasiyokuwa na mbele wala nyuma kutwa ni kunitukana mkuu,bora hata yangekuwa yanakosoa najua ni sehemu ya kazi ila yenyewe yananitukana kana kwamba yananinunulia bando na kunifidia muda wangu,huu ujinga sitaki kabisa kuufanya sasa hivi!,na mimi ni bora niwe mtazamaji tu hapa JFTunamiss simulizi zako za kweli na zenye kujenga utarudi lini mkuu?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Fanya mengine hata sie tumechoka kusoma pumba zako boss jikatae tu na ujue hakuna fanani bila hadhira kama ulifanikiwa kuona milango ya madarasa utakua unajua. Kaa nazo jisimulie mwenyewe humu kuna vingi vyenye sense vya kusoma sio uongo wakoWakiweka kitufe cha kupiga block kisawasawa si hii ya sasa mtu unampiga block lakini bado anapata acces ya kutazama uzi wako nitaanza kusimulia kwasababu kuna wapumbavu wanakera sana na ukizingatia silipwi,haaaa wapi ngoja nitulie na simulizi zangu maadamu haziozi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu simulizi zipo za kutosha sema sitaki kusimulia kwasababu ya makurumbembe ya humu nengi ni mapumbavu