fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 537
- 556
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mtu umekabidhiwa audi mpya halafu unakwenda kujitongozesha kwa muuza juice kweli likurya ni likurya tu hata lijiite umughaka(lizee).Hili mwisho wake naliona likienda kudhulumiwa maharage lililoenda kulima huko kwa wanakyusa
Hii kweli mkuu mi pia ilishawahi nikutaUkiona mwanaume kaandika hvyo ujue yameshamkuta huko
Samahani unaweza kushare hiyo ya Mshana Jr a day In Buddhist college
Alivyokuwa na nyuzi nyingi
=
Za Mzee wetu JBourne59 zimekushinda kabisa?????Anajitahidi sana kwa kweli
Uandishi ni pamoja na mpangilio mzuri wa matukio
Pia mvuto wa stori.
Mimi hii stori ni stori yangu ya tatu kusoma hadi mwisho.
Ya kwanza ilikuwa ya Mshana Jr ,A day in Buddhist college
Nyingine ya LwandaMagere
Huyu kwa kiasi kikubwa ni kama anaendana na Umughaka kwenye uandishi wake
Sijui ndio kipaji Cha watu wa Kanda ya ziwa[emoji23]
Ya tatu ni hii.
Stori nyingine nimejaribu kusoma ila sikuweza kumaliza hata episode mbili.
Kwa kweli mimi binafsi hadi nimesoma stori yote nimaliza basi mwandishi ni genius sana.
Pia napenda stori za ukweli,siyo hadirhi za kutunga.
Sijawahi kumaliza.Za Mzee wetu JBourne59 zimekushinda kabisa?????
Kiongozi you’re simply THE legend! Mpangilio wa story yako ni mzuri sana. Make something out of this talent kaka. You can do it.Mkuu CHIBA One Nashukuru sana
Thanx Mwl.RCT[emoji120]
Mkuu mpaka sasa nipo napambana na maisha haya,siyo ya kubumbaKiongozi you’re simply THE legend! Mpangilio wa story yako ni mzuri sana. Make something out of this talent kaka. You can do it.
ila swali la kizushi kaka, hii ni story imaginary au ilikutokea au uli Experience baadhi ya mambo na umeunganisha? Whatever the case, uko vizuri sana.
Ona mbwa huyu [emoji35][emoji35]Fanya mengine hata sie tumechoka kusoma pumba zako boss jikatae tu na ujue hakuna fanani bila hadhira kama ulifanikiwa kuona milango ya madarasa utakua unajua. Kaa nazo jisimulie mwenyewe humu kuna vingi vyenye sense vya kusoma sio uongo wako
Wewe jamaa Ni mshari, si muungwana, umejawa na dharau. BadilikaFanya mengine hata sie tumechoka kusoma pumba zako boss jikatae tu na ujue hakuna fanani bila hadhira kama ulifanikiwa kuona milango ya madarasa utakua unajua. Kaa nazo jisimulie mwenyewe humu kuna vingi vyenye sense vya kusoma sio uongo wako
Niweje mkuuWewe jamaa Ni mshari, si muungwana, umejawa na dharau. Badilika
Hana hekima Wala shukran Tena Ni mfano mbaya katika jamii ya waungwana hususani magreater thinkersWewe jamaa Ni mshari, si muungwana, umejawa na dharau. Badilika
NEnda kule ukasome nondo zangu ukomaeHana hekima Wala shukran Tena Ni mfano mbaya katika jamii ya waungwana hususani magreater thinkers
Jitahidi umalize, Ni nzuri sana.Sijawahi kumaliza.
Nyingine nikiyowahi maliza ni ya Analyse ,Ile ya mama mtoto wake..
Nadhani kwa sababu ilikuwa fupi pia.
NakaziaOkay shukrani sana, imekaa vizuri kama.ulitumia code
Matajiri wapo humu asikwambia mtu, kuna mmoja niliunda nae urafiki humu tukawa tunataniana, ajabu siku tulipokutana nilibak mdomo wazi
Nimkitaja nadhani 75% ya watu wanamjua au wameshamuona kwenye TV au vyombo vingine vya habari
Usini taje mama .staki wanijueOkay shukrani sana, imekaa vizuri kama.ulitumia code
Matajiri wapo humu asikwambia mtu, kuna mmoja niliunda nae urafiki humu tukawa tunataniana, ajabu siku tulipokutana nilibak mdomo wazi
Nimkitaja nadhani 75% ya watu wanamjua au wameshamuona kwenye TV au vyombo vingine vya habari
Sasa mboja umejitaja mwenyewe boss watakusumbua PM shaurizakoUsini taje mama .staki wanijue